Morogoro: Watumishi wa Umma Walazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Rais Samia leo hii

Morogoro: Watumishi wa Umma Walazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Rais Samia leo hii

Katiba mpya itatufanya tuondokane na rais mungu mtu
Kama hutaki kumuheshimu Head of State acha kufanya kazi serikalini. Very Simple. Duniani kote watumishi wa Serikalini wanamuheshimu Head of State

Ignorance inasumbua wengi sana 🤣🤣🤣
 
Kwahiyo mauajiriwa wa serikali lazima awe SISIEMU? Kwa sheria zipi? Uhuru wa kuchagua chama anachokipenda upo wapi?
Mwashambwa wakati wote huishi katika upunguani. Hajui kuwa mfanyakazi anakuwepo kazini kwa kanuni za ajira.Na kwenye kanuni hizo mwajiriwa halazimiki kushiriki shughuli za kisiasa bali ana uhuru wa kushiriki au kutoshiriki.
 
Yaani huduma zote za kujamiii zisitishwe, barabara zifungwe n.k ndiyo heshima hiyo?

Katiba mpya inatakiwa ili madaraka yagatuliwe siyo kuhodhiwa na rais mfalme.
I told you nyie ni idiots barua imetoa maelekezo akina nani wanatakiwa waende kwenye mkutano.


1722949978055.png


Low education na kukurupuka kunawasumbua sana 🤣 🤣 🤣
 
Kwahiyo mauajiriwa wa serikali lazima awe SISIEMU? Kwa sheria zipi? Uhuru wa kuchagua chama anachokipenda upo wapi?
Wewe kama ni mwajiriwa wa Serikali ni mtumishi wa Serikali ya CCM. You must obey that. Mbona simple tu. Hebu niambie kiwango chako cha elimu nijishushe nikuelelze vizuri
 
Kama hutaki kumuheshimu Head of State acha kufanya kazi serikalini. Very Simple. Duniani kote watumishi wa Serikalini wanamuheshimu Head of State

Ignorance inasumbua wengi sana 🤣🤣🤣
Wewe yawezekana ni kichaa ysiyejitambua kuwa ni kichaa punguani. Yaani una akili ndogo kiasi cha kuamini kuwa heshima kwa mkuu wa nchi hudhihirishwa kwa kwenda kwenye mikutano yake ya kampeni inayofanywa kinyume cha sheriai!! Kwa akili yako ndogo, wote ambao hawajaenda kwenye hiyo mkutano wamemdharau kiongozi wa nchi!! Ama kweli nchi imejaa mapunguani.

Hivi tangu aanze hiyo mikutano, kuna nini cha maana alichowahi kuongea kiasi cha watu wote, including wenye akili timamu, waende kumsikiliza? Hiyo mikutano bila shaka anafanya kwa umbrela ya kuwa mwenyekiti wa CCM, ndiyo maana unaona anaongelea mambo ya uchaguzi kwa hoja zisizo na vichwa wala miguu.
 
Watumishi wa umma manispaa ya Morogoro wameamriwa na mkurugenzi kwenda kwenye mkutano wa hadhara wa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waalimu wa shule za kutwa wameambiwa wawaruhusu watoto saa 4 asubuhi kisha waende uwanja wa Jamhuri, wakuu wa shule watatakiwa kuchukua rokoo ya waalimu walio hudhuria kisha watakao kaidi majina yao yatawasilishwa kwa mkurugenzi wa manispaa.

Hii ni barua tuliyopewa (wakuu wa shule) kisha tumepigiwa simu kuhesabu watumishi walio chini yetu na kuwasilisha majina ya watakao kaidi.

Mimi ntawashughulikia watakao kaidi kulinda kibarua changu. Nakupenda sana mama yangu Samia (kwa sauti ya kinafiki)

View attachment 3062618
 

Attachments

  • IMG-20240806-WA0047.jpg
    IMG-20240806-WA0047.jpg
    49.3 KB · Views: 1
Wewe yawezekana ni kichaa ysiyejitambua kuwa ni kichaa punguani. Yaani una akili ndogo kiasi cha kuamini kuwa heshima kwa mkuu wa nchi hudhihirishwa kwa kwenda kwenye mikutano yake ya kampeni inayofanywa kinyume cha sheriai!! Kwa akili yako ndogo, wote ambao hawajaenda kwenye hiyo mkutano wamemdharau kiongozi wa nchi!! Ama kweli nchi imejaa mapunguani.

Hivi tangu aanze hiyo mikutano, kuna nini cha maana alichowahi kuongea kiasi cha watu wote, including wenye akili timamu, waende kumsikiliza? Hiyo mikutano bila shaka anafanya kwa umbrela ya kuwa mwenyekiti wa CCM, ndiyo maana unaona anaongelea mambo ya uchaguzi kwa hoja zisizo na vichwa wala miguu.
Hapa umeandika mataputapu mdogo wangu.
Leta hoja za nguvu ujadiliane na watu wasomi kama mimi
Nimekufundisha kuwa President is a Head of State Kama kwenye Kampuni yeye ndiye mwajiri.

So isome barua vizuri na uache kukurupuka kama mtu usiye na akili
 
Back
Top Bottom