Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Afukuzwe nchini huyo chizi.
Ona naanza kuua watanzania wenzetu, ipo siku atakuja na bomu uwanjani.
Mnalitetea eti kisa shabiki alimfata, na nyie muungane nae mahabusu huko.
Yeye ni mtu maarufu kufatwa ni lazima, kutukanwa ni lazima yani hiyo haikwepeki.
Ndio maana mastar kwenye mechi kama hizo hukaa mbali na mashabiki kabisaaa kuepuka dhahma kama hizo.
Kama mchezaji huwezi kucontrol hisia zako hufai kua mchezaji, tena unataka kuua kabisa, afukuzwe nchini huyo
Ona naanza kuua watanzania wenzetu, ipo siku atakuja na bomu uwanjani.
Mnalitetea eti kisa shabiki alimfata, na nyie muungane nae mahabusu huko.
Yeye ni mtu maarufu kufatwa ni lazima, kutukanwa ni lazima yani hiyo haikwepeki.
Ndio maana mastar kwenye mechi kama hizo hukaa mbali na mashabiki kabisaaa kuepuka dhahma kama hizo.
Kama mchezaji huwezi kucontrol hisia zako hufai kua mchezaji, tena unataka kuua kabisa, afukuzwe nchini huyo