Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Kuchapa hapana. Angechukuwa hatua nyingine ikiwa na pamoja na kuwasiliana na wazazi wake. Hii karne siyo ya kuchapa watoto. Kuna adhabu nyingi tu zinazoweza kutumika na siyo fimbo.Hata Mwalimu hakuajiriwa kudeki wala ToRs zake hakuna kudeki
after all hizo kazi za usafi zinafanywa na wanafunzi kwa hizi shule zetu za kidumu na ufagio tuliosoma huko hilo sio jambo geni.
Kama mwanafunzi alichapwa hakujeruhiwa wala hapakuwa na athari yoyote kiafya basi Mama achukue mwanae akamfundishie nyumbani maana huyo sio wa kwanza kuchapwa, tumechapwa sana tu huwezi kugomea mwalimu kisa umepewa kazi ya kudeki
Mama wa mtoto ajiulize yeye angemtuma mwanae adeki na mwanae akatae yeye kama Mama angefanya nini?
Ni kweli lakini inatakiwa hali ibadilike. Kuna shuleni nyingine wanafunzi wanakuwa kama wako gerezani kwa kufanyishwa kazi.Bila shaka unaishi Ulaya sio Tanzania na pengine hujasoma hizi shule zetu.
Kazi za usafi kwenye shule za Umma hufanywa na wanafunzi, nadhani huko private schools ndo watakuwa na wafanya usafi walioajiriwa.
Inashangaza sana watu wanakomenti kumshambulia mwalimu kama vile wanaishi nje ya Nchi [emoji15][emoji15]
Ni kweli lakini inatakiwa hali ibadilike. Kuna shuleni nyingine wanafunzi wanakuwa kama wako gerezani kwa kufanyishwa kazi.
Nyie ndio mnaharibu watoto mnawalea kimayai saana,kwahiyo hutaki mtoto aadhibiwe kwa utovu wa nidhamu?Usikute Wala sio fimbo moja.Wacha wapigwe maana walimu wamezidisha.
Sasa hapo waislama wamehusikaje, acha kudharau na kebehi imani za watu, kuepuka kuichafua imani yako heshimu imani za watu wengineWaislam hao... usafi anaojua ni kuchezea mavi yake kwenye kuchamba no wonder jamii zao zina vipindu pindu balaa.
Na wewe ujