Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Ukistaafu nn? Bill gate ana miaka 66 haafikirii neno kustaafu, bilionea namba 5 duniani warren buffet ana miaka 90 hajui neno kustaafu lipoje.

Huku Mwalimu wa Shule ya Msingi Majengo anakuambia akistaafu..............
Motivational speakers mmeanza Sasa
 
Ndio Mkoa wenye wahamiaji wengi baada ya DSM.

Mikoa mingine wamejaa wazawa.
Kitendo cha watu wengi kuhamia Mkoa Fulani ni moja ya viashiria kuwa Mkoa huo ni mzuri katika Nyanja mbalimbali za maisha
Nimependa ulivyo ielezea hii mada na umechambua vizuri ina make sense sana na inafanya mtu ambae hajafika morogoro kutamani kufika.
Naomba kujua bei ya shamba kwa hekari inaweza kupatikana kwa bei gani kwaajili ya kilimo.
Na unarecommend mtu akitaka kununua shamba kwa ajili ya kilimo say cha matunda na mboga mboga na mahindi(mazao mchanganyiko) unarecommend anunue wapi kwa mtu mwenye makazi ya kudumu dsm?
 
Mwaka wa 7 huu nipo morogoro na sijawahi kuugua huo ugonjwa, kuugua huo ugonjwa ni umakini wako tu wa kutumia maji, karibu moro, niko Kola
Moro hapafai. Nani aje augue typhoid ? Hapo panawafaa watu wasio na namna ya kuishi mikoa ya maana.
 
Ukikaa na kijana wa dar na Morogoro, walichotofautiana ni location, ukikaa na mluguru na mzaramo walichotofautiana ni ukulima na uchakarikaji wa waluguru Ila vingine vyote ni sawa. Yaani nikimtoa mzaramo sijaona kabila lingine wanapenda ngoma kuliko waluguru, msimu wa mavuno hata birthday ya mtoto wataitisha ngoma ikeshe [emoji16][emoji16]
uko sahihi, na fanya vyote ila usizae na binti wa kilugulu hawana akili hao japo mapenzi wanajua na unaweza ukachakata mbususu familia nzima kuanzia mama, dada, wadogo zake,yeye na ndugu zake kama wapo.
 
nawatakia kazi Njema.

morogoro pazuri banaaaa.

photo credit: myself
IMG_20210826_133424_782.jpg
IMG_20210927_174456_805.jpg
IMG-20210702-WA0084-01.jpg
IMG_20210720_134427_267-01.jpg
IMG_20210720_134337_862.jpg
IMG_20210720_133442_334.jpg
IMG_20210720_133631_878.jpg
20220407_143737.jpg
20220620_171417.jpg
20220403_164410.jpg
20220403_164111.jpg
20220401_183139.jpg
20220328_181141.jpg
20220328_180704.jpg
20220328_180203.jpg
IMG_20210707_160319_049.jpg
IMG_20210917_152947_988.jpg
IMG_20210917_072117_248.jpg
 
Pia ndiyo mkoa pekee ambao watu wake wanadanganyika kirahsi mno, maji ni changamoto kubwa aeneo mengi ya mji, Kasanga, Lukobe, Lukuyu, Mkundi, Makunganya, Kihonda, Azimio, Kitungwa Tubuyu, Nanenane, n.k huko kote hakuna maji!

Ukipita maeneo ya mafiga, Chamwino, Mazimbu, Misufini, Kingo huko maji yanatoka kwa wiki haizidi mara tatu!

Ni eneo mji uliolala sana kisiasa, ni manispaa pekee ambayo mpaka leo pamoja changamoto zote hizo za maji na miundombinu mibovu ya Barabara ila mbunge wanayemjua ni mmoja tu, ABOOD!

Baraza la madiwani kwa miaka yote, limejaa CCM pekee, hii imerahisha ufujaji mkubwa wa pesa za walipa kodi kwa kujipigia wanavyotaka!

Wanachofurahia kutoka kwa mbunge wao ni Gari (bus) ya kuzikia wanapokufa, hapo wanakenua meno yote nje, na kuona ameajali sanaaa!

Kwa habari ya chakula nakubaliana na wewe kabisa, Morogoro ni pazuri...

Ni uongo….hiii ni uongoooo
 
Sehemu zangu pendwa ifakara,kilombero,mbingu
Changamoto ni maji tu kuna yale maji ya kilombero aisee! Ukinywa ni kama umeungia na chumvi umoumo maji pendwa kule ni udzungwa ukipita kwenye milima yake kuna kaubaridi na kaharufu flani ka uoto wa asili hasa alfajiri na jioni.
 
Napapenda zaidi Morogoro kwa kuwa hata kupatikana kwa Mademu wa 'Kuwabandua' ni rahisi kuliko Mikoa mingine TZA.
Human is a last Born in God's creation [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji137]umeona hilo tu la mademu?
 
Ila moro ni kubwa wakuu inapakana na pwani,iringa,songea mpaka dodoma.
 
Napapenda zaidi Morogoro kwa kuwa hata kupatikana kwa Mademu wa 'Kuwabandua' ni rahisi kuliko Mikoa mingine TZA.
Unazungumzia sifa za Karatu na Mbulu sasa, huko ndo Kuna wale wa kuvuta tu
 
Moro kuzuri kwa urahisi wa kujenga na chakula. Nimeishi Morogoro ,nimesoma Morogoro na tumejenga Moro . Ukitoa shida ya maji pia mzunguko wa pesa ni mdogo sana ...
 
Back
Top Bottom