Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Sijui kwanini napapenda sana Arusha,Morogoro mjini nimekaa miaka ya nyuma kidogo,usiku kunakuwa na upepo mkali na mavumbi,sijui kama kumebadilika sasa hivi...
Kama arusha pesa unapata hata iwe ya kawaida kamwe huwezi pachukia.....ni kuzuri, mikoa yote ya kaskazini yaani yote ni kuzuri.
 
Siwezi kuishi sehemu yenye vumbi dongo jekundu hata kama ingekuwa ni miji ina miti ya kumwaga pesa ,sijui kuhusu morogoro maana napitaga tu ila kigoma, na sehemu moja inaitwa Nachingwea ni sehemu nilizolishuhudia hilo dongo jekundu ,sitothubutu kuweka makazi.
Dongo jekundu makazi ya funza.
 
Pia ndiyo mkoa pekee ambao watu wake wanadanganyika kirahsi mno, maji ni changamoto kubwa aeneo mengi ya mji, Kasanga, Lukobe, Lukuyu, Mkundi, Makunganya, Kihonda, Azimio, Kitungwa Tubuyu, Nanenane, n.k huko kote hakuna maji!

Ukipita maeneo ya mafiga, Chamwino, Mazimbu, Misufini, Kingo huko maji yanatoka kwa wiki haizidi mara tatu!

Ni eneo mji uliolala sana kisiasa, ni manispaa pekee ambayo mpaka leo pamoja changamoto zote hizo za maji na miundombinu mibovu ya Barabara ila mbunge wanayemjua ni mmoja tu, ABOOD!

Baraza la madiwani kwa miaka yote, limejaa CCM pekee, hii imerahisha ufujaji mkubwa wa pesa za walipa kodi kwa kujipigia wanavyotaka!

Wanachofurahia kutoka kwa mbunge wao ni Gari (bus) ya kuzikia wanapokufa, hapo wanakenua meno yote nje, na kuona ameajali sanaaa!

Kwa habari ya chakula nakubaliana na wewe kabisa, Morogoro ni pazuri...
Ni kweli mkuu,wakazi wa Morogoro wamelala sana,ndio maana wanasiasa wanawaonea sana.Wilaya kama ya Mvomero dah,wamelala kweli kweli.
 
8. Ukarimu.
Mkoa WA Morogoro unawatu wenye ukarimu na ndio maana unaweza kumiliki Ardhi Kwa kiwango chochote unachotaka tofauti na baadhi ya mikoa mingi hapa nchi.
Sio ajabu Mkoa wa Morogoro ukakutaba na makabila karibu yote, hasa Waha, Wasukuma, Wachaga, Wapare, Wangoni, wamasai, Wahehe wabena na wakinga, Wanyakyusa, Wanyamwezi, Wabaya na makabila mengine mengi.
Ukioa Mluguru original andaa budget ya mkeo kuhudhuria shughuli kila itakakosikika
 
Miji yote 2 Haina hadhi ya kuwa Majiji,Moro imekalibia ila shida ni Mapato ya ndani walau yafike Bil.10.

Iringa hamna kitu
Aliekwambia mapato ndo jiji nani acha ushmba wew shinyanga ina mapato kiasi gan na kama jiji la tanga lina mapato haya ya leo jiulize wkt linapewa hadhi ya jiji lilikuwa na mapato kiasi gan mbk kupewa hadhi ya jiji
 
𝐂𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐳𝐚𝐤𝐞 𝐡𝐚𝐮𝐣𝐚 𝐳𝐢𝐭𝐚𝐣𝐚, 𝐮𝐦𝐞𝐭𝐚𝐣𝐚 𝐬𝐢𝐟𝐚 𝐭𝐮, 𝐢𝐧𝐠𝐚𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐭𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐡𝐮𝐤𝐨, 𝐈𝐥𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐣𝐢𝐣𝐢 𝐥𝐚 𝐌𝐛𝐞𝐲𝐚 𝐧𝐚𝐥𝐨 𝐥𝐢𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐬𝐨𝐬𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐬𝐡𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚
Huyo Jamaa i awezekana Mbeya hajaishi!
 
Aliekwambia mapato ndo jiji nani acha ushmba wew shinyanga ina mapato kiasi gan na kama jiji la tanga lina mapato haya ya leo jiulize wkt linapewa hadhi ya jiji lilikuwa na mapato kiasi gan mbk kupewa hadhi ya jiji
Aseme Moro ya ngapi kimapato ya serikali ndotutajua!
Fahari ya Moro ni wingi wa magari yanayopita barabarani!
 
Inategemea unalinganisha na wapi. Kama walinganisha na Dar sawa. Ila kama walinganisha na Nairobi, Kigali, Lusaka, Blantyre n.k. unaweza kuwa na mtazamo tofauti.
 
Back
Top Bottom