Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Analazimisha kupendwa, ukute yeye ndio chanzo cha mume wake kwenda kuoa mwanamke mwingine. Hakuna mwanaume anaeweza Acha mke mwema. Hadi mwanaume kuoa mke mwingine shida ni kasoro ya mke wa kwanza kashindwa kujua wajibu wake ni nini.
 
kUNA KESI KUBWA HAPO NA ATALIPWA FIDIA
 
PROFESA MZIMA Hajui sheria ya NDOA
 
Analazimisha kupendwa, ukute yeye ndio chanzo cha mume wake kwenda kuoa mwanamke mwingine. Hakuna mwanaume anaeweza Acha mke mwema. Hadi mwanaume kuoa mke mwingine shida ni kasoro ya mke wa kwanza kashindwa kujua wajibu wake ni nini
Ana haki zake, kisheria kama alioa mke mwingine bila kuvunja ndoa ya kwanza hapo Mmarangu hana ndoa, 'null and void ab initio'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…