Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Hadi tutakapoamua kuukubali ukweli!!
Chanzo kukubwa cha ajali za Tanzania ni ubovu wa miundombinu na si mwendokasi kama tunavyoaminishwa na mamlaka za juu.
Head on collisions hata tupunguze speed limit iwe 40km/h bado kuna sehemu korofi zitasumbua
 
Nyang'anya leseni hao matajiri uchwara wasiojali maisha ya wananchi. F%$¥_=#k.
 
Hadi tutakapoamua kuukubali ukweli!!
Chanzo kukubwa cha ajali za Tanzania ni ubovu wa miundombinu na si mwendokasi kama tunavyoaminishwa na mamlaka za juu.
Head on collisions hata tupunguze speed limit iwe 40km/h bado kuna sehemu korofi zitasumbua
... Two weeks ago nilikatiza Dom to Iringa through Mtera; dah ile huwezi kuita barabara kwa hakika! Kule kote kona za Nyang'oro ni majanga matupu!

Nilikutana na vituo angalau viwili vya kupikia lami kuziba mashimo badala ya kupata solution ni uharibifu zaidi. Tanrods wanatakiwa kujipima.
 
hapo imekaaje?

basi lilikuwa linatikea tanga kuelekea mbeya au mbeya kuelekea tanga?
 
#BreakingNews: Watu 13 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Ahmeed baada ya kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likisafirishwa kwenda nje ya nchi lenye namba za IT 2816 katika eneo la Melela Kibaoni Barabara kuu ya Morogoro-Iringa. https://t.co/C9FDTmowku
Hata haliajaanza kutumika rasmi tayri limepata ajali cjui bima Huwa inahusika. R.IP wote
 
Hadi tutakapoamua kuukubali ukweli!!
Chanzo kukubwa cha ajali za Tanzania ni ubovu wa miundombinu na si mwendokasi kama tunavyoaminishwa na mamlaka za juu.
Head on collisions hata tupunguze speed limit iwe 40km/h bado kuna sehemu korofi zitasumbua
Mkuu umenena ukweli hapa,speed sio tatizo, tatizo letu barabara zetu ni mbovu mno,hii T1 imeoza, hii njia imejengwa Nyerere (rip)era muda wake umekwisha na tunahitaji T1 mpya itakayoendana na mabadiliko ya vyombo vinavyotumia barabara hii,always watanzania tunakimbilia short cut na rip zetu, accidents its someone's fault sio kazi ya Mungu na hapa tanroards ndio wahusika wakuu, ondoa regional manager wa morogoro na songwe.
 
Bad
Mkuu umenena ukweli hapa,speed sio tatizo, tatizo letu barabara zetu ni mbovu mno,hii T1 imeoza, hii njia imejengwa Nyerere (rip)era muda wake umekwisha na tunahitaji T1 mpya itakayoendana na mabadiliko ya vyombo vinavyotumia barabara hii,always watanzania tunakimbilia short cut na rip zetu, accidents its someone's fault sio kazi ya Mungu na hapa tanroards ndio wahusika wakuu, ondoa regional manager wa morogoro na songwe.
Bado vyovyote vile human error ni kubwa kuliko.. barabaran Kuna defense driving haiwezkan mkalaumu miondombinu jaman.. watu wanajua sehem fulan ni korofi lakn hwajal kuhusu speed Wala nini?? Utashi Wetu ni muhimu sana kwwnye kuchukua hatua stabil kuliko kulaumu miondombinu
 
Aisee mnyamaa uyu apa
Wapumzike kwa aman wotee
255658427020_status_863c361a995b471e94b13ffaec93344d.jpg
 
Ajali mbaya sana, eti dereva wa lori alihama ku overtake bodaboda..........hawa madereva wanyoa viduku ni shida, anataka kuendesha lori kama gari ndogo ya kutembelea, unaendesha lori una overtake bila kuwa na uhakika na gari zinazokuja kutokea mbele.
Dereva wa Lori ndio chanzo kumbe.
 
Back
Top Bottom