Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mioto haitakaa ikomeMateja tena!!
Poleni waathirika, ukitaka kunyanyuka unaangushiwa kitu kizito kichwani
Enzi chadema ikitawala hayo majimbo moto ulikuweo?Hii mioto haitakaa ikome
Hebu tumia basi akili kidogohuyo Mbowe ndiye aliye wafundisha kufanya tabia za kihalifu na kihuni, lazima apate haki yake ili iwe fundisho kwa vibaraka wake wote alio watumia ktk vitendo vya kihalifu.
jambazi sugu lililo komaa na kufikia kuwa Gaidi.
Hiyo akili kidogo anaipata wapi?Hebu tumia basi akili kidogo
Huwezi kuamini moto umewaka umechoma mananasi, matikiti maji, mapapai hadi ndizi.Poleni sana mbuyuni, najaribu kuwaza pale Mbuyuni moto unawaka vipi haf kuunguza soko!!
Moshi hakunaga mateja sasa sijui watasema je"Mateja waliwasha mshumaa"
Report za tume za matukio ya moto ya masoko ya awali zinakua ni report za kuchonga ndiyo maana hazisaidii kuzuiya matukio mapya yanayoendelea kujitokeza kila siku.
Hahaa lile lizee umeli miss? Kiongozi katili zaidi kuwahi kutokea Tanzania.. Poleni wanyonge kwa kum miss zee lenuKumbe nae kipenzi chenu nae anaua? Jpm wetu alisemwa kila baya mara kaua mara nini, ahaaaaa aaaa.
Hii awamu hakuna rangi mtaacha kuona, watu wa maisha ya chini hawatakiwi mjini ndo njia ya kuwaondoa matariji waweke magorofa, kila mwezi lazima liungue soko hata moja.
Tutawaldtea report kuwa ni sigara za mateja ahaaaaaa kwani zamani mateja hawakuwepo?
Kuna siku utapata mjukuu wa aina hiyoMateja wapo kila mahali. Poleni sana Wafanyabiashara
Na ndio kitu tunasubiria...Yule shuhuda wa karume na kariakoo atakuja sasa hivi kushuhudia
Hatari sanaNa ndio kitu tunaaubiria...