Yaani watu kama wewe mlio na maana ingine kabisa ya definition ya haki mtafanya hiki kizazi kikumbukwe sana kwa upumbavu uzembe na umbumbumbuHuyo Mbowe ndiye aliyewafundisha kufanya tabia za kihalifu na kihuni, lazima apate haki yake ili iwe fundisho kwa vibaraka wake wote aliowatumia katika vitendo vya kihalifu.
Jambazi sugu lililokomaa na kufikia kuwa Gaidi.
Haya matukio sio ya kawaida katika Taifa letu.Soko la matunda na mbogamboga Mbuyuni lililopo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro likiteketea kwa moto.
Juhudi za kuuzima moto huo zikiendelea na bado chanzo cha moto hakijafahamika.
Nakufahamu, umejisahau sana kwenye utumishi wa ummaMaombi haya yakurudie mwenyewe kwa Jina la YESU. Kwani si ndio taarifa ya Serikali kuwa mateja ndio wanakuwa chanzo cha moto kwenye masoko!
Utekelezaji wa ilani kwa kishindo kazi iendelee..👇🏾This is too much, wamwachie Mbowe maybe ni laana,
Chui jike anatekeleza tu ilani ya Chama maiti = CCM 👇🏾kazi iendelee.Huu utawala wa CJ (Chui Jike) umeambatana na majanga, mauaji na mikosi ya kila aina. Ajitafakari!
Utekelezaji wa ilani ya CCM kwa kishindo.. kazi iendelee..!Mbona imekuwa mfululizo siku hizi....
Tusubirie tume iundwe kuchunguza chanzo Cha moto.[emoji849]"Mateja waliwasha mshumaa"
Report za tume za matukio ya moto ya masoko ya awali zinakuwa ni report za kuchonga ndiyo maana hazisaidii kuzuiya matukio mapya yanayoendelea kujitokeza kila siku.
Haahhahahaha yani eneo lote la vibanda limeungua😅Huwezi kuamini moto umewaka umechoma mananasi, matikiti maji, mapapai hadi ndizi.
Huenda ni Boma😂😂😂Aisee kuna namna si bure.
Sijui soko linalofuata ni wapi 🤔
Machungwa yameiva tayari😅
Inabidi muwe makini tu maana sokoni sio mahali salama kwa mitaji yenu tenaUchunguzi,Uchunguzi Kisha?
Tanzania Hii Acha tu
Sokolinalofuata Sijui wapi
Nakupuuza tu!Nakufahamu, umejisahau sana kwenye utumishi wa umma
Mkuu tusipoweka vibweka hivi kwenye mada kama hizi, uzi haunogi. Ha ha haaaa!We jamaa bhana hata kujiongeza kujua ni typing error!
Haya siko liungue 🤣
Ila Masoud Kipanya bana..