stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Yote yanawezekana,Hivi kuna mahakama inalazimisha uishi na mtu usiokua na imani naye,hapo malyida kibao kinaweza kikamjeukia kuwa aliachwa kwa kuwa ni mwanamke anaemkosesha amani prof so amlipe prof fidia kwa muda uliopoteazwa