Moscow, Urusi: Shambulio la kigaidi laua Watu zaidi ya 130
Daaah mamaae hawa majamaa nimenyooshaa mikono, washikaji wana mapumbu ya Chuma, hivi unawezaje lichokonoa lidude kama liRussia... Mazee hatari sana
Ruzzia anawatisha nyie tu Wamatumbi na story zenu za vijiweni, magaidi wanamuona kama mchumba tu.
 
Ruzzia anawatisha nyie tu Wamatumbi na story zenu za vijiweni, magaidi wanamuona kama mchumba tu.
Let them come alive for real battle,Hao magaidi wenzako wa ISIS,walipigwa Kule Syria na URUSI wakakaa chini
 
Daaah mamaae hawa majamaa nimenyooshaa mikono, washikaji wana mapumbu ya Chuma, hivi unawezaje lichokonoa lidude kama liRussia... Mazee hatari sana
Hii Dunia kuna wahuni,vichwa vimeshavurugwa

Jiulize Hao magaidi wamejiamini vip kusafiri mpk Kremlin, Russia kupiga tukio na kuwasha gari kuanza Safari ya kutoroka km karibia 520
Walibakiza km 150 tu,wafike mpakani wasingepatikana tena

Raia zinajiamini kupita kiasi,ukizubaa unazikuta chumbani kwako 😄
 
Let them come alive for real battle,Hao magaidi wenzako wa ISIS,walipigwa Kule Syria na URUSI wakakaa chini
Amalizane kwanza na Ukraine, wiki moja imegeuka kuwa mwaka wa tatu huu bado wanamenyana.
 
Na Marekani wameua wananchi wengi Iraq,Syria,Somalia Yugoslavia n.k
Haikuwa mabishano au mashindano ya nani ameua raia wengi, nimemjibu aliyeuliza ISIS wana shida gani na Ruzzia hadi wawashambulie.
 
Sio kujiamini ni kujitoa mhanga tu.Hata wewe unaweza ukaenda ikulu ukiamua.
Hii Dunia kuna wahuni,vichwa vimeshavurugwa

Jiulize Hao magaidi wamejiamini vip kusafiri mpk Kremlin, Russia kupiga tukio na kuwasha gari kuanza Safari ya kutoroka km karibia 520
Walibakiza km 150 tu,wafike mpakani wasingepatikana tena

Raia zinajiamini kupita kiasi,ukizubaa unazikuta chumbani kwako 😄
 
KWA WATU WALIOSOMEA CUBA TU

Hii hapa chini ni Statement ya Putin kwa ufupi hapo jana

Wiki:
NEW: Vladimir Putin suggests Ukraine was helping the
 terrorists who conducted the Moscow Concert Hall attack.

“All the four perpetrators were directly involved who were gunning 
people down, killing people, were found and apprehended.”

“They were moving towards the border with Ukraine, and we
 have data that suggests that they were about to be moved 
towards the territory of Ukraine by those in Ukraine.”

“Our military services, our emergency services, everyone is,
 our investigators are working on finding out the orchestrators of this terrorist attack.
Those who gave them transportation, who created, who gave them weapons…”

SHIFTING OF PLAN
Kutokana na Statement hiyo naona kabisa stage inayofuata ni kwenda kuwasaka watu waliokuwa wanawasiliana na magaidi haya yaliyokamatwa yakiwa yanakimbilia huko Ukraine.

Statement ya Russia hazijaweka conclusion kuwa hao waliokamatwa kuwa ni magaidi wa Ukraine au la, bali zimewekwa passports za watu zikiwa zimeandikwa kuwa ni raia wa Ukraine.

1711260044231.png


Tayari magaidi wameshafahamika uraia wao kuwa ni Ukraine lakini bado haijawekwa wazi kuwa ni nani waliokuwa wanawasiliana nao huko Ukraine.

TAARIFA YA USA KUHUSU KUTOKEA UGAIDI NDANI YA RUSSIA
Kwa upande mmoja wanaoshabikia USA wanaweza kusema wapo mbele kuwa walitoa taarifa kuwa kutatokea na ugaidi. Lakini kwa uhalisia ni kwamba, kutokana na jambo hilo kutokea inaonekana wazi kuwa aliyefanya mpango huo watakuwa ni watu wa USA.

Kwenye siasa za kidunia inaendelea kumpa credit Russia na kuonekeana kuwa yeye ni innocent

UJASUSI NA SIASA ZA KIMATAIFA
Kama yale yaliyotokea kipindi cha vita ndani ya Chechenia na kutokea kwa ugaidi ndani ya Moscow naona yanajirudia kwa namna yake. Ugaidi wa wachechen ulimpaisha Putin kisiasa na kiliwezesha kumng'oa Rais wa Urusi kipindi kile.

