imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Edibily Lunyamila product ya Shinyanga ile.Roger Milla alikuwa wa kigoma (Lunyamila) hahahahaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Edibily Lunyamila product ya Shinyanga ile.Roger Milla alikuwa wa kigoma (Lunyamila) hahahahaaaa.
Afande sele tundaman stamina darasa belle 9 bahati bukuku rose muhando profesa jay oten joslin nash g squeezer dataz Zay b mwanadada gaidi sista p listi ni ndefu sana mkuu hapo bado kwa kina heri muzikiIzo ni nyimbo za dini...Mimi muislamu simtambui? Nimemwambia weka list hapa nakufa pale ukizidi vipaji vya nyie wachache sana labda kigoma ? Niweka list wasaanii 20 wewe weka hapa !!?
Marijani Rajabu, Rehani Bitchuka, Saidi Mabera na wengine wengi.Ukimtoa marijani rajabu nitajie mwingine kutoka huko kigoma!
ID yangu hapa inasomeka ya huyo Mume / Basha wenu ambaye Kutwa hamchoki Kumjadili na Kumshobokea hapa JamiiForums?
Mangwea amtoe maana sio wa Moro. Amekulia Dom lkn asili yake Songea mkoani Ruvuma.Ila ndiyo Mkoa uliojaa Majungu, Wivu, Fitina, Chuki kwa wasio Wazawa na Ushirikina uliopitiliza.
Edibily Lunyamila product ya Shinyanga ile.
Aliekudanganya kuwa Mangwea baba yake ni mluguru ni nani? Hebu angalia vizuri wasifu wake hapo chini nimekuwekea.Mangwea baba yake mluguru sasa unabisha nini mkuu?
Kiasili ni mtu wa ruvuma kwa sababu ya kuchangia damu huko kwa babu zake ila baba yake ni mluguru na hujiulizi kwanini alizikwa Morogoro?Aliekudanganya kuwa Mangwea baba yake ni mluguru ni nani? Hebu angalia vizuri wasifu wake hapo chini nimekuwekea.
Kwa upande wa vipaji mbali mbali Kigoma iko mbali mno ukilinganisha na mikoa mingine.Izo ni nyimbo za dini...Mimi muislamu simtambui? Nimemwambia weka list hapa nakufa pale ukizidi vipaji vya nyie wachache sana labda kigoma ? Niweka list wasaanii 20 wewe weka hapa !!?
Mkuu kuzikwa Moro sio sababu, mbona kina Marijani Rajabu, sheikh Yahya Hussein na wengine wengi walizikwa Dar na wakati asili yao ni Kigoma na maeneo mengine ya nchi?Kiasili ni mtu wa ruvuma kwa sababu ya kuchangia damu huko kwa babu zake ila baba yake ni mluguru na hujiulizi kwanini alizikwa Morogoro?
Kwa kifupi ni Mkoa unaojitegemea kwa kila kitu isipokuwa madem tu ndo inategemea hisani kutoka Tanga😆Morogoro tumetoka wengi sana.....
Hata kwenye uongozi Dkt Ngasongwa,Martine Lumbanga,Celina Kombani, Profesa Ndulu Dkt Likwelile nk
Bila kumsahau mawakili wasomi kama Kibatala,Kusalika nk.
Morogoro imetoa watu wengi sana wenye vipaji vya hali ya juu anayebisha akale malimao/ndimu ya kutosha sana maana atakuwa na ujauzito mchanga.
💯 AgreedKwa upande wa vipaji mbali mbali Kigoma iko mbali mno ukilinganisha na mikoa mingine.
Haijafika taja tu endelea hawajafikia hata 15 mi nimetja 20 na kituAfande sele tundaman stamina darasa belle 9 bahati bukuku rose muhando profesa jay oten joslin nash g squeezer dataz Zay b mwanadada gaidi sista p listi ni ndefu sana mkuu hapo bado kwa kina heri muziki
hapana ndugu yangu mtunzi wa huu wimbo ni mzaliwa wa kigoma anaitqa juma kitambi anaishi kijiji kinachoitwa mwakizega,,huyu juma ni ndugu yake na hassan rehani bichuka,,tabora walikuwa wanafanya kazi tu kwenye bendi ya unyanyembe jazz,,ukimuhitaji huyu mzee nitafute hadi kwake nakupelekaRangi ya chungwa ya kitambi ni mwenyeji wa tabora
sio kweli shinyanga alienda kusoma tu,,huyu lunyamila ni wa kigomaEdibily Lunyamila product ya Shinyanga ile.