Kama kawaida ni walimu hakuna wahudumu wa afya wala kilimoWatumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.
Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.
Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Kuna ubaya gani..huyo ndio mwajiri Mkuu..kuna vitu vya kuvisema lakini sio hiliWatumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.
Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.
Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Tuliandika hayo jana watu wakatushambulia leo yanatokeaHii ni habari njema kwa wanafunzi wa shule za kata na walimu wao, wanakwenda outing leo.
Kwa maelezo yake inaonekana huyu ni Mkuu wa Shule....hata haoni aibu na hatambui kwamba Mhe. Rais ndio mwajiri Mkuu.Kuna watumishi wengine vilaza sana, sio kila lazma uanike mitandaoni. Mtu kama wewe hufai kuwa ofisini kama kwa nafasi unavujisha vitu vidogo kama hivi ukiwa nafasi kubwa utavujisha siri za watanzania.
Ukikamatwa na ufukuzwe usije kulialia hapa. Hili ni kosa kwa mtumishi
Yaani wewe kama Mkuu wa Shule huna akili na haustahili hiyo nafasi..hiyo ni barua ya ndani na siyo taarifa kwa Umma.Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.
Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.
Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Kweli na wasipofanya hivyo itakuwa aibu sana maana watu hawana mpango na ccmYote haya wanafanya kumpumbaza Rais ili aamini kuwa watu wanampenda sana. Halafu wale punguani utawasikia kuwa eti kwa mafuriko haya ya wananchi hakuna hata haja kampeni mwakani.
Upunguani uliochanganyika na unafiki ni mzigo unaowaelemea viongozi punguani kama huyo mkurugenzi.
Hoja yako ni nini?Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.
Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.
Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Acha ukaidi🤣🤣🤣Huo ujinga sifanyi, dadeeeeeeeeeeeeki
Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.
Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.
Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)
View attachment 3062618
Halafu wanajipigisha picha na kujisifia nazo, kumbe watu wamelazimishwa!Huenda hata kupiga kura wanalazimishwa kwa siri kuchagua ccm bila ridhaa yao. Barua hiyo inaonesha nyomi kwenye mikutano ya rais ni ya kulazimishana, watu hawahudhurii kwa matakwa yao.
hahahahhahahahaa yaani Mungu anisaidieAcha ukaidi🤣🤣🤣
Kama nakuona🤣🤣🤣hahahahhahahahaa yaani Mungu anisaidie
Katika comments zote hii imenikata mbavu 🤣 😂Waafrika watu wa hovyo sana....muda wa kukoroga lisaini lote hilo anautoa wapi?