Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Uko wapi siku hizi?Hahahahabaahahaha jamani nimecheka kwa nguvu balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi siku hizi?Hahahahabaahahaha jamani nimecheka kwa nguvu balaa
EdaUko wapi siku hizi?
Ile mimba hukuja kuitoa tena?
Ndiyo Ukweli WenyeweHuyo mtoto si wampeleke tu Chuo Kikuu.
Ninaowateuwa Wameshindwa Kufikiria Nje Ya BoxNifafanulieni basi wanampima nini? Uzito, urefu au? Huyo ni wa kupelekwa shule bora tu.
Mnaboresha madarasa kama zawadi kwakuwa amepatikana mtoto mwenye kipaji hapo? Shule zisizo na watoto wenye kipaji waendelee ku suffer
Je, mna mpango gani wa kuibua vipaji vingine zaidi ya hicho katika maeneo mengine?
Huyu mtoto siyo wa kuanza kumchanganya. Naona na wanasiasa wameshaingia na kusema sijui arushwe darasa. Kama wanataka kumsadia apelekwe shule hizi za International lakini asirirushwe darasa wala asipewe pressure yoyote bali asome kama watoto wengine. Kama ni kipaji kitaonekana tu. Kuna wengine wanaweza kuwa namna hii wakiwa wadogo lakini wakikuwa wanabadilika na kuwa na akili za kawaida.unaweza mpeleka la 4 kumbe anajua kujumlisha na kutoa halafu kusoma na kuandika hajui, happy ndo atakapoburuza mkia maisha yake yote ya shule😀
Iligomaga..ndo.huyu ana 7mths nwIle mimba hukuja kuitoa tena?
MKUU UMEUA 😂😂 Daaa..!!Navyoijua hii serikali ya CCM soon watamvuruga huyu dogo mtashangaa tu mnamuuliza 5+5 anajibu 7 tena.
Kondom ilipasuka au?Iligomaga..ndo.huyu ana 7mths nw
SitumiiKondom ilipasuka au?
ni kweli mkuu wasimvuruge mtoto.Huyu mtoto siyo wa kuanza kumchanganya. Naona na wanasiasa wameshaingia na kusema sijui arushwe darasa. Kama wanataka kumsadia apelekwe shule hizi za International lakini asirirushwe darasa wala asipewe pressure yoyote bali asome kama watoto wengine. Kama ni kipaji kitaonekana tu. Kuna wengine wanaweza kuwa namna hii wakiwa wadogo lakini wakikuwa wanabadilika na kuwa na akili za kawaida.
Yaani nimekumbuka maneno ya Mh Kishimba hadi machozi yamenilengalenga, haipo haja ya mtoto kusoma darasa moja mwaka mmoja, na hakuna utafiti wowote uliosema ili mtoto aelewe vizuri anapaswa kusoma darasa moja mwaka mzima, tutumie hii kama role model kwa kuangalia watoto wengine wanaostahili kuvushwa, binafsi nakumbuka nilivyokuwa darasa la tatu nilikuwa nafundisha hesabu darasa la tano na sita.Utashangaa anapelekwa ata la pili tu wakati bado dogo ni kichwa ata la nne asome 6 month apige la tano.🚶🚶
Eti akijua ku ejaculate ndo basi tena😆😆Yaani nimekumbuka maneno ya Mh Kishimba hadi machozi yamenilengalenga, haipo haja ya mtoto kusoma darasa moja mwaka mmoja, na hakuna utafiti wowote uliosema ili mtoto aelewe vizuri anapaswa kusoma darasa moja mwaka mzima, tutumie hii kama role model kwa kuangalia watoto wengine wanaostahili kuvushwa, binafsi nakumbuka nilivyokuwa darasa la tatu nilikuwa nafundisha hesabu darasa la tano na sita.
Ila tatizo la watoto wakiafrica akishajua ku ejaculate tu akili yote huyeyuka, msishangae form four akapiga zero