Morogoro: Tundu Lissu awasha moto, ashangaa mabango ya kupatanishwa yaliyobandikwa nchi nzima

Morogoro: Tundu Lissu awasha moto, ashangaa mabango ya kupatanishwa yaliyobandikwa nchi nzima

..Chadema kuna uhuru wa maoni, na mawazo.

..Ccm mnasubiri atakachosema Mwenyekiti hata kama hakina mantiki mnaunga mkono.

Kama mna uhuru wa maoni, mawazo Chadema, toeni mawazo kwanza Mwenyekiti wetu apishe wengine, sbb kakaa miaka mingi sana, alafu uone mtakavyo fukuzwa kama mbwa, CHADEMA ndio hakuna uhuru kabisa, hata matumizi ya ruzuku hakuna anayejua, except Mwenyekiti.
 
Lissu anapenda "siasa za uasi".....

Kwa baadhi ya watu anaonekana ni mtengenezaji lakini ni kinyume chake.......

#SiempreJMT[emoji120]

Alafu Lissu au Chadema hawana sera kabisaaaaaaa, nilisema sana, Chadema wanakosa sera, hili ni tatizo, wao sera yao ni ku attack watu au CCM au kusema matatizo yao binafsi wakidhania ni sera
 
Unaweza kutuletea ushahidi wa maridhiano kufikiwa ?

Hapo Morogoro alisimama ruhusa ilitoka wapi? Mlikuwa mna ruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara? Moja ya dai la upinzani ilikuwa mikutano ya hadhara na polisi wanawalinda, au unajifanya hujui? Naona mnajisahau.

Alafu Lissu au Chadema hamna sera kabisaaaaaaa, nilisema sana, Chadema wanakosa sera, hili ni tatizo, wao sera yao ni ku attack watu au CCM au kusema matatizo yao binafsi wakidhania ni sera, sasa hivi Lissu anapiga kelele hapo akidhania labda hizo ni sera, hamna kitu hapo, pumba tu.

Pia akidhania labda atakatiwa fedha kidogo anyamaze, ndio kapotea moja kwa moja, hapati kitu, na huwa akipewa hela anakimbia Ubelgiji anakula kimya kimya huko wine zake, alafu zikiisha anarudi kupiga kelele huku, wakati familia yake ina uraia wa Marekani, anatuona sisi wapuuzi, atapiga kelele, sera hana na hata ubunge kupata 2025 nasema hawezi pata, sbb watu washaamka, ni mtu wa kelele tu, hana maendeleo yoyote.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mpuuzi sana Lisu sasa anataka wafufuliwe ndio wapatanishwe, hapa anataka alipwe tu akimbie tena zikiisha aje na jipya , huyu dawa yake ilikuwa ile ile tu

USSR
Mpunbafu kabisa wewe
 
Mbowe unaye muuliza hapa kafanya nini , ikiwa vikao vya maridhiano vinaendelea ? nilikupuuza kule mwanzo lakini naona unazidi kupayuka , kwanza maridhiano hayajaisha na wala maridhiano hayazuii chadema kusema mambo yake , halafu kwenye maridhiano Chadema imepeleka timu ya watu wengi , si Mbowe pekee , kwanini unadhani Mbowe anaweza kukipinga chama chake ?
Sasa ikiwa vikao vya maridhiano vinaendelea na mnapeleka viongozi wenu akiwemo mbowe mkuu wa chama ,Basi lisu haya Mambo ya maridhiano inaonekana hajui chochote ,na Kama anajua Basi hakubaliani nayo,na Kama hakubaliani nayo Basi lisu na mbowe hawako pamoja Tena kuhusu agenda ya maridhiano.Tatizo la lisu ni mlopokaji na Hana kifua Kama mbowe ,yaani badala ya kumwambia mwenyekiti wake na chama chake kuwa hataki maridhiano ,anatoka nje kupayuka .
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Lissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Lisu ni mnafiki,si akiambie chama chake hataki upatanishi, au kaamua kuwafikishia ujumbe chadema huku nje baada ya kuona vikao vya ndani hawamuelewi
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Wananchi wameshaanza kuwakacha mahudhurio kwenye mikutano ni hafifu Sana.
 
