Chadema inakubalika sanaa nchini kuwazuia ni kuaongezea umarufu, police jifunzeni
Sasa wewe uchwara unabishana na takwimu?Hayo makabila mawili yamepatikana kutokana na nguvu ya ufuasi wa wapiga kura. Kenya wanaangalia zaidi kaunti.
Rais wa kwaza alitokea kiambu, Rais wa pili alitokea Baringo, Rais wa tatu alitokea Nyeri , Rais wa nne alitokea KIAMBU na Rais wa Tano katokea Uasin Ngishu.
Mikwara ya kijinga sana ! hivi kama huyu kijana mmoja tu amewahenyesha mtaiweza Chadema yote nyinyi wenye visukari ?Hayakuwepo lakini mlichomfanyia Kikwere Chadema kwa kuwachekea hana hamu na nyinyi!!
Maelfu walikufa mahospitalini law migomo mliyoiratibu Chadema ya madaktari na manesi
Mnyika aliongoza mgomo wa madereva wa malori na mabasi nchi ikasimama
Hakuna usafiri wa basi wala lori
Wananchi wakateseka mno wengine wakifa majumbani kwa kukosa usafiri
CCM ndio ikaona dawa ya moto ni moto ndio ikaleta Magufuli awashikishe adani na mlikoma na mlikiona cha mtema kuni hasa wapumbavu nyinyi
Huyu mama msichezee upole wake wala msimchokonoe .CCM ina watu katili wengi tu mkileta za kuleta 2025 mtaletewa katili kuliko mnayesema Magufuli kuwa alikuwa Katili!!
Shikeni adabu zenu .Msipende kumchokonoa
Kaamua kwenda siasa za kistaarabu moderate msilazimishe abadilike
CCM mkileta moto dawa ya moto ni moto muelezane huko vikao vyenu wajinga ninyi kuwa mnataka siasa za kistaarabu au mnataka za moto?
Mnasahau haraka
Mkitaka siasa za moto CCM tuko tayari sababu upole wa Kikwete mliutumia vibaya
Umemsikia mama aliyerekodi hicho kipande cha sinema anampa za uso afande!Polisi wa Tanzania ni mazombie kabisa. Yalaaniwe milele
Ngishu=Gishu...Rais wa pili alitokea Baringo, Rais wa tatu alitokea Nyeri , Rais wa nne alitokea KIAMBU na Rais wa Tano katokea Uasin Ngishu.
Ccm ilishakufa inatembelea kamba nyembamba ya PoliccmNa kesho mnakuja kusema mlikaa kwa kikao cha maridhiano huku mnakatazwa kutumia barabara mnazokatwa tozo, kisa kikao cha wakuu wa polisi hapo morena!.
View attachment 2389156
Wacha mkaa, hata akitaka kumchoma mkeo lazima apewe kibali, machadema akili zenu Sawa na za ng'ombe tukibali kakuambia anataka kuchoma mkaa!
😂😂😂Ni swala la usalama wake hajui tuh
It sounds trueInaonekana kuna maigizo ya makusudi Samia huwa anawafanyia Chadema, ni kama vile akikaa nao wanasikilizana kama yupo tayari kukubaliana nao, lakini akitoka hapo anawaambia wasaidizi wake kamatieni hapo hapo, ajabu wengine wanamtetea anapotezwa na wasaidizi wake, kama vile yeye ndie yupo chini ya hao wasaidizi.
Jasiri haachi asili. Tunaendelea kumlilia Mungu.Samia katika hili anafeli. Ajitafakari
Kweli kabisa.CHADEMA ni chama kinachokuzwa na ccm,
Sisi sio wajinga Mkuu,tunamlia timing.Viongozi wa Chadema washtuke. Samiah anawaingiza kingi. Anawazubaisha ikifika 2025 anawatosa. Mbowe ashtuke aache ujinga.
Inasikitisha sana.Kuna polisi hapo kavaa kiraia anayeongoza magari anaitwa samson au maarufu babu makoti huyo ni occid ambaye yupo juu ya rpc, rco na ocd wake hapo Morogoro si ajabu hii kaamua yeye wala hajatumwa na kiongozi wake yeyote!
Huyo kakaa kituoni hapo zaidi ya miaka 10 keshabadilishiwa rpc wawili na ocd watatu ila yeye haamishiwi mwanzo walisema ni ndugu wa siro anamlinda wengine wakasema anatumia sana uganga na sasa sijui watasema lipi maana huyu jamaa ukiingia 18 zake umekwisha anaua watuhumiwa kwa kipigo kuliko izirael hata wiki iliyopita maiti 3 zimetolewa sero wanadai ni kazi ya mikono yake!
Cha kushangaza hq ya polisi wanafahamu tuhuma zamakoti huyo lakini hawachukui hatua yoyote dhidi yake!
Hopefully!Sisi sio wajinga Mkuu,tunamlia timing.
Twende na Mama kama tulivyokubaliana tukiona kama anazingua vile tunamkumbusha, kwasasa mimi bado namuunga mkono.Hopefully!
Wafuate sheria na taratibu zilizowekwa siyo kuja kulialia huku kutafuta huruma ya wananchiHawa watu bhana wao wanafungua miradi na kuitangaza lakini bado wana hofu kama wanafanya vizuri kwa nini wanaendelea kuwa na Hofu wakati Wansnchi wanawaamini...
Hili lilikuwa limelewa viroba likavamia mkutano wa CCM [emoji16][emoji38]Mikwara ya kijinga sana ! hivi kama huyu kijana mmoja tu amewahenyesha mtaiweza Chadema yote nyinyi wenye visukari ?
View attachment 2389308
Mkuu 'econo', nadhani hukunielewa nilichoandika hapo juu kabla ya kutumia muda wako wote huu kujibu niliyoandika.Mahakama zipo Kenya sio huku nchi ya tozo. Mahakama za Tanzania zipo hostile kwa CHADEMA. Kuna hukumu nyingi zimetolewa baadaye zimeangushwa mahakama ya Afrika Mashariki. Inamaanisha mahakama kuu na mahakama ya Rufaa zilipitisha. Bado mahakama zetu sio za haki, bali zinaongozwa na CCM.
Sasa hivi Kuna kesi ya akina Halima Mdee ambao mahakama inawakingia kifua mpaka 2025. Kwenda mahakamani Tanzania Ni ujinga na kujichoresha. Ndio maana CHADEMA wanalili katiba mpya.
Walikuwa wanataka kumuambia awaongezee mishahara?Bogus PT!Katika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
Ila wewe jamaa unajua kuchangamsha huu mtandaoMaandamano ya magari