Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Wakili huyo alisema kuwa Oktoba 29, 2022 inadaiwa washitakiwa hao walifunga ndoa huku kukiwa bado kuna ndoa nyingine ya mlalamikaji ambaye ni Matrida na Profesa Kasanga.

Hii kesi haihitaji wakili.
Professor alipe 100 m biashara imekwisha
 
Thanks,

Na je Mlalamikaji akipata ushahidi kuwa Mumewe amefunga ndoa na Mwanamke mwingine, hiyo haitoshi kumpa ushindi wa kupata fidia anazotaka?
 
Ndoa zinavunjwa mahakamani tu, Sijui sheria zetu zinasemaje hasa kwenye sababu ya kuvunja ndoa; maana nchi nyingine lazima kuwe na sababu, wengine lazima mtengane kwa muda fulani. Ila hakuna namna unaweza kulazimisha ndoa, kama mmoja hataki mwishowe.
Sababu mbona zinajulikana kama hiyo uzinzi,kufanyiana ukatili,hata kama mmoja wenu Ana matatizo ya akili
Talaka inatoka,kingine pia itoke mmoja wenu kafungwa kifungo cha maisha gerezani ukiomba talaka utapata

Ova
 
Mfano baraza la usuluhishi wa ndoa kushindwa kutatua mgogoro uliyoko
Kwenye ndoa
Hapo ndipo mtaambiwa muende mahakamani sasa!

Ova
Na je kama aidha wanandoa wote au mmoja hayupo tayari kwa masuluhishi?
 
. MUTU kapata mbunye mpya yazamani inaleta kesi mama tilia wewe ni mama wa nyumbani mwenzako mama wa bank huoni TOFAUTI?
Je kama yeye alimwambia atulie nyumbani hapo imekaaje! Mwanzo hakuwaona wasomi wenzie degree ya kwanza mpaka uprof hakuwaona wasomi? Sema tamaa tu hiyo ukute Matilda yupo vizuri tu yeye ndiye kamfuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…