Alafu Lissu au Chadema hana sera kabisaaaaaaa, nikisema sana, Chadema wanakosa sera, hili ni tatizo, wao sera yao ni ku attack watu au CCM au kusema matatizo yao binafsi wakidhania ni sera
[emoji2956]
 
Mpuuzi sana Lisu sasa anataka wafufuliwe ndio wapatanishwe, hapa anataka alipwe tu akimbie tena zikiisha aje na jipya , huyu dawa yake ilikuwa ile ile tu

USSR
Pumbavu shetani mkubwa!!
 
Kama mna uhuru wa maoni, mawazo Chadema, toeni mawazo kwanza Mwenyekiti wetu apishe wengine, sbb kakaa miaka mingi sana, alafu uone mtakavyo fukuzwa kama mbwa, CHADEMA ndio hakuna uhuru kabisa, hata matumizi ya ruzuku hakuna anayejua, except Mwenyekiti.

..sio kweli.

..Chadema imekuwa ikikaguliwa na CAG kila mwaka.
 
Masuala ya kuzuia kuhoji hata sijayazungumza mie, nilichosema ni kwamba Lissu anaonekana hana imani na hayo maridhiano tofauti na wengine kama Mbowe ambaye anaonyesha ana imani na haya maridhiano.
Hawa mbayuwayu hawajui hata wanapinga nini na wanaunga mkono nini?A confused bunch of morons.
 
Huko alikuwa anawbapigia mbuzi gitaa,wananchi wa Morogoro vichwa vyao ni vigumu sana kwa mabadiliko
 
Sipendi unafiki Mimi ,wananchi hatuna mtetezi kwa Sasa ,watawala wanatufanya wananchi vile wanavyojisikia.

Upinzani haueleweki ama hawajui waseme nini kuhusu wananchi au Asali inafanya kazi yake.Nchi imeoza Sana hii.

Katiba Mpya ije tu.
Pambaneni wenyewe raia mpate katiba mnayoitaka kama hamna imani na wanasiasa.
 
Tulishaandika mara kadhaa humu JF, kitu pekee kilichobadilika ni "mtindo (style)" tu ya uongozi.

Badala ya vurugu nyingi, makelele na kuumiza watu moja kwa moja, sasa kinachofanyika ni kutumia lugha laini tu, ya kupoza na kusahaulisha, huku malengo yakiwa ni yale yale ya tokea mwanzo.

Tena matokeo ya hii lainisha yatakuwa ni mabaya zaidi, kwa sababu hata baadhi ya wapambanaji watachanganyikiwa akili na kuachana na mapambano ya kuikomboa Tanzania toka kwa mkoloni huyu CCM.
Msijidanganye hakuna nchi duniani iliyojikomboa duniani Kwa njia ya makaratasi bila damu kumwagika Nyerere siyo kwamba naye alipigania uhuru kutoka Kwa wakoloni bali aliuomba Sasa kama unaelewa ukiomba msaada Kwa mtu yeyote akakusaidia ujue nyuma ya pazia Kuna masharti yake inabidi uyafuate Kwa hayo maridhiano mliyoaminishwa nyuma ya pazia kuwa ni ya kutukomboa watanzania ni upumbavu mtupu ndo maana mpaka Sasa mwananchi hujaambiwa cdm na CCM walilidhiana Nini kupitia boss wao ambaye ni SSH hayo ni maridhiano Yao Kwa faida Yao wenyewe sisi wananchi tusipopambania haki zetu wenyewe tusitegemee wanasiasa uchwara wa nchi hii ambao wako kimaslahi zaidi watatumbania #thinkbig!!!!
 
Back
Top Bottom