Morogoro: Watumishi wa Umma Walazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Rais Samia leo hii

Morogoro: Watumishi wa Umma Walazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Rais Samia leo hii

Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.

Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.

Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Huo ujinga sifanyi, dadeeeeeeeeeeeeki
 
Sijasoma nikamaliza lakini najua hao watumishi watakuwa ni walimu.Maana walimu ni toile papers ya ccm na wao walishakubali hilo.
 
Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.

Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.

Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Kwanza Watumishi Huwa tunapenda viongozi wa kitaifa waje Kwa sababu tunapata off ila wakija wale wengine Huwa ni hasara hatutoki 😁😁
 
Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.

Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.

Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Fake Mafuriko😆😆😆
 
Hata hivyo,CCM ndo inatuweka mjini....mdomo mtupu haulambwi
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Lazima wahudhurie maana Ndiye muajiri wao na ndie mlipaji wao wa Mishahara na ndiye amewafanya wawe na tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana kutokana na kazi kubwa sana aliyoifanya ya kuboresha maslahi yao ikiwepo kupandisha mishahara yao kwa 23% hasa kwa wale wa kima cha chini,kulipaa malimbikizo yote ya madeni,kurejesha nyongeza ya kila mwaka ,kuboreshwa kwa mazingira ya kazi n.k. kwa hiyo wanakwenda kumsikiliza na kupokea maelekezo mbele ya wananchi ili wananchi wajuwe nini kimeagizwa na Rais wao kwa watumishi wao . Kusudi wananchi wakienda kupata huduma na wakatendewa tofauti na maelekezo ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa waweze kutoa taarifa ili hatua ziweze kuchukuliwa
Yale mafuriko fake ya kububujikwa😆😆😆
 
Naona umepaniki.kama hutaki kazi ya serikali basi acha hata leo.
Mgeni akija watu wanaenda kumuona wenyewe kwa mapenzi yao na sio kwa kukokotwa?

We Lucas si umetwambia Mama wanampenda mwakani hakuna kampemi kumbe ndio hivi?

Mnaiba kura mnaiba hadi mafuriko hewa.

Tukiwambia Tundu Lissu atawanyosha muwe mnaelewa.
 
Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.

Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.

Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Sasa si bora waende wakapimzike tu
 
Kuna watumishi wengine vilaza sana, sio kila lazma uanike mitandaoni. Mtu kama wewe hufai kuwa ofisini kama kwa nafasi unavujisha vitu vidogo kama hivi ukiwa nafasi kubwa utavujisha siri za watanzania.
Ukikamatwa na ufukuzwe usije kulialia hapa. Hili ni kosa kwa mtumishi
Sasa hapo kosa liko wapi ndugu hiyo si barua ya Mwaliko tu?

Au kwa kuwa ujinga umeanikwa umekasirika?
 
Hapo bado, watalazimishwa wapige kura ya wazi kwa ccm, wachangie ccm nk,
Mpaka pale akili zikitukaa sawa, siku tukielewa ccm ni janga kwa nchi hii
 
Mgeni akija watu wanaenda kumuona wenyewe kwa mapenzi yao na sio kwa kukokotwa?

We Lucas si umetwambia Mama wanampenda mwakani hakuna kampemi kumbe ndio hivi?

Mnaiba kura mnaiba hadi mafuriko hewa.

Tukiwambia Tundu Lissu atawanyosha muwe mnaelewa.
Sasa ulitaka watumishi wa umma waende bila ruhusa? Wanampenda sana na ndio maana utaona namna watakavyo furika na kumiminika kwa wingi wao. Leo hadi wana vyuo watakimbia na kutoroka vipindi ili wakamsikilize Rais wao mpendwa aliyewawezesha kusoma kwa raha baada ya kuwapa mikopo minono pamoja na hela nini ya kujikimu kwa siku.
 
Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.

Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.

Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Niliwaambia watu humu kuwa mjalaana samia ana nyota ya 💩💩 watu wakapinga ...mikutano yote ya samia watu wanao kuwepo ni wale walio lazimishwa kwenda kisiasa au kiserikali...tazama view wa video za samia YouTube hata zile za uzinduzi wa SGR ...utakuta view ni 20 hadi 800 tu ...pia kwenye mikutano yake watu waliopo ni makada wa ccm na watumishi wa serikali tu wananchi wa kawaida ni wachache awafiki tata asilimia 5 ya watu wanao kuwepo.
 
Mgeni akija watu wanaenda kumuona wenyewe kwa mapenzi yao na sio kwa kukokotwa?

We Lucas si umetwambia Mama wanampenda mwakani hakuna kampemi kumbe ndio hivi?

Mnaiba kura mnaiba hadi mafuriko hewa.

Tukiwambia Tundu Lissu atawanyosha muwe mnaelewa.
Jana kule ifakara mama aliomba kura nakutishia kuwa wakichagua upande mwingine itakula kwao kama ilivyotokea huko nyuma. Huyo ndio mama "yetu".
 
Back
Top Bottom