Morogoro: Tundu Lissu awasha moto, ashangaa mabango ya kupatanishwa yaliyobandikwa nchi nzima

Morogoro: Tundu Lissu awasha moto, ashangaa mabango ya kupatanishwa yaliyobandikwa nchi nzima

ni mwepesi sana yule samia, ni muoga....masikini anaogopwa sana na watawala..sijajua ni kwanini? ila magufuri pekee ndio alikuwa rafiki wa hili kundi kubwa
Tuna Rais asiye na ushawishi kwa wananchi wake.
 
Mpuuzi sana Lisu sasa anataka wafufuliwe ndio wapatanishwe, hapa anataka alipwe tu akimbie tena zikiisha aje na jipya , huyu dawa yake ilikuwa ile ile tu

USSR
Hapna asifanyiwe ukatili huo wa kijinga
 
Msijidanganye hakuna nchi duniani iliyojikomboa duniani Kwa njia ya makaratasi bila damu kumwagika Nyerere siyo kwamba naye alipigania uhuru kutoka Kwa wakoloni bali aliuomba Sasa kama unaelewa ukiomba msaada Kwa mtu yeyote akakusaidia ujue nyuma ya pazia Kuna masharti yake inabidi uyafuate Kwa hayo maridhiano mliyoaminishwa nyuma ya pazia kuwa ni ya kutukomboa watanzania ni upumbavu mtupu ndo maana mpaka Sasa mwananchi hujaambiwa cdm na CCM walilidhiana Nini kupitia boss wao ambaye ni SSH hayo ni maridhiano Yao Kwa faida Yao wenyewe sisi wananchi tusipopambania haki zetu wenyewe tusitegemee wanasiasa uchwara wa nchi hii ambao wako kimaslahi zaidi watatumbania #thinkbig!!!!
Umechanganya mambo mengi, hata yasiyohusiana, kiasi kwamba hujui unacholenga kukieleza kieleweke kwa anayekusoma.

Unadhani ukitumia maneno mengi kwenye andiko ndiyo utaonekana kuwa unajua kitu, kumbe hujui lolote.
Unapowaita wengine "wapumbavu" unasahau kuwa mpumbavu mkubwa ni wewe mwenyewe usiyeweza hata kujieleza ukaeleweka unalenga jambo gani.

Kama wewe unachojua kuhusu kujikomboa ni "kumwaga damu", pekee, nenda kamwage ya kwako usitafute za waTanzania kwa akili mbovu kama hii unayoionyesha hapa.

Sudan sasa hivi wanamwaga damu, nenda kajikomboe huko.
 
akiwa Mjini Morogoro amepokea ujumbe ulioletwa na Askari(mapolisi) wastaafu wa 2020 wakidai mafao yao na Pesa za kusafiria kurudi makwao
Pia Mh @TunduALissu amesema Hali ya kucheleweshwa mafao kwa wastaafu ni kwa wafanya Kazi wote

: "Wamebandika mabango nchi nzima wanasema tumepatanishwa tumepatanishwa na nani? Watu walio uawa na Mimi kupigwa risasa tumepatanishwa na nani?" Mh. Tundu Lissu muda huu Morogoro.

: #Maridhiano Maanake ni makubaliano ya watu wanaopendana sasa wanaafikiana kukubaliana

Sasa ni mwaka tokea tumeanza kitu kinachoitwa maridhiano hoja zetu tuliziwasilisha kwa njia ya maandishi lakini hakuna hata hoja moja imejibiwa hadi ninapoongea hapa .

#Mh @TunduALissu Akiwa Morogoro mjini.

Lissu : Mapendekezo tuliyopeleka kwa maandishi sasa ni mwaka alijajibiwa hata moja mpaka leo

Ila tunasikia sikia tu #KatibaMpya , ila tulichopendekeza hakuna kitu kimefanyiwa kazi, ila tuaambiwa tulieni tu, tunaona tu mambo yanaendelea bila mapendekezo yetu ya mwaka Jana.

Tumepeleka mapendekezo, kitu gani kifanyika, kifanyike lini na kifanyike na nani kupitia Maridhiano , ni mwaka sasa mpaka leo hakuna kitu kimejibiwa na tunakaribia kuingia kwenye chaguzi na sheria zile zile

Maridhiano ni jambo zuri ila tunaambiwa tu tulieni !! Sio sawa.

: Nimepita kwenye around about ya Morogoro nimeona Bango kubwa Lina Picha ya Samia na limeandikwa "Lipa Kodi Tujenge Nchi kwa Pamoja" Sasa hii ni wajenge Uchumi au Lipa kodi sisi tule, yote kwa yote haya mabango ni Campaign 2025 Ila tujiulize kwa Katiba ipi? Mh @TunduALissu

"Wamebandika mabango nchi nzima wanasema tumepatanishwa tumepatanishwa na nani? Mimi kwa Sasa wananiita Chiba walionipiga risasi waponimepatanishwa nao? Watu walio uawa na Mimi kupigwa risasa tumepatanishwa na nani?",walioporwa ardhi zao huko Mbarali, loliondo, Morogoro,mabwepande,wamepatanishwa na Nani?

Kupatanisha Ni kutenda haki na siyo kubandika mabango,,hapa Morogoro hamjapendelewa kuwa na mabango,nchi nzima Kuna mabango,Arusha kila mita 20 Kuna bango limewekwa na picha ya MH MBOWE na Mimi,wakati mwaka Jana tu walimuita gaidi,Leo siyo gaidi amekuwa mpatanishi SAA ngapi ?,tusidanganyane,kila mtu apige kelele,na nyie mashehe na wachungaji na maaskofu pigeni kelele,ongeeni haki na siyo tu kuhubiri pia mhoji vitu Kama hivi.

Mh. Tundu Lissu Leo Morogoro.
Namkubli San lisu mbowe embu ampishe apike kazi hyu mwamba
 
Ujumbe umeupata vyema, iliyobaki ni kuutumia kwa manufaa yako. Vinginevyo, utaendelea kuwa kiazi mbatata.
Hakuna ujumbe utaoweza kunipa we kilaza nikauchukua, soma vizuri uelewe nilichokiandika usiendeshwe na mihemko ya vyama vya kisiasa wakati mwingine tumia akili yako kuchakata mambo watu waoga dizaini yako ndiyo mnaturudisha nyuma kimaendeleo eti maridhiano ulishaambiwa wameridhiana Nini CCM inawageuza wapumbavu coz cccm ni Ile Ile nchi gani imefanya mageuzi Kwa hayo maridhiano, Kenya 2007 walinyooshana mtaani ndo ukaona baadhi ya mambo yakakaa sawa tulia. najua uzwazwa ukikutoka utanielewa!!!!
 
Hakuna ujumbe utaoweza kunipa we kilaza nikauchukua, soma vizuri uelewe nilichokiandika usiendeshwe na mihemko ya vyama vya kisiasa wakati mwingine tumia akili yako kuchakata mambo watu waoga dizaini yako ndiyo mnaturudisha nyuma kimaendeleo eti maridhiano ulishaambiwa wameridhiana Nini CCM inawageuza wapumbavu coz cccm ni Ile Ile nchi gani imefanya mageuzi Kwa hayo maridhiano, Kenya 2007 walinyooshana mtaani ndo ukaona baadhi ya mambo yakakaa sawa tulia. najua uzwazwa ukikutoka utanielewa!!!!
Bado unazongazonga hapa na nini, bado huelewi?
Unatumia mfano wa Kenya, na kwa kukosa akili kwako hutambui kwamba Kenya wamemwaga damu toka enzi za mau mau, na bado wanaendelea kumwaga damu; lakini kwa mpuuzi kama wewe hakuna unachojua!

Kwa mtu kama wewe usiye elewa chochote bali kukariri tu misemo, ni vigumu sana kuelezwa jambo na kulielewa.
Nadhani itanibidi nikuweke kwenye kapu la watu ninaowadharau sana hapa JF, pamoja na kwamba ndiyo kwanza nauona ujinga wako humu jukwaani.
 
Bado unazongazonga hapa na nini, bado huelewi?
Unatumia mfano wa Kenya, na kwa kukosa akili kwako hutambui kwamba Kenya wamemwaga damu toka enzi za mau mau, na bado wanaendelea kumwaga damu; lakini kwa mpuuzi kama wewe hakuna unachojua!

Kwa mtu kama wewe usiye elewa chochote bali kukariri tu misemo, ni vigumu sana kuelezwa jambo na kulielewa.
Nadhani itanibidi nikuweke kwenye kapu la watu ninaowadharau sana hapa JF, pamoja na kwamba ndiyo kwanza nauona ujinga wako humu jukwaani.
Sasa mpumbavu kama wewe ukinidharau si itakuwa ni vyema ungekuwa una akili timamu angalau ningehuzunika we kunidharau narudia Tena unatakiwa kujitambua usiendeshwe na mihemko na kujiona unajua kumbe bogus!!!!
 
Sasa mpumbavu kama wewe ukinidharau si itakuwa ni vyema ungekuwa una akili timamu angalau ningehuzunika we kunidharau narudia Tena unatakiwa kujitambua usiendeshwe na mihemko na kujiona unajua kumbe bogus!!!!
Yote haya uliyoandika hapa ni kama unajitambua kuwa unazo sifa zote za mambo hayo. Naendelea kukudharau.
 
Yote haya uliyoandika hapa ni kama unajitambua kuwa unazo sifa zote za mambo hayo. Naendelea kukudharau.
Mi mwenyewe nimekudharau sanaaaa na huna Cha kunizidi kima we kama ni msomi basi usomi wako haujakusaidia chochote ulipoteza muda TU yaani we ni mpumbavu wa mwisho ukweli daima ni mchungu😆😆
 
Mi mwenyewe nimekudharau sanaaaa na huna Cha kunizidi kima we kama ni msomi basi usomi wako haujakusaidia chochote ulipoteza muda TU yaani we ni mpumbavu wa mwisho ukweli daima ni mchungu😆😆
EeenHeeee!
Dharau iko pale pale, tena zaidi na zaidi. Ona sasa unavyozidi kujichafua mwenyewe!
 
Back
Top Bottom