Moshi: Moto wateketeza Soko la Mbuyuni

Mganga wao anawaongopea kawaambia kuwa mageuzi ya nchi yatatokea kwenye masoko sasa wanayachoma.. kama kile kipindi cha FIRAUN ana sakata la MUSSA..
 
Hahaa lile lizee umeli miss? Kiongozi katili zaidi kuwahi kutokea Tanzania.. Poleni wanyonge kwa kum miss zee lenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…