Mtu aliyevua nguo hadharani akaweka kichwani unamwamini kabisa?Morisson amfuate tu mtu asiyemjua kisha amjeruhi
Huyo shabiki kuna namna katafuta atandikwe alikuwa anawashwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu aliyevua nguo hadharani akaweka kichwani unamwamini kabisa?Morisson amfuate tu mtu asiyemjua kisha amjeruhi
Huyo shabiki kuna namna katafuta atandikwe alikuwa anawashwa
Hivi ile video umeiona?? Au na wewe unawaamini wanasimba kua alifatwa kwenye gari akaanza kutukanwa??Acha kutetea ujinga hakuna kitu chochote kinacho halalisha kumshambulia mtu ambaye hajakuchokoza.
Yaan mtu sikujui sija kuongelesha alafu unifuate kwenye gari yangu uanze kunitukana kisa mm ni mtu maarufu?
Ronardo juzijuzi tu hapa huliivunja vunja simu shabiki kwa ajili ya upumbavu kama huu
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo morsson alifuata tu na kuanza kumshambulia bila sababu?Hivi ile video umeiona?? Au na wewe unawaamini wanasimba kua alifatwa kwenye gari akaanza kutukanwa??
Kwahiyo solution ni kumchoma mtu na bisibisi.
Unatetea mauaji kisa huyo aliyechomwa hakuhusu wewe.
Yani kwa namna yoyote hakutakiwa kumtia mtu bisu.
Ushabiki wa simba na yanga unafahamika nchi nzima, watu wanataniana mno. Hiyo ya kusema Morison alitukanwa hakuna mwenye ushahidi nayo mnaisema ili kumlinda tu kisa ni mchezaji wenu.
Punguza ulimbukeni na dharau kila mtu anafanya kile anacho kiweza ww kama una uwezo wa kununua sumsing si kila mtu ana uwezo uwo na ndio dunia ilivyo watu hatujawahi kulingana.Badilisha simu kwanza uje tuongee
Kwa akili ya morison hilo linawezekana kabisa. Angekua mtu kama bocco, zimbwe jr, hapo kweli mtu atakaesema wao ndo wakorofi ni apigwe tu.Kwahiyo morsson alifuata tu na kuanza kumshambulia bila sababu?
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Bisibisi ilikuwa ni ya shabiki mwenyewe aliyechomwa , mpaka sasa hakuna kesi yoyote.professional player anapaswa aweze kujizuia na matukio ya namna hiyo, sielewi hata bisi bisi itakuwa aliipata wapi. Matukio ya namna hiyo anapaswa kuwaachia akina Yondani na Juma Nyoso.
Aliyechomwa ndie mmiliki wa ile bisibisi, ilifaa amwage utumbo.Kwa akili ya morison hilo linawezekana kabisa. Angekua mtu kama bocco, zimbwe jr, hapo kweli mtu atakaesema wao ndo wakorofi ni apigwe tu.
Lakini huyo jamaa wenu ni chakaramu na inafahamika. Mtu anavaa chupi kichwani, anabaki mtupu kwenye halaiki kama ile hivi kweli huyo akili yake iko sawa!!??
Kumtia mtu bisu ilikua ni suala la muda tu, subiri aingie na bomu uwanjani sasa.
Hajamwaga utumbo, na huyo chizi yupo ndani.Aliyechomwa ndie mmiliki wa ile bisibisi, ilifaa amwage utumbo.
Acha kutetea mambo yasiyo na maana mkuu.Kwa akili ya morison hilo linawezekana kabisa. Angekua mtu kama bocco, zimbwe jr, hapo kweli mtu atakaesema wao ndo wakorofi ni apigwe tu.
Lakini huyo jamaa wenu ni chakaramu na inafahamika. Mtu anavaa chupi kichwani, anabaki mtupu kwenye halaiki kama ile hivi kweli huyo akili yake iko sawa!!??
Kumtia mtu bisu ilikua ni suala la muda tu, subiri aingie na bomu uwanjani sasa.
Hayupo ndani, Morrison katoka tangu jana. Alishikiliwa na Polisi kumhakikishia usalama tu lakini hakuna kesi yoyote.Hajamwaga utumbo, na huyo chizi yupo ndani.
Majambazi ya utopoloHayupo ndani, Morrison katoka tangu jana. Alishikiliwa na Polisi kumhakikishia usalama tu lakini hakuna kesi yoyote.
Apewe kasi gani ikiwa alikuwa anapambana na wanyang'anyi wa yanga?
Morrison hastahili kutetewa kwa lolote, kwa chochote! Ukiondoa kipaji chake kikubwa cha mpira alicho nacho, Morison ni useless tu kwenye jamii ya wastaarabu.Hayupo ndani, Morrison katoka tangu jana. Alishikiliwa na Polisi kumhakikishia usalama tu lakini hakuna kesi yoyote.
Apewe kasi gani ikiwa alikuwa anapambana na wanyang'anyi wa yanga?
Namzungumzia katika muktadha wa hiki kinachojadiliwa hapa mkuu, hakuwa na kosa lolote.Morrison hastahili kutetewa kwa lolote, kwa chochote! Ukiondoa kipaji chake kikubwa cha mpira alicho nacho, Morison ni useless tu kwenye jamii ya wastaarabu.
Ipo siku utakuja kujilaumu kwa nini ulimtetea mvuta bangi kama Morrison.
Nunua ItelPunguza ulimbukeni na dharau kila mtu anafanya kile anacho kiweza ww kama una uwezo wa kununua sumsing si kila mtu ana uwezo uwo na ndio dunia ilivyo watu hatujawahi kulingana.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Sio wanyang'anyi tu ndio mipanya road hayo yanatembea na bisibisi matokeo yake limepigwa lenyewe.Hayupo ndani, Morrison katoka tangu jana. Alishikiliwa na Polisi kumhakikishia usalama tu lakini hakuna kesi yoyote.
Apewe kasi gani ikiwa alikuwa anapambana na wanyang'anyi wa yanga?