Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Wewe unazungumzia idadi au variety?.... hali ya mkoa kuwa na wageni wengi inakuwa reflected kwenye uchumi wake, uchumi mkubwa unavutia wageni wengi Morogoro haina lolote kulinganisha na Arusha au Mwanza
 
Wewe unazungumzia idadi au variety?.... hali ya mkoa kuwa na wageni wengi inakuwa reflected kwenye uchumi wake, uchumi mkubwa unavutia wageni wengi Morogoro haina lolote kulinganisha na Arusha au Mwanza

Uchumi mkubwa Kwa nchi za Afrika Inategemea na Serikali Kama imeamua kufanya eneo Hilo kuwa uchumi mkubwa au Laah!

Ni Kama vile unavyoona Dodoma, bila serikali hakuna jiji la Dodoma,

Serikali iliona angalau kila ukanda kuwe na Jiji Moja ndio unaona hali hiyo uionayo.
Vinginevyo Kama sio serikali amini kuwa Mji wa Kahama tuu Kasi yake ya ukuaji unazidi mpaka hiyo Arusha
 
Wa moro njooni walet pub hapa barabara ya mazimbu tumwagilie moyo.
 
Wewe unazungumzia idadi au variety?.... hali ya mkoa kuwa na wageni wengi inakuwa reflected kwenye uchumi wake, uchumi mkubwa unavutia wageni wengi Morogoro haina lolote kulinganisha na Arusha au Mwanza
Kiuchumi arusha haifikii hata tanga ndo ulinganishe na morogoro?
 
Mm nimekusoma Sana mkuu nilikuwa natafuta hi comment mnk nin wazo la kwenda kufungua duka Hilo uko
 
Kwa hiyo Morogoro kuna nini kinachovuta watu wageni pale? Morogoro mjini nimeishi mji una watu wacheche tu
 
Kumbe... Morogoro kuna nini cha kuvutia wageni? Maana pale mjini tu ambapo ndio wageni wengi wanakuwa, hakuna watu
Huko vijijini mostly ni wazawa tu na wageni wachache wanaoweza kulima kilimo kikubwa
Waulize wageni wamefata nini Moro



Ni dar na morogoro tu ndo utakuta wageni wengi kuliko wenyeji

Huko arusha bado mnaongea kichaga mjini kabisaa
 
dar mpaka moro
 
Wewe nawe vipi. Watu wa Geita kabla ya 2012 Mwanza ilikuwa ndio mkoa wao, utasemaje kwamba ni wageni hapo Mwanza ?
 
Waulize wageni wamefata nini Moro



Ni dar na morogoro tu ndo utakuta wageni wengi kuliko wenyeji

Huko arusha bado mnaongea kichaga mjini kabisaa
Kama unataka kufurahisha JF hongera ila huwezi kulinganisha Arusha na Hiyo Morogoro yako. Mji kasoro bahari bado sana.
 
Kama unataka kufurahisha JF hongera ila huwezi kulinganisha Arusha na Hiyo Morogoro yako. Mji kasoro bahari bado sana.
Morogoro ni manispaa hata kimaendeleo mmetuzidi vitu vichache ambapo kwa kasi hii ya ukuaji WA mji ndani ya miaka miwili tutakuwa tumewazidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…