Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Mimi hata kama sikua na cha kuanzia ningeachana navyo maana saa nyingine unaweza hata kuuawa. Na mahakama zetu hizi mhh
Hakuna kitu kama hicho wanaume Baba mmoja unaenda kwa mwingine nako wanakuswaga hivyo hivyo ndugu si utafia njiapanda, mtu kakuoa mbishi unaita umefikisha 40---- akwambie sikutaki nikung"ute tu mavumbi kama mtume Paul weee mie sio Mama yake buana kwanini kutesana hivyo? Labda kama ulikuta anavyo lakini tumeanzia 0 no.
 
Mimi nimejisemea maana najua kupambana na kupata vyangu binafsi. Kama wewe unaona uaweza kupambana, well and good na una haki kabisa ya kufanya hivyo.
 
Yes... kwenye cheti cha ndoa, unasema ndoa yako ni ya aina gani; monogamy, polygamy au potential polygamy. Sasa kama ulisema ndoa yako ni ya mke na mme mmoja; ukiongeza mke bila kuvunja ndoa ya kwanza ni kesi hiyo
Hivi Process za kuvunja ndoa zikoje? Na si inavunjwa Mahakamani? Na si ni lazima Wanandoa wote wakubali au hata Mwanandoa mmoja anaweza kuivunja?
 
-hujui Sheria ya ndoa, Ugoni adhabu yake ni Fidia, haina haja ya kufika huko, labda tabia ya Ugoni iwe ni repetitive despite protest
Wewe hujafuatilia huyo Mama anacholilia 100M sio ugoni anacholilia ni ndoa ya pili kwamba Prof amefunga ndoa ya pili amlipe 100M, rudia tena kusoma acha kukaza fuvu hilo la ugoni limemuongezea uzito tu Ila anacholilia ni kwamba Prof kafunga ndoa ya pili amlipe 100M, elewa ndio ukosoe, yaan unataka kusema amemfuma ugoni ndio amlipe 100M? Jichunguze
 
Hivi Process za kuvunja ndoa zikoje? Na si inavunjwa Mahakamani? Na si ni lazima Wanandoa wote wakubali au hata Mwanandoa mmoja anaweza kuivunja?
Ndoa zinavunjwa mahakamani tu, Sijui sheria zetu zinasemaje hasa kwenye sababu ya kuvunja ndoa; maana nchi nyingine lazima kuwe na sababu, wengine lazima mtengane kwa muda fulani. Ila hakuna namna unaweza kulazimisha ndoa, kama mmoja hataki mwishowe.
 
Professor Mgeni wa SUA aliuwawa kwa kula Watoto wa shule na wake Za watu. SUA ni chuo cha wapemba Chu…p
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…