Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ndoa ndoano.. Fidia ya milion 100 tasilimu[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ndoano.. Fidia ya milion 100 tasilimu[emoji38][emoji38][emoji38]
Ndoa ndoano.. Fidia ya milion 100 tasilimu[emoji38][emoji38][emoji38]
Mambo hayo waachieni wangoniEeh we unacheza na watoto wa Kimarangu nini mzee 🤣🤣🤣
Kwema mzee wangu nyaboma"Extrovert kuna comment huku zinachekesha sana
Jidanganye wakili wa kijiweni.Hamna kesi hapo
Biashara ya fumanizi imechangamka sana hasa ukikuta wagoni wana wadhifa. 🤣🤣🤣 Mmoja benki mmoja profesa!Ndoa ndoano.. Fidia ya milion 100 tasilimu
Ndiyo.....kiulaini kabisaHivi kumbe ugoni unaweza kudai fidia na ukalipwa?
Halafu linafanya benki ngozi inawaka balaa! Prof lazima amkimbie wa ujana wake hamna namna.Eeh we unacheza na watoto wa Kimarangu nini mzee 🤣🤣🤣
Salama kwema ndugu yangu.
kUNA KESI KUBWA HAPO NA ATALIPWA FIDIAProfesa wa Chuo Kikuu Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo Mkoani Morogoro, Christopher Kasanga na mwenzake Linael Makundi mfanyakazi wa Benki ya CRDB Tawi la Mandela mkoani hapo wamefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Morogoro kwa shitaka la madai ya Ugoni dhidi ya malalamikaji Matrida Sigaret.
Akizungumza nje ya Mahakama hiyo jana, wakili wa mlalamikaji Emmanuel Chengulo alisema kesi hiyo ilifunguliwa Desemba 16, 2022 na ilitajwa kwa mara ya kwanza Januari 23, 2023 mbele ya Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Emmanuel Lukumai.
Aidha, wakili Chengulo amesema katika shitaka hilo Matrida Sigaleti anawashitaki Profesa Kasanga ambaye ni mume wake wa ndoa na Linael kwa kesi ya Ugoni dhidi yao.
"Kimsingi mteja wangu anadai kulipwa fidia ya shilingi milioni 100 kutokana na madhara ambayo ameyapata," alisema.
Wakili huyo alisema kuwa Oktoba 29, 2022 inadaiwa washitakiwa hao walifunga ndoa huku kukiwa bado kuna ndoa nyingine ya mlalamikaji ambaye ni Matrida na Profesa Kasanga.
Kwa upande wa washitakiwa ambaye ni Profesa Kasanga na Linael Makundi wanatetewa wa wakili Asifiwe Alinanuswe ambaye alipatakiwa kuzungumzia shitaka hilo alisema hajapewa maelekezo ya kuzungumzia kesi hiyo kutoka kwa mteja wake.
"Kwanza ningejua kuna waandishi ningeweka zuio la waandishi kupata taarifa hizi, hivyo kaandikeni mlichopata kwa wakili huyo mwingine, wateja wangu hawajanipa maelekezo ya kuzungumza nanyi," alisema.
Hakimu Mfawidhi Lukumai ameahirisha kesi hiyo baada ya upande wa utetezi kuweka pingamizi la kutaka kesi hiyo isikilizwe faragha na imepangwa kuanza kusikilizwa kwa pingamizi hilo Februari 21, 2023.
PROFESA MZIMA Hajui sheria ya NDOAProfesa wa Chuo Kikuu Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo Mkoani Morogoro, Christopher Kasanga na mwenzake Linael Makundi mfanyakazi wa Benki ya CRDB Tawi la Mandela mkoani hapo wamefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Morogoro kwa shitaka la madai ya Ugoni dhidi ya malalamikaji Matrida Sigaret.
Akizungumza nje ya Mahakama hiyo jana, wakili wa mlalamikaji Emmanuel Chengulo alisema kesi hiyo ilifunguliwa Desemba 16, 2022 na ilitajwa kwa mara ya kwanza Januari 23, 2023 mbele ya Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Emmanuel Lukumai.
Aidha, wakili Chengulo amesema katika shitaka hilo Matrida Sigaleti anawashitaki Profesa Kasanga ambaye ni mume wake wa ndoa na Linael kwa kesi ya Ugoni dhidi yao.
"Kimsingi mteja wangu anadai kulipwa fidia ya shilingi milioni 100 kutokana na madhara ambayo ameyapata," alisema.
Wakili huyo alisema kuwa Oktoba 29, 2022 inadaiwa washitakiwa hao walifunga ndoa huku kukiwa bado kuna ndoa nyingine ya mlalamikaji ambaye ni Matrida na Profesa Kasanga.
Kwa upande wa washitakiwa ambaye ni Profesa Kasanga na Linael Makundi wanatetewa wa wakili Asifiwe Alinanuswe ambaye alipatakiwa kuzungumzia shitaka hilo alisema hajapewa maelekezo ya kuzungumzia kesi hiyo kutoka kwa mteja wake.
"Kwanza ningejua kuna waandishi ningeweka zuio la waandishi kupata taarifa hizi, hivyo kaandikeni mlichopata kwa wakili huyo mwingine, wateja wangu hawajanipa maelekezo ya kuzungumza nanyi," alisema.
Hakimu Mfawidhi Lukumai ameahirisha kesi hiyo baada ya upande wa utetezi kuweka pingamizi la kutaka kesi hiyo isikilizwe faragha na imepangwa kuanza kusikilizwa kwa pingamizi hilo Februari 21, 2023.
SOMA HIIHivi kumbe ugoni unaweza kudai fidia na ukalipwa?
Kesi imekaa vizuri kwa upande wa mke mkubwa 🤣 🤣 🤣,,, Profesa anavunjaje mkataba kiboyakUNA KESI KUBWA HAPO NA ATALIPWA FIDIA
Nimeweka attachment ya kesi ya ugoni, soma, professor analoKuna sheria za ndoa kwa hivyo issues zinaweza kupelekwa mahakamani
Money for money... No stressBiashara ya fumanizi imechangamka sana hasa ukikuta wagoni wana wadhifa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmoja benki mmoja profesa!
Ana haki zake, kisheria kama alioa mke mwingine bila kuvunja ndoa ya kwanza hapo Mmarangu hana ndoa, 'null and void ab initio'Analazimisha kupendwa, ukute yeye ndio chanzo cha mume wake kwenda kuoa mwanamke mwingine. Hakuna mwanaume anaeweza Acha mke mwema. Hadi mwanaume kuoa mke mwingine shida ni kasoro ya mke wa kwanza kashindwa kujua wajibu wake ni nini
Kesi imekaa vizuri kwa upande wa mke mkubwa 🤣 🤣 🤣,,, Profesa anavunjaje mkataba kiboya