Morogoro: Tundu Lissu awasha moto, ashangaa mabango ya kupatanishwa yaliyobandikwa nchi nzima

Morogoro: Tundu Lissu awasha moto, ashangaa mabango ya kupatanishwa yaliyobandikwa nchi nzima

Sipendi unafiki Mimi ,wananchi hatuna mtetezi kwa Sasa ,watawala wanatufanya wananchi vile wanavyojisikia.

Upinzani haueleweki ama hawajui waseme nini kuhusu wananchi au Asali inafanya kazi yake.Nchi imeoza Sana hii.

Katiba Mpya ije tu.
 
Sio kama babako mzazi?
Achana na Mambo ya kutenguana viuno mkuu.mm nimemuuliza mleta mada kashindwa kunijibu,nimeuliza ikiwa lisu anahoji na hakubaliani na mapatano ,kwahiyo mbowe alijichykulia maamuzi peke yake !??
 
Achana na Mambo ya kutenguana viuno mkuu.mm nimemuuliza mleta mada kashindwa kunijibu,nimeuliza ikiwa lisu anahoji na hakubaliani na mapatano ,kwahiyo mbowe alijichykulia maamuzi peke yake !??
Mbowe unaye muuliza hapa kafanya nini , ikiwa vikao vya maridhiano vinaendelea ? nilikupuuza kule mwanzo lakini naona unazidi kupayuka , kwanza maridhiano hayajaisha na wala maridhiano hayazuii chadema kusema mambo yake , halafu kwenye maridhiano Chadema imepeleka timu ya watu wengi , si Mbowe pekee , kwanini unadhani Mbowe anaweza kukipinga chama chake ?
 
Katika Mkutano wake Mkubwa wa hadhara wa Morogoro Mjini leo hii , ambao bila shaka umevunja rekodi ya Mahudhurio , Pamoja na Mambo mengine Tundu Lissu anahoji anayebandika mabango nchi nzima yakiwa na picha yake na ya watu wengine kwamba eti wamepatanishwa , amehojiwa kamavwamepatanishwa , wamepatanishwa na nani ?

Anadai kwamba hizo ni propaganda za kichovu , na kwamba anawezaje kupatanishwa huku kukiwa na watu waliouawa , kutekwa na kuumizwa na habari hadi leo hazijulikani ?

Akiongea kwa uchungu , Lissu anadai yeye mwenyewe alitandikwa risasi na hadi leo hakuna yeyote aliyekamatwa , anawezaje kupatanishwa na watu wa aina hiyo , anadai sasa hivi anaitwa CHIBA kutokana na majeraha ya wauaji wake (kwa wasiolewa chiba ni lugha ya mjini ikimaanisha mlemavu wa mguu) ,

amezungumzia kupotezwa kwa watu wengi sana akiwe Ben Saanane ambao hawajulikani walipo hadi leo , anasema katika hali hii awezaje kupatanishwa na waliokuwa madarakani unyama huu ukitendwa ? kwamba ambaye hayupo miongoni mwa watenda unyama huo ni mmoja tu , lakini wengine wote bado wapo , hapa unapanishwaje ?

Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Kumbe amesharudi. Mbona karudi kimya kimya au hakuna wa kumpokea.
 
Katika Mkutano wake Mkubwa wa hadhara wa Morogoro Mjini leo hii , ambao bila shaka umevunja rekodi ya Mahudhurio , Pamoja na Mambo mengine Tundu Lissu anahoji anayebandika mabango nchi nzima yakiwa na picha yake na ya watu wengine kwamba eti wamepatanishwa , amehojiwa kamavwamepatanishwa , wamepatanishwa na nani ?

Anadai kwamba hizo ni propaganda za kichovu , na kwamba anawezaje kupatanishwa huku kukiwa na watu waliouawa , kutekwa na kuumizwa na habari hadi leo hazijulikani ?

Akiongea kwa uchungu , Lissu anadai yeye mwenyewe alitandikwa risasi na hadi leo hakuna yeyote aliyekamatwa , anawezaje kupatanishwa na watu wa aina hiyo , anadai sasa hivi anaitwa CHIBA kutokana na majeraha ya wauaji wake (kwa wasiolewa chiba ni lugha ya mjini ikimaanisha mlemavu wa mguu) ,

amezungumzia kupotezwa kwa watu wengi sana akiwe Ben Saanane ambao hawajulikani walipo hadi leo , anasema katika hali hii awezaje kupatanishwa na waliokuwa madarakani unyama huu ukitendwa ? kwamba ambaye hayupo miongoni mwa watenda unyama huo ni mmoja tu , lakini wengine wote bado wapo , hapa unapanishwaje ?

Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
 
Sipendi unafiki Mimi ,wananchi hatuna mtetezi kwa Sasa ,watawala wanatufanya wananchi vile wanavyojisikia.

Upinzani haueleweki ama hawajui waseme nini kuhusu wananchi au Asali inafanya kazi yake.Nchi imeoza Sana hii.

