The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hivi Rais/IGP anasubiria nini kumfuta Kazi mkuu wa traffic Mbeya,Songwe na sehemu nyingine kwenye ajali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakifutwa kazi ndiyo itasaidia nini. Vitendea kazi na mifumo iboreshwe. Huoni ajabu kwanini inashindikana kuweka tochi usiku barabaraniHivi Rais/IGP anasubiria nini kumfuta Kazi mkuu wa traffic Mbeya,Songwe na sehemu nyingine kwenye ajali?
Ndio itawastua.Wakifutwa kazi ndiyo itasaidia nini. Vitendea kazi na mifumo iboreshwe. Huoni ajabu kwanini inashindikana kuweka tochi usiku barabarani
Kuna shida akiwa speed ndugu. Vitu vingne ni vya kujiongeza sisi wenywew tarifa Kama HYo Huwa na updates so si vyema kumkosoa mtoa hoja, Kuna MTU akisikia HYo gar imepata ajar kwake inatosha coz yawezkana ana ndugu au rafiki.Mbna uko speed hvyo mkuu embu tuliaa kaa chini tulia andika vzr
Huku atutafuti likes Wal ripota mzuri sas bas Kama unataka kuleta taarifa tuliaa kaa chini andika kwa ufasaa
unapopata breaking news inakusaidia hata kama wewe una ndugu anasafiri kujaribu kufuatilia sio lazima kila kitu akuletee yeye, je kama na yeye alikuwa kwenye basi anasafiri asimamishe basi ili akuletee habari kamili?Mbna uko speed hvyo mkuu embu tuliaa kaa chini tulia andika vzr
Huku atutafuti likes Wal ripota mzuri sas bas Kama unataka kuleta taarifa tuliaa kaa chini andika kwa ufasaa
We need a dislike [emoji107] buttonSema jamaa kaandika ki utopolo topolo sana
Ajali mbaya maeneo ya Mzumbe maiti ni nyingi.
Walioko Mzumbe tujuzeni basi la Mbeya.
UPDATE:
Basi la kampuni ya Ahmed Coach linalofanya safari Kati ya Tanga kuelekea Mbeya, limepata ajali maeneo ya Sangasanga Mkoani Morogoro muda si Mrefu, chanzo na Habari zingine tutatoa baada ya uchunguzi kufanyika.
View attachment 2155660View attachment 2155661
View attachment 2155662View attachment 2155663
Ooh shiiit gari yangu jamani uwiiii[emoji24][emoji24][emoji24]
Vipi dereva nao wamekufaMuda huu redio one wametangaza ajari hiyo.. inasemekana watu 13 wamepoteza maisha papo hapo..marehemu wapumzike kwa amani..
Hivi mbona ajali zimeanza kufululiza Tena,Ajali mbaya maeneo ya Mzumbe maiti ni nyingi.
Walioko Mzumbe tujuzeni basi la Mbeya.
UPDATE:
Basi la kampuni ya Ahmed Coach linalofanya safari Kati ya Tanga kuelekea Mbeya, limepata ajali maeneo ya Sangasanga Mkoani Morogoro muda si Mrefu, chanzo na Habari zingine tutatoa baada ya uchunguzi kufanyika.
View attachment 2155660View attachment 2155661
View attachment 2155663
View attachment 2155702