Kwakuwa Urusi amekamilisha lengo lake nambari moja. Kunakuwa na mwendelezo wa lengo lingine la pili. Ni kwenda kuwasaka wale walikuwa wanawasiliana na Magaidi yaliyoingia Urusi. Wakati huo huo wakizitumia taarifa za USA kama justification kuwa kuna supporter wa magaidi wamo ndani ya Ukraine.

KUHUSU ISIS
Tayari Trump alisema kuwa aliyeunda kundi la kigaidi la ISIS ni Obama. Maana yake kikundi hicho cha kigaidi ni cha USA. Kitendo cha ISIS kusema kuwa wao ndio wanahusika, maana yake USA ndiye aliyehusika na Ugaidi huo.

Iwe hao ISIS wamekuwa staged au wamehusika kweli lakini uhalisia utabaki kuwa USA ndiye aliyefanya sponsorship ya ugaidi huo kwenye upande wa international politics.

Kwa ushahidi huo wote Russia wanaweza kwenda kwenye UN security Council na kushitaki kuwa wamevamiwa na magaidi kutoka Ukraine na walikuwa wanawasiliana wa watu wakiwa ndani na Ukraine. Kwa security ya nchi yao wataomba permission ya kwenda kuwasaka.

Obvious USA, UK na France watapinga. Lakini Russia ataonesha ushahidi kuwa USA ana husika katika hilo kwahiyo hatakuwa na haki ya kukataa. Kura ya Veto itapigwa na Russia ataruhusiwa kwenda kusaka magaidi ndani ya Ukraine.

HITIMISHO
Hili suala lipo Staged na Russia kutokana na matukio yaliyojitokeza na kukusanya ushahidi mwingi. Kwahiyo wazo la Ukraine kuingia kwenye NATO iwe kwa shortcut au kwa namna nyingine litakuwa limeanza kuota mbawa maana ndani ya Ukraine kuna kukundi cha Ugaidi. Kwa sasa linasubiriwa JINA tu la kikundi hicho cha Ugaidi. Wale waliokamatwa wanne watataja kundi hilo. Na tayari wazee wa kazi wataingia ndani ya Ukraine kulisaka kundi hilo.
 
KWA WATU WALIOSOMEA CUBA TU

Hii hapa chini ni Statement ya Putin kwa ufupi hapo jana

Wiki:
NEW: Vladimir Putin suggests Ukraine was helping the
 terrorists who conducted the Moscow Concert Hall attack.

“All the four perpetrators were directly involved who were gunning
people down, killing people, were found and apprehended.”

“They were moving towards the border with Ukraine, and we
 have data that suggests that they were about to be moved
towards the territory of Ukraine by those in Ukraine.”

“Our military services, our emergency services, everyone is,
 our investigators are working on finding out the orchestrators of this terrorist attack.
Those who gave them transportation, who created, who gave them weapons…”

SHIFTING OF PLAN
Kutokana na Statement hiyo naona kabisa stage inayofuata ni kwenda kuwasaka watu waliokuwa wanawasiliana na magaidi haya yaliyokamatwa yakiwa yanakimbilia huko Ukraine.

Statement ya Russia hazijaweka conclusion kuwa hao waliokamatwa kuwa ni magaidi wa Ukraine au la, bali zimewekwa passports za watu zikiwa zimeandikwa kuwa ni raia wa Ukraine.

View attachment 2943218

Tayari magaidi wameshafahamika uraia wao kuwa ni Ukraine lakini bado haijawekwa wazi kuwa ni nani waliokuwa wanawasiliana nao huko Ukraine.

TAARIFA YA USA KUHUSU KUTOKEA UGAIDI NDANI YA RUSSIA
Kwa upande mmoja wanaoshabikia USA wanaweza kusema wapo mbele kuwa walitoa taarifa kuwa kutatokea na ugaidi. Lakini kwa uhalisia ni kwamba, kutokana na jambo hilo kutokea inaonekana wazi kuwa aliyefanya mpango huo watakuwa ni watu wa USA.

Kwenye siasa za kidunia inaendelea kumpa credit Russia na kuonekeana kuwa yeye ni innocent

UJASUSI NA SIASA ZA KIMATAIFA
Kama yale yaliyotokea kipindi cha vita ndani ya Chechenia na kutokea kwa ugaidi ndani ya Moscow naona yanajirudia kwa namna yake. Ugaidi wa wachechen ulimpaisha Putin kisiasa na kiliwezesha kumng'oa Rais wa Urusi kipindi kile.

