Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Huyo mtoto si wampeleke tu Chuo Kikuu.
🤣 🤣 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtoto si wampeleke tu Chuo Kikuu.
Shule bora ni ipi?Nifafanulieni basi wanampima nini? Uzito, urefu au? Huyo ni wa kupelekwa shule bora tu
Shule anayosoma utalinganisha na feza?Shule bora ni ipi?
unaweza mpeleka la 4 kumbe anajua kujumlisha na kutoa halafu kusoma na kuandika hajui, happy ndo atakapoburuza mkia maisha yake yote ya shule😀Utashangaa anapelekwa ata la pili tu wakati bado dogo ni kichwa ata la nne asome 6 month apige la tano.🚶🚶
Aachwe vidudu tuunaweza mpeleka la 4 kumbe anajua kujumlisha na kutoa halafu kusoma na kuandika hajui, happy ndo atakapoburuza mkia maisha yake yote ya shule😀
Huyo mtoto si wampeleke tu Chuo Kikuu.
Kumpima ili iweje! Ndo wanaua kipaji chake sasa! Yuko wapi yule wa Kenya aliekuwa anafundisha hadi wanachuo akiwa na umri mdogo tu?
Utashangaa anapelekwa ata la pili tu wakati bado dogo ni kichwa ata la nne asome 6 month apige la tano.[emoji124][emoji124]
Mnaboresha madarasa kama zawadi kwakuwa amepatikana mtoto mwenye kipaji hapo? Shule zisizo na watoto wenye kipaji waendelee ku suffer
Je, mna mpango gani wa kuibua vipaji vingine zaidi ya hicho katika maeneo mengine?
Nifafanulieni basi wanampima nini? Uzito, urefu au? Huyo ni wa kupelekwa shule bora tu
Huyo mtoto hana kipaji chochote, kama mna nia ya kumsaidia mpelekeni kwa watu wa maombi wa kweli wamtowe hayo majini kichwani, wanaojibu hizo hesabu si yeye ni hato madudu yaliyomkaa kichwani.Navyoijua hii serikali ya CCM soon watamvuruga huyu dogo.
DuuuuHuyo mtoto hana kipaji chochote, kama mna nia ya kumsaidia mpelekeni kwa watu wa maombi wa kweli wamtowe hayo majini kichwani, wanaojibu hizo hesabu si yeye ni hato madudu yaliyomkaa kichwani.
Huyo mkipeleka shule atakuwa ndio anaburuza mkia darasani, Wabongo wengi mna mihemko hamjatambea na hamjaona mengi.
Save hii post for future reference.
Huyo apelekwe kwa Mwamposa Bulldoza au mtu aliyepewa kipawa kama Bulldoza akaombewe wakamtowe hayo majini awe huru.unaweza mpeleka la 4 kumbe anajua kujumlisha na kutoa halafu kusoma na kuandika hajui, happy ndo atakapoburuza mkia maisha yake yote ya shule[emoji3]
Hajui kusoma wala kuandikaHuyo mtoto si wampeleke tu Chuo Kikuu.
Kitu cha kufahamu ni kuwa, Mtu akielewa Hisabati, masomo mengine anafundishika kirahisi. Hesabu inatumia akili nyingi, wakati masomo mengine ni kukariri zaidiWanaokomenti negative kuhusu huyu genius ni wale ambao wakipewa mtihani na dogo, anawabwaga mbali. Hahahahaha!!! Weeeiiivuuu kamwe haijawahi kumwacha mtu salama.
cc:
Mathematical
Mathematical Equation
mathematics
mathematique
KUJENI MMTETEE MWENZENU HUKU --- anashambuliwa mishale na vilaza wa ^Hesabati^
Hivi ni kwanini siku hizi hunipendi kama zamani?Eti na mimi nashangaa hahaa
hajui kusoma wala kuandikaHuyo mtoto si wampeleke tu Chuo Kikuu.
eeeh hakuna haja ya kumkimbiza,wampeleke shule nzuri ndo la muhimu.Aachwe vidudu tu
heeee makubwa haya🙄Huyo apelekwe kwa Mwamposa Bulldoza au mtu aliyepewa kipawa kama Bulldoza akaombewe wakamtowe hayo majini awe huru.
Ninaandika kitu ninachokijuwa na nina uhakika nacho wa asilimia 100 kwa 100.
Hayo ni majini hakuna kipaji hapo.
Apelekwe english medium za serkalieeeh hakuna haja ya kumkimbiza,wampeleke shule nzuri ndo la muhimu.
kwa hiyo kujumlisha hivyo vihesabu ndio anakipaji? Mbona kuna watu kibao wanavipaji huyo amekua wa kwanza aise kweli hii nchi tunachekesha sanaaaMtoto Charles Mathias Mbena(6) mkazi wa Kibungo Juu, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ameonesha kipaji cha hesabu ambapo anaweza kujumlisha na kutoa hesabu za makumi na malaki bila kutumia karatasi.
Mtoto huyo anayesoma darasa la awali katika Shule ya Msingi Nyigwa ametakiwa kufanyiwa majaribio ili kumpeleka katika Shule na darasa analostahili.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emmanuele Kalobelo amesema wamegundua ana kipaji hivyo watamfanyia majaribio.
Katika hatua nyingine Katibu Tawala ameelezea azma yao ya kuboresha mazingira ya Shule ya Msingi Nyigwa kwa kuijengea madarasa manne mbali na mawili ambayo yanamaliziwa na Mkurugenzi.
View attachment 1722586
Pia soma: Serikali yaagiza mtoto Charles Mathias arushwe darasa kutoka Chekechea hadi Primary, Babu Tale aahidi kumlipia ada
hahaaaaaaa hayo ni majini kweliheeee makubwa haya🙄
Umezidi ubahili😒..anakuwezea tu mkeo skyHivi ni kwanini siku hizi hunipendi kama zamani?
Khaaaa.... Jamani!Umezidi ubahili😒..anakuwezea tu mkeo sky