Ven26
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 467
- 981
Hapo kiujumla hatafuti mahaba, anataka fidia ya muda wake alotumia kwenye hiyo ndoa labdaKwani akilipwa hiyo mil100 ndio mahaba yatarudi? Watu wanawaza wanaachajwe na hii hali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kiujumla hatafuti mahaba, anataka fidia ya muda wake alotumia kwenye hiyo ndoa labdaKwani akilipwa hiyo mil100 ndio mahaba yatarudi? Watu wanawaza wanaachajwe na hii hali?
Sio kirahisi hivyoUkiachwa achika Matrida!...
Hapo umesema kajinyima asipendeze vizuri halafu mwingine kupokea tu kodi hiyo hapanaLazima zile nyumba sita walizojenga wote wagawane kwanza
Na kesi ikishafika mahakamani ni kesi kama kesi zingineNimejiuliza baada ya kucoment kwake nkajua nikatoto hakajui chochote
Mkishapelekana huko basi juwa kuna uaduiHapo kiujumla hatafuti mahaba, anataka fidia ya muda wake alotumia kwenye hiyo ndoa labda
Umeona eee kampikia vizuri kumhudumia vizuri mpaka huko CRDB akaonekana wagawane tu naye akafaidi na mwingine hukoLakini atakuwa amepata kifuta machozi. Miaka 10 ya kuchakatwa halafu aambulie patupu?
Hata wao watachokana tu subili wakae nyumba moja mahesabu yatafanyika tuHuyo Matrida kawakomesha wamemuona sio msomi yeye mama wa nyumbani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamechukuana wasomi
Yaan wakishasimama kizimbani tayari uadui mkubwa mnoo achilia mbali siku alopokea barua ya samansi 🤣🤣🤣🤣🤣Mkishapelekana huko basi juwa kuna uadui
Sasa hapo ni kukaa mguu sawa tu
Ova
Kwani vile vyeti unajua ni vya nani? Unazani kanisa ndilo linavichonga? Vyeti vya bi tozo vile wengine tunaviazima tu kama ulikuwa hujui.Kwa vipi serikali iingilie mambo ya ndoa. Nadhani hizi zinapaswa kumalizia kanisani.
Wamkomeshe tu kwani hakumuona wakati anamuoa?Mtoto wa Kiha hao hawawezanagi na wasomi. Moto lazma utawaka hapo na wakishindwana kisheria shughuli itahamia Kibondo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Prof ana projects za maana. Pesa ipo. Mchaga atajisogeza sehemu hamna pesa?, Mmarangu ana Masters huenda hata kasomeshwa na ProfTena matruda akomae, sijui kwa nini hakusema 500m nae kazubaa
Kwanini chanzo uanze kukirusha kwa mkewe mbona binadamu mpo hivyo? Marangapi wanaume wanasababisha ndoa zao kuwa zamateso!Analazimisha kupendwa, ukute yeye ndio chanzo cha mume wake kwenda kuoa mwanamke mwingine. Hakuna mwanaume anaeweza Acha mke mwema. Hadi mwanaume kuoa mke mwingine shida ni kasoro ya mke wa kwanza kashindwa kujua wajibu wake ni nini
Haya mambo nishakutana nayoYaan wakishasimama kizimbani tayari uadui mkubwa mnoo achilia mbali siku alopokea barua ya samansi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ikitokea hakijapelekwa?Wewe acha kupotosha mkuu, sema mkishafunga ndoa cheti kinapelekwa kwa msajili wa ndoa.
Unazani kusoma ndiyo kuelimika wengine makaratasi tu, unaweza kuta mtu PhD yake lakini maisha yakawaida ni maramia hata yule aliyeishia darasa la pili la mkoloniPROFESA MZIMA Hajui sheria ya NDOA
Sio mchepuko, Prof kaoa kabisaInaelekea profesa alitaka sana kuvunja ndoa,ila yawezekana vigezo
Vyake havikutimia na kukubaliwa na kanisa
Inaelekea kulikuwa na process,sasa kwenye ndoa kukishakuwa na tofauti,chuki basi hapo wote wanaishi kwa kuviziana,
Inaelekea mke wa Prof alimuwinda hadi kupata maushahidi+uthibitisho kuwa mme ana mchepuko
Ndiyo kamuwahi,any way hii ni civil case tu,sema kesi ikishafika mahakamani ni kesi
Ova
Tanzania sheria inaruhusu mitala hapo hamna kesiSoma habari yote. Profesa kaoa mke mwingine. Lkn ex wake ndiyo anadai hajaachika
Lakini kwenye cheti si kuna sehemu yakujaza, yeye wakati anamuoa alijaza kwenye mitala?Tanzania sheria inaruhusu mitala hapo hamna kesi
Na mkishajenga uadui ni mwendo wa kukomoana tu. Kesi inaweza kuchukua hadi miaka 5 inapigwa kalenda tu. Kuna dada mmoja Muha , alijifanya mjanja amekuwa kazi yake ni kushinda mahakamani kesi haiishi. Mawakili wamemkimbia maana hana hela ya kuwalipa. Kila leo anaenda kwa waganga kuloga lakini wapi. Mkishazaa haitakiwa kuwa maadau, mnaumiza watoto na kupotezeana muda. Mimi niliona ujinga kuanza kufungua sijui kesi za ugoni na ushahifi nilikuwa nao. Nikaona naweza poteza muda ambao ningeweza kuutumiaa kuzalisha zaidi ya ninachokidai.Mkishapelekana huko basi juwa kuna uadui
Sasa hapo ni kukaa mguu sawa tu
Ova
Kama ulikuwa na chakuanzia sawa, mfano mtu anakutosa katikati ya bahari unafanyaje hapo!Na mkishajenga uadui ni mwendo wa kukomoana tu. Kesi inaweza kuchukua hadi miaka 5 inapigwa kalenda tu. Kuna dada mmoja Muha , alijifanya mjanja amekuwa kazi yake ni kushinda mahakamani kesi haiishi. Mawakili wamemkimbia maana hana hela ya kuwalipa. Kila leo anaenda kwa waganga kuloga lakini wapi. Mkishazaa haitakiwa kuwa maadau, mnaumiza watoto na kupotezeana muda. Mimi niliona ujinga kuanza kufungua sijui kesi za ugoni na ushahifi nilikuwa nao. Nikaona naweza poteza muda ambao ningeweza kuutumiaa kuzalisha zaidi ya ninachokidai.