Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Eti na mimi nashangaa hahaaKibaya zaidi walimu wake wamekiri dogo anajua hesabu lakini hajui kusoma wala kuandika....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti na mimi nashangaa hahaaKibaya zaidi walimu wake wamekiri dogo anajua hesabu lakini hajui kusoma wala kuandika....
Nadhani wanakurupuka bila kujuaKibaya zaidi walimu wake wamekiri dogo anajua hesabu lakini hajui kusoma wala kuandika....
Hata walimu wameshndwa kuwaelewesha viongoz,kwa mtaala wa sasa hauruhusu mwanafunz kuacha ya nyuma ambayo hajajifunza na kukimbilia ya mbele,kwa vile ana akili sana, apelekwe mbele lakini na ya chekechea aendelee kujifunza akiwa huko mbele wanapotaka kumrusha.Yani kujua hesabu ndio itoshe na kuwa kigezo cha kurushwa madarasa!! Hayo masomo mengine ni vipi anapiga kama kawa au ndio yaleyale
Bado sijaona u 'genius" wa Huyo mtotoYani kujua hesabu ndio itoshe na kuwa kigezo cha kurushwa madarasa!! Hayo masomo mengine ni vipi anapiga kama kawa au ndio yaleyale
Basi apewe pindi kwanza la level yakeTatizo mtoto ni bingwa wa hesabu lakini hajui kusoma wala kuandika
Inamaana yale maswali aliyoulizwa hadi kila mtu akaamini dogo ni kipaji hayatoshi?Kumpima si kumuuliza maswali ya HESABATI.au unadhani watamuwekea.mzani?
Kumpima ili iweje! Ndo wanaua kipaji chake sasa! Yuko wapi yule wa Kenya aliekuwa anafundisha hadi wanachuo akiwa na umri mdogo tu?
Mtoto Charles Mathias Mbena(6) mkazi wa Kibungo Juu, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ameonesha kipaji cha hesabu ambapo anaweza kujumlisha na kutoa hesabu za makumi na malaki bila kutumia karatasi.
Mtoto huyo anayesoma darasa la awali katika Shule ya Msingi Nyigwa ametakiwa kufanyiwa majaribio ili kumpeleka katika Shule na darasa analostahili.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emmanuele Kalobelo amesema wamegundua ana kipaji hivyo watamfanyia majaribio.
Katika hatua nyingine Katibu Tawala ameelezea azma yao ya kuboresha mazingira ya Shule ya Msingi Nyigwa kwa kuijengea madarasa manne mbali na mawili ambayo yanamaliziwa na Mkurugenzi.
View attachment 1722586
Pia soma: Serikali yaagiza mtoto Charles Mathias arushwe darasa kutoka Chekechea hadi Primary, Babu Tale aahidi kumlipia ada
Inamaana yale maswali aliyoulizwa hadi kila mtu akaamini dogo ni kipaji hayatoshi?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kumpima ?, Wanampimaje ?, Kwanini hivyo vipimo wasivisambaze kwenye mashule yote ili tupimane wote ?
Hizi Siasa shida sana..., sitashangaa badala ya waalimu na wataalamu kumpima ukashangaa mbunge, mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ndio wapimaji wakuu (bila kusahau makamera na waandishi wa habari)..., Kupeana stress tu, na presha katika umri mdogo
Hajui kuandikaUtashangaa anapelekwa ata la pili tu wakati bado dogo ni kichwa ata la nne asome 6 month apige la tano.🚶🚶
Wamuacha vidudu sasa mpka ajue kuandikaHajui kuandika
Ka mwambie RAS usiniambie mie 😅😆Wamuacha vidudu sasa mpka ajue kuandika