Katiba Mpya ije tu.
Ifuate Kenya
 
Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Wapi huko ambako nchi haiko shwari. Nchi iko shwari.
 
Shetani hajawahi kumshinda Mungu , hata Jiwe alidhani ile ndio dawa , matokeo yake ikambabua mwenyewe , huenda kesho kutwa ukawa wewe , maana Mungu hataniwi .
Uwa unajifanya unamjua Mungu. Mungu angekuwa anakupenda sana usingezaliwa 3rd world country. Wewe na ukoo wako mpo kwenye nchi yenye shida ya afya, maji, umeme, miundombinu, utawala bora etc halafu unadhani unapendwa sana na Mungu. Tuachane na hizi tabia za kujificha kwenye dini na tupambanie maendeleo na haki zetu in any way necessary lakini I can tell you for a fact tayari unaishi jehanamu ya Duniani.
 
Katika Mkutano wake Mkubwa wa hadhara wa Morogoro Mjini leo hii , ambao bila shaka umevunja rekodi ya Mahudhurio , Pamoja na Mambo mengine Tundu Lissu anahoji anayebandika mabango nchi nzima yakiwa na picha yake na ya watu wengine kwamba eti wamepatanishwa , amehojiwa kamavwamepatanishwa , wamepatanishwa na nani ?

Anadai kwamba hizo ni propaganda za kichovu , na kwamba anawezaje kupatanishwa huku kukiwa na watu waliouawa , kutekwa na kuumizwa na habari hadi leo hazijulikani ?

Akiongea kwa uchungu , Lissu anadai yeye mwenyewe alitandikwa risasi na hadi leo hakuna yeyote aliyekamatwa , anawezaje kupatanishwa na watu wa aina hiyo , anadai sasa hivi anaitwa CHIBA kutokana na majeraha ya wauaji wake (kwa wasiolewa chiba ni lugha ya mjini ikimaanisha mlemavu wa mguu) ,

amezungumzia kupotezwa kwa watu wengi sana akiwe Ben Saanane ambao hawajulikani walipo hadi leo , anasema katika hali hii awezaje kupatanishwa na waliokuwa madarakani unyama huu ukitendwa ? kwamba ambaye hayupo miongoni mwa watenda unyama huo ni mmoja tu , lakini wengine wote bado wapo , hapa unapanishwaje ?

Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Lema baana una mambo 😂😂
 
Katika Mkutano wake Mkubwa wa hadhara wa Morogoro Mjini leo hii , ambao bila shaka umevunja rekodi ya Mahudhurio , Pamoja na Mambo mengine Tundu Lissu anahoji anayebandika mabango nchi nzima yakiwa na picha yake na ya watu wengine kwamba eti wamepatanishwa , amehojiwa kamavwamepatanishwa , wamepatanishwa na nani ?

Anadai kwamba hizo ni propaganda za kichovu , na kwamba anawezaje kupatanishwa huku kukiwa na watu waliouawa , kutekwa na kuumizwa na habari hadi leo hazijulikani ?

Akiongea kwa uchungu , Lissu anadai yeye mwenyewe alitandikwa risasi na hadi leo hakuna yeyote aliyekamatwa , anawezaje kupatanishwa na watu wa aina hiyo , anadai sasa hivi anaitwa CHIBA kutokana na majeraha ya wauaji wake (kwa wasiolewa chiba ni lugha ya mjini ikimaanisha mlemavu wa mguu) ,

amezungumzia kupotezwa kwa watu wengi sana akiwe Ben Saanane ambao hawajulikani walipo hadi leo , anasema katika hali hii awezaje kupatanishwa na waliokuwa madarakani unyama huu ukitendwa ? kwamba ambaye hayupo miongoni mwa watenda unyama huo ni mmoja tu , lakini wengine wote bado wapo , hapa unapanishwaje ?

Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Naongeza mwamba anasema , matokeo ya urais lazima kutangazwa kwenye gazeti la Serikali, mfano matokeo ya uchaguzi kuanzia 2005 mpaka 2015 yapo kwenye Gazeti la serikali ,ila ni 2020 tu hayapo , anasema maana yake ni kwamba serikali iliyoingia madarakani 2020 hakuchaguliwa

Pili anahoji 2019 wagombea wa serikali za vijiji na mtaa wa vyama pinzani walienguliwa wote , na wa ccm kupita bila kupingwa maana yake wote hawana baraka za kura kutoka kwa wananchi maana yake ...........(jibu mwenyewe)

Tatu mwamba anasema kwenye maridhiano walipeleka mapendekezo kadha wa kadha yahusuyo katiba ila mpaka mda huu pamoja namda kwenda hakuna hoja yoyote imejibiwa

Mh Lissu ni mtu na nusu , mawe aliyotupa pale kama kuna mwanaccm wa kuyajibu nite kuku nipo pale(lissu binafsi sina cha kukulipa ila uwepo wa Mungu ukakufunike kama kuku afunikavyo vifaranga vyake Amen na imekua)
 
Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Arusha ndio nyumbani kwa Mbowe, Mtei na Lema!
 
Back
Top Bottom