Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Yote haya wanafanya kumpumbaza Rais ili aamini kuwa watu wanampenda sana. Halafu wale punguani utawasikia kuwa eti kwa mafuriko haya ya wananchi hakuna hata haja kampeni mwakani.
Upunguani uliochanganyika na unafiki ni mzigo unaowaelemea viongozi punguani kama huyo mkurugenzi.
Upunguani uliochanganyika na unafiki ni mzigo unaowaelemea viongozi punguani kama huyo mkurugenzi.