Morogoro: Watu takriban 14 wafariki dunia katika ajali ya Lori na Coaster eneo la Mikese

Kumbe ni Mikese Mkuu
 
Ajali imetokea jana Lubungo karibu na Mikese majira ya saa moja usiku….it was terrible…..coaster ilikuwa inatokea Dar kwenda Moro..

Ajali hiyo imetokea usiku wa saa mbili, Desemba 17 katika eneo la Mikese kwenye barabara kuu ya Morogoro - Dar es Salaam wakati basi dogo ilipokuwa inatokea mkoani Morogoro kuelekea Dar es Salaam na Lori hilo likitokea Dar es Salaam kwenda Mikoani.

Taarifa zinachanganya
 
Ewaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,hayo ndio maneno sasa,hongera kwa kupambana hadi kutukamilishia taarifa,asante sana

Pole sana kwa wafiwa wote na majeruhi.Mwenyezi Mungu awaponye
 
Ndugu mtoa mada hebu badilisha heading ya hii taarifa Vigwaza iko Pwani na Mikese ipo Morogoro.
 
Sasa sisi tutajuaje si angemuuliza aliyemskia ndio ingekua rahisi zaidi au?
Kwa Nia njema TU. Hii tabia unayo ionyesha hapa uki ipalilia na kuiendeleza. Itakuchelewesha Sana kupata mafanikio na maendeleo kwa ujumla wote.

Zingatia na uifanyie kazi.

Shukrani 🙏
 
Ndugu mtoa mada hebu badilisha heading ya hii taarifa Vigwaza iko Pwani na Mikese ipo Morogoro.
Asante Mkuu ila hiyo sehemu haibadilishiki mpaka waingie wenyewe JF
 
Badilisha maelezo kwenye uzi yasome kama heading inavyosema mkuu.
Ningetamani kufanya hivyo ila mfumo unamruhusu admin tu mimi sina title editing access
 
This is so sad. My condolences to all those involved may God rest their precious souls in eternal peace as they embark eternity.

Magonjwa Mtambuka
 
Ningetamani kufanya hivyo ila mfumo unamruhusu admin tu mimi sina title editing access
Huwezi ku edit tittle. Edit maelezo ya kwenye uzi yaende kama title inavyosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…