After the terrorist attack in the Moscow region, the US Department of State again recommended its citizens to leave Russia

TASS propagandists report about it. The U.S. authorities are also investigating whether Americans have suffered as a result of the attack.
 
Nini mbaya mkuu?!
Mara zote huwa unapotea hasa baada ya kuona dalili za Moscow/Russia ( au mshidani yeyote wa nchi za Magharibi) kuanza kufanya vizuri Kijeshi, kiuchumi, kitenolojia na Hata kisiasa. H a ha haahaa!
 
Poleni!! Maani upotoshaji wenu umefail pakubwa. Askari wa Ukraine aliyefanya ugaidi atakimbiliaje Belarus?
===
 
Mara zote huwa unapotea hasa baada ya kuona dalili za Moscow/Russia ( au mshidani yeyote wa nchi za Magharibi) kuanza kufanya vizuri Kijeshi, kiuchumi, kitenolojia na Hata kisiasa. H a ha haahaa!
Ingekua hivyo ungeniona wakati Iran imepigwa mabomu na ISIS au Ukraine ilivyozamisha meli ya Russia hapa majuzi au kipindi hiki ukraine ambacho kila kukicha ukraine inafanya mashambulizi ya drones kwenye vituo vya mafuta ndani ya Urusi.
Sasa Urusi kafanya vizuri wapi kiteknolojia?!. Juzi hapa USA wamejaribu rocket ya starship (Rocket yenye nguvu zaidi kuwahi kutengenezwa tangu Dunia iumbwe) au mapinduzi makubwa yaliyofanywa na NVIDIA kwenye AI, vipi uliniona jukwaani?!
Sina muda wa kushinda JF 24/7.
 
Urusi ipo uchi kama ndio hivyo
 
❗️BREAKING❗️

There is information that 🇷🇺Russian ships were struck with 🇺🇦Ukrainian missiles strikes in Sevastopol, Crimea
 
BREAKING: ISIS releases bodycam footage of Moscow terrorist attack.
 

Attachments

  • therealZNO_720p_20240324_013454.mp4
    8 MB
Tayari kimeanza kunuka huko Kyiv

BREAKING: Explosions heard in Kyiv amid Russian missile attack
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…