Moshi: Amuua mama yake wakigombea mali za marehemu baba yake

Alimkosa Baba, amechagua kumkosa Mama na mali amekosa pia. Ni ugonjwa wa akili tu huo.
 
5
4 final hii mkuu means akishaona baba kaenda nani akae nyumban akarudi sasa maza inaonekana akawa anamwekeaa 😉 hahaha akamalizana nae sasa anakosa mama na mali huyu lazima wamnyonge

Dinia maumivu wengine tunaenda kulilia makaburin kwa mama zetu tunawamiss wengine wanaua aisee
 
KUNA MAWILI HAPA KWELI AMEKOSA

SEMA HAWA WATOTO BABA ZAO ALIACHA MALI

SASA KAMA VIPI...UNAMALI ZA WATOTO GAWA KIASI....UNASUBIRI UFE WATOTO WAANZE KUUANA
 
wachaga kwa roho mbaya ni kama samaki na maji huwezi vitenganisha
 
wachaga kwa roho mbaya ni kama samaki na maji huwezi vitenganisha
 
Ukanda huo kuna shida kubwa sana kuhusiana na suala la kugombea mali. Ni hatari Sana.
Mkuu kwani watu wa uko kwani tamaduni zao sina semaje kuhudu mirathi ikitokea Baba Kafariki na Mke kabakia? Au wenyewe hawana utaratibu wa mirathi ya kimila, Mfano watoto hamrithi mali za Mzazi angali bado yupo hai sasa huyo Mzee wa zaidi ya miaka 50 anatakaje kurithi mali za Mzazi wake kabla hajafa.
 
Inashangaza sana,

Unamuua Mama yako mzazi ili uchukue mali,

Hizo mali unaenda kutumia na nani ambaye ana thamani zaidi kuliko Mama yako mzazi aliyekuzaa?
Wachaga wana utaratibu mbovu sana wa mirathi ilitakiwa huyo Mama awagaiye maeneo watoto wake wakiume kwasababu hayo mashamba ya zao la ukoo kama ana watoto wakiume Watatu anawakatia kila mmoja eneo lake kisha yeye ana baki kwenye eneo la Mumewe.
 
Dah miaka 74 mama yake si angemlea tu na sio kumuua kwa maana angemuachia tu mama ake then after a while vingerudi kwake vyote.
Mkuu uwezi jua labda Mama yake alikua ana uza mali za ukoo hovyo hovyo kuna wazaz wengine wana akili mbovu, kuna Baba yetu mdogo yeye aliuza eneo lenye kaburi la Babs yake ambaye ni Babu yetu tukitaka kwenda kutembelea kaburi la Babu kijijin inatubidi tukaombe kwa mtu ndiyo aturuhusu
 
Kuna watu wengine wanakosa uzao/watoto wanajilaumu sana, kumbe Mungu anawaepusha mabazazi kama haya yakuwanyanyasa baadae
 
Harafu mnasema adhabu ya kifo ifutwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…