Morogoro: Watumishi wa Umma Walazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Rais Samia leo hii

Morogoro: Watumishi wa Umma Walazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Rais Samia leo hii

Lazima wahudhurie maana Ndiye muajiri wao na ndie mlipaji wao wa Mishahara na ndiye amewafanya wawe na tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana kutokana na kazi kubwa sana aliyoifanya ya kuboresha maslahi yao ikiwepo kupandisha mishahara yao kwa 23% hasa kwa wale wa kima cha chini,kulipaa malimbikizo yote ya madeni,kurejesha nyongeza ya kila mwaka ,kuboreshwa kwa mazingira ya kazi n.k. kwa hiyo wanakwenda kumsikiliza na kupokea maelekezo mbele ya wananchi ili wananchi wajuwe nini kimeagizwa na Rais wao kwa watumishi wao . Kusudi wananchi wakienda kupata huduma na wakatendewa tofauti na maelekezo ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa waweze kutoa taarifa ili hatua ziweze kuchukuliwa
Ila kuna wakati mtu anatamani akurukie kichwa, basi tu hatuko ana kwa ana.
 
hiyo kawaida kwa watumishi wa uma wanalazimishwaga hadi kuchangis mwenge.


baba mtu mzima unaamuriwa ukamsikilize raisi na huwez chomoa.... maisha ya kinayaonge sana ila ndiyo waliyochagua si wanasema wanavuka na mama 🤣🤣🤣🤣
Wanawaonea sana walimu, mbona watumishi wa kada zingine hawalazimishwi. Amwandikie VC wa SUA kuwa watumishi wa SUA nao waende hapo, aone kama watatii.
 
Kuna ubaya gan kwenda kumsikiliza boss wao anasema nn
Punguza mihemko
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hii ndio Taarifa ya Aibu ambayo imetufikia wakati tunaingia mitamboni, tushasema humu mara kadhaa kwamba ccm haina watu, Haiwezekani chama kisababishe dhiki ya kiwango hiki kiasi cha watu kuanza kuvaa viraka halafu kiungwe mkono, Never!

Sasa someni wenyewe hapa ili mjionee

IMG-20240806-WA0003_2.jpg
 
Ni mtazamo tu wa wananchi na Wana mapinduzi wa CCM. Kila la kheri mheshimiwa Samia suluhu Hassan.
 
Back
Top Bottom