Kwakuwa Urusi amekamilisha lengo lake nambari moja. Kunakuwa na mwendelezo wa lengo lingine la pili. Ni kwenda kuwasaka wale walikuwa wanawasiliana na Magaidi yaliyoingia Urusi. Wakati huo huo wakizitumia taarifa za USA kama justification kuwa kuna supporter wa magaidi wamo ndani ya Ukraine.

KUHUSU ISIS
Tayari Trump alisema kuwa aliyeunda kundi la kigaidi la ISIS ni Obama. Maana yake kikundi hicho cha kigaidi ni cha USA. Kitendo cha ISIS kusema kuwa wao ndio wanahusika, maana yake USA ndiye aliyehusika na Ugaidi huo.

Iwe hao ISIS wamekuwa staged au wamehusika kweli lakini uhalisia utabaki kuwa USA ndiye aliyefanya sponsorship ya ugaidi huo kwenye upande wa international politics.

Kwa ushahidi huo wote Russia wanaweza kwenda kwenye UN security Council na kushitaki kuwa wamevamiwa na magaidi kutoka Ukraine na walikuwa wanawasiliana wa watu wakiwa ndani na Ukraine. Kwa security ya nchi yao wataomba permission ya kwenda kuwasaka.

Obvious USA, UK na France watapinga. Lakini Russia ataonesha ushahidi kuwa USA ana husika katika hilo kwahiyo hatakuwa na haki ya kukataa. Kura ya Veto itapigwa na Russia ataruhusiwa kwenda kusaka magaidi ndani ya Ukraine.

HITIMISHO
Hili suala lipo Staged na Russia kutokana na matukio yaliyojitokeza na kukusanya ushahidi mwingi. Kwahiyo wazo la Ukraine kuingia kwenye NATO iwe kwa shortcut au kwa namna nyingine litakuwa limeanza kuota mbawa maana ndani ya Ukraine kuna kukundi cha Ugaidi. Kwa sasa linasubiriwa JINA tu la kikundi hicho cha Ugaidi. Wale waliokamatwa wanne watataja kundi hilo. Na tayari wazee wa kazi wataingia ndani ya Ukraine kulisaka kundi hilo.
Ila ukumbuke Wazee wa kazi wameshindwa miaka 2 sasa

Sio rahisi hivo,wangeshaingia kitambo
 
Ila ukumbuke Wazee wa kazi wameshindwa miaka 2 sasa

Sio rahisi hivo,wangeshaingia kitambo
Je Ulisoma Cuba?
Mission Accomplishes by Russia
1. Biological Laboratories zilizokuwa zinafanyika huko Ukraine ziliangamiza. Huko ndipo Covid-19 ilikuwa inatengenezwa. Kwa ambao hawajasoma Cuba leo tunawafumbua macho.

2. Strategy ya NATO kumuingiza Ukraine ilikwama na ndoto imezimika kama mshumaa.

3. Eneo lililokwamatwa na Russsia kwa sasa ndani ya Ukraine ni zaidi ya UK.

4. Ukraine ilikuwa tishio kwa Dunia maana ilikuwa inamiriki silaha za kumwaga. Hakuna nchi ulaya zaidi ya Russia angeweza kuivimbia Ukraine. Kwa sasa Ukraine imekuwa nchi ya kawaida tu.

Swali: Unataka wazee wa kazi wafanye nini cha zaidi ya hapo.

Mission accomplished
 
Je Ulisoma Cuba?
Mission Accomplishes by Russia

1. Biological Laboratories zilizokuwa zinafanyika huko Ukraine ziliangamiza. Huko ndipo Covid-19 ilikuwa inatengenezwa. Kwa ambao hawajasoma Cuba leo tunawafumbua macho.

2. Strategy ya NATO kumuingiza Ukraine ilikwama na ndoto imezimika kama mshumaa.

3. Eneo lililokwamatwa na Russsia kwa sasa ndani ya Ukraine ni zaidi ya UK.

4. Ukraine ilikuwa tishio kwa Dunia maana ilikuwa inamiriki silaha za kumwaga. Hakuna nchi ulaya zaidi ya Russia angeweza kuivimbia Ukraine. Kwa sasa Ukraine imekuwa nchi ya kawaida tu.

Swali: Unataka wazee wa kazi wafanye nini cha zaidi ya hapo.

Mission accomplished
Umesahau Ushoga, Unazi na ISIS pia vulikuwa unatengenezewa huko Ukraine, Mtume wenu Putin kuna wakati alisema imebidi uvamizi kupambana na Satanism [emoji16]
 
Umesahau Ushoga, Unazi na ISIS pia vulikuwa unatengenezewa huko Ukraine, Mtume wenu Putin kuna wakati alisema imebidi uvamizi kupambana na Satanism [emoji16]
Hayo sasa ni yako. Mimi nimeeleza kwa mujibu wa elimu ya CUBA
 
Back
Top Bottom