stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Elezea sio unakiaweka tu maelezo yako wapi show how?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elezea sio unakiaweka tu maelezo yako wapi show how?
Wakili msomi soma 72 mbona mvivu wa kusoma?Elezea sio unakiaweka tu maelezo yako wapi show how?
Wewe weka maelezo yako si unasema hicho kifungu kinamlazimisha alipe elezea how? Wewe ndio inabidi utetee kifungu sio mimi nisome, don't be so stupidWakili msomi soma 72 mbona mvivu wa kusoma?
matusi tena mkuuu hahahahaha uspanic toa hoja kikubwa ni kwamba Prof kaiabisha SUA... Bank Teller kiabisha CRDB ...Sina uchawa wowote Mimi naongelea uzito wa kesi sio uzito wa mtu, rule against bias, evidence of character inaonekana vitu km hivyo hivijui bogus brain
Adultery ipo wazi hapo. Someni kimya kimya wewe na Afisa mwenzio wa benki. Poleni sanaWewe weka maelezo yako si unasema hicho kifungu kinamlazimisha alipe elezea how? Wewe ndio inabidi utetee kifungu sio mimi nisome, don't be so stupid
Mkuu huyu hana hoja, kahamia kwenye matusi. Ila Prof. alizoea vya kunyonga sasa kakutana na wanaojua sheria. Matilda hongera sanamumefika huko tena hahahah punguza jazba mkuu elimisha hadhira unasikilizwa na watu wengi ambao wanataka kujifunza sasa ukianza kumuaattach mdau utaposha dhana ya uzi husika
Kanisani kwenyewe wakishindwa wanaitupia mahakama ,kuna stages unaweza fikisha madai hayo level ya kuzungumzika kanisani punde pande mbili zipo tayari kupata suluhu ,ila kama kuna vuta ni kuvute ni nyundo tu ya mahakama inaweka sawaKwa vipi serikali iingilie mambo ya ndoa. Nadhani hizi zinapaswa kumalizia kanisani.
Mimi sizungumzii mtu mimi nazungumzia mazingira ya kesi, na pale mahakamani hawaangalii mtu anafanya kazi gani au anatoka wapi ili watoe haki unaweza ukatenda haki pasipo haki especially kwa wanawake ni moja ya waigizaji wakubwa wanajua kuigiza kwenye uongo wanaweka uongo, ndio maana nikasema naangalia muonekano wa kesi yenyewe na maelezo ya scenario ya kesi kiujumla yapoje, wewe unamjaji mtu eti kisa bank teller kisa ni Prof basi hana haki ya kusikilizwa amezalilisha taasisi no haipo hivyo kesi haziendeshwi hivyo,matusi tena mkuuu hahahahaha uspanic toa hoja kikubwa ni kwamba Prof kaiabisha SUA... Bank Teller kiabisha CRDB ...
Mahakama inafanya maamuzi kwa ushahidi uliwasilishwa kwa pande zote mbili kwa kufuata sheria husika. Ambao ushahidi wa hii kesi upo uchi (naked).Mimi sizungumzii mtu mimi nazungumzia mazingira ya kesi, na pale mahakamani hawaangalii mtu anafanya kazi gani au anatoka wapi ili watoe haki unaweza ukatenda haki pasipo haki especially kwa wanawake ni moja ya waigizaji wakubwa wanajua kuigiza kwenye uongo wanaweka uongo, ndio maana nikasema naangalia muonekano wa kesi yenyewe na maelezo ya scenario ya kesi kiujumla yapoje, wewe unamjaji mtu eti kisa bank teller kisa ni Prof basi hana haki ya kusikilizwa amezalilisha taasisi no haipo hivyo kesi haziendeshwi hivyo,
Yes ushahidi upo naked how na utaimaliza kesi hii kwa ushindi ukitumia kifungu kipi cha LMA 72? 😆Mahakama inafanya maamuzi kwa ushahidi uliwasilishwa kwa pande zote mbili. Ambao ushahidi wa hii kesi upo uchi (naked).
The Law of Marriage Act 1971 (72)Yes ushahidi upo naked how na utaimaliza kesi hii kwa ushindi ukitumia kifungu kipi cha LMA 72? 😆
Kwa hio hapo unatumia kipi 72 1(a), 1(b), 72 (2) au vyote kwa pamoja? 😆The Law of Marriage Act 1971 (72)
72. Right to damages for adultery
(1) A husband or wife may baring a suit for damages against any person with
whom his or her spouse has committed adultery:
Provided that no such proceeding shall lie–
(a) where the aggrieved party has consented to or connived at the adultery;
(b) where damages in respect of the alleged adultery have been claimed in a
petition for divorce.
(2) A suit brought under this section shall be dismissed if the defendant satisfied
the court that he or she did not know and could not, by the exercise of reasonable
diligence, have known that the person with whom he or she committed the act of
adultery was married.
kwa hiyo The Law of Marriage Act 1971 (72) (2) bank teller ataponea humo au hahahahahahahahahahahahahahahThe Law of Marriage Act 1971 (72)
72. Right to damages for adultery
(1) A husband or wife may baring a suit for damages against any person with
whom his or her spouse has committed adultery:
Provided that no such proceeding shall lie–
(a) where the aggrieved party has consented to or connived at the adultery;
(b) where damages in respect of the alleged adultery have been claimed in a
petition for divorce.
(2) A suit brought under this section shall be dismissed if the defendant satisfied
the court that he or she did not know and could not, by the exercise of reasonable
diligence, have known that the person with whom he or she committed the act of
adultery was married.
1. Kuacha (divorce) kisheria INARUHUSIWA ila zipo taratibu na lazima uwe na sababu (nazijua 3) katika hizo KUKOSESHWA AMANI haipo.Hivi kuna mahakama inalazimisha uishi na mtu usiokua na imani naye,hapo malyida kibao kinaweza kikamjeukia kuwa aliachwa kwa kuwa ni mwanamke anaemkosesha amani prof so amlipe prof fidia kwa muda uliopoteazwa