Moshi: Moto wateketeza Soko la Mbuyuni

Moshi: Moto wateketeza Soko la Mbuyuni

Mganga wao anawaongopea kawaambia kuwa mageuzi ya nchi yatatokea kwenye masoko sasa wanayachoma.. kama kile kipindi cha FIRAUN ana sakata la MUSSA..
 
Kwajiyo hii ndio njia walioamua kuitumia sio?

8295059D-21B6-4002-B2FB-466F994EA598.jpeg
 
Kumbe nae kipenzi chenu nae anaua? Jpm wetu alisemwa kila baya mara kaua mara nini, ahaaaaa aaaa.
Hii awamu hakuna rangi mtaacha kuona, watu wa maisha ya chini hawatakiwi mjini ndo njia ya kuwaondoa matariji waweke magorofa, kila mwezi lazima liungue soko hata moja.

Tutawaldtea report kuwa ni sigara za mateja ahaaaaaa kwani zamani mateja hawakuwepo?
Hahaa lile lizee umeli miss? Kiongozi katili zaidi kuwahi kutokea Tanzania.. Poleni wanyonge kwa kum miss zee lenu
 
Back
Top Bottom