Morrison agombana na shabiki wa Yanga, adaiwa kutumia kitu chenye ncha kali

Morrison agombana na shabiki wa Yanga, adaiwa kutumia kitu chenye ncha kali

Hayupo ndani, Morrison katoka tangu jana. Alishikiliwa na Polisi kumhakikishia usalama tu lakini hakuna kesi yoyote.

Apewe kasi gani ikiwa alikuwa anapambana na wanyang'anyi wa yanga?
Mpe taarifa kua hayopo salama.
Wanajangwani hatuna dogo atafatwa mo arena tumvishe chupi kichwani tena.
 
Acha kutetea mambo yasiyo na maana mkuu.
Morisson ni mtukutu sawa lakini hawezi kuanza kushambulia mtu bila chanzo.

Mkisha toka uwanjani mkataba kati ya mchezaji na shabiki umeisha tofauti na hapo unaingilia maisha yake binafisi.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo huyo morisoni hawezi kukosea ama??
Unaposema hawezi kushambulia bila chanzo ulikuwepo eneo la tukio??

Huyo ni chizi, shauri yenu atakuja igharimu simba kwa nidhamu yake mbovu.
 
Hayupo ndani, Morrison katoka tangu jana. Alishikiliwa na Polisi kumhakikishia usalama tu lakini hakuna kesi yoyote.

Apewe kasi gani ikiwa alikuwa anapambana na wanyang'anyi wa yanga?
Yani ni sawa na huu ujinga uliiongea hapa afu mtu anakuchoma bisi bisi afu watu wanasema ni sawa unastahili.
 
Ujinga wa watanzania ni kutetea upumbavu bila kujali athari zake!!, Leo watu wa Simba mnamuona Morrison km kafanya jambo la kishujaa sana??. Manara alipokuwa upande wenu alikuwa mropokaji na mtoa maneno machafuu lakini baada ya kuhamia yanga akaanza kufanya aliyokuwa anayafanya yupo Simba mishipa mpk ya miqundu inawatoka kwa kuona manara Hana adabu ila alipokuwa Simba mlifurahia maneno hayo.

Emmanuel okwi,
Tambwe,
Chama,
Niyonzima.
Kagere, na wengine wengi wapo hapa Tz kwa muda mrefu Wala hakuna walipozomewa Wala kusumbuana na mashabeki!! Kwanini iwe Morrison?? Mtu mwenye akili timamu hawezi kuishangilia huu ujinga na akumbuke yeye ni mmoja mashabiki ni wengi na hili ameacha deni ipo siku atalilipa aidha uwanjani au nje ya uwanja.

Tuache kutetea upuuzi
Sisi tuna msapoti Manara
 

Attachments

  • VID-20220430-WA0043.mp4
    2.6 MB
Ujinga wa watanzania ni kutetea upumbavu bila kujali athari zake!!, Leo watu wa Simba mnamuona Morrison km kafanya jambo la kishujaa sana??. Manara alipokuwa upande wenu alikuwa mropokaji na mtoa maneno machafuu lakini baada ya kuhamia yanga akaanza kufanya aliyokuwa anayafanya yupo Simba mishipa mpk ya miqundu inawatoka kwa kuona manara Hana adabu ila alipokuwa Simba mlifurahia maneno hayo.

Emmanuel okwi,
Tambwe,
Chama,
Niyonzima.
Kagere, na wengine wengi wapo hapa Tz kwa muda mrefu Wala hakuna walipozomewa Wala kusumbuana na mashabeki!! Kwanini iwe Morrison?? Mtu mwenye akili timamu hawezi kuishangilia huu ujinga na akumbuke yeye ni mmoja mashabiki ni weng..

Tuache kutetea upuuzi
We Matacle usilazimishe tufanane mitazamo.
wewe kama unaona amefanya jambo la kipuuzi sisi wengine tunaona amefanya jambo la kishujaa tena siku nyingine mtu akimletea udwanzi linabidi amkate sikio.
simu yangu na kifurushi ni changu tusipangiane.
 
Simba ndio wametuharibia huyu mtu alipokua Yanga alikua timamu na hatari uwanjani!
 
We Matacle usilazimishe tufanane mitazamo.
wewe kama unaona amefanya jambo la kipuuzi sisi wengine tunaona amefanya jambo la kishujaa tena siku nyingine mtu akimletea udwanzi linabidi amkate sikio.
simu yangu na kifurushi ni changu tusipangiane.
Mihemko na ushabiki maandazi unakusumbua choko ww 😀
 
Back
Top Bottom