mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Dah,huyu jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo lina ushabiki? mtu kajeruhiwa wewe unaleta upuuzi wako, akili zako kama techco yakoTatizo mashabiki wa utoporo mnawashwa sana na mna viherehere.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hilo nalo lina ushabiki? mtu kajeruhiwa wewe unaleta upuuzi wako, akili zako kama techco yako
Hilo nalo lina ushabiki? mtu kajeruhiwa wewe unaleta upuuzi wako, akili zako kama techco yako
Wakili msomi yuleWamlaze ndani leo
Hiyo simu unayotumia inaendana na wewe.Tatizo mashabiki wa utoporo mnawashwa sana na mna viherehere.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Morisson amfuate tu mtu asiyemjua kisha amjeruhiHilo nalo lina ushabiki? mtu kajeruhiwa wewe unaleta upuuzi wako, akili zako kama techco yako
Serikali ina kazi ngumu sana kufuga mtu kama wewe na inakuhudumiaTatizo mashabiki wa utoporo mnawashwa sana na mna viherehere.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Morrison naye ni chizi!! Pale aliweka hata maisha yake rehani, huwezi kushindana na mashabiki wote wale na ashukuru wajeda walijitokeza kumuokoa!! Ukipenda kushangiliwa kubali kuzomewa pia, kwa kuwa ndio haki kuu za mashabiki! Morrison anashida yule!! Kule Kigoma alivua nguo akabaki na boksa, South kapigwa marufuku kukanyaga!!Mashabiki wa yanga huwa wanawashwa washwa leo mmeyaoga.
[emoji1][emoji16] Tecno boom,khaa....Hilo nalo lina ushabiki? mtu kajeruhiwa wewe unaleta upuuzi wako, akili zako kama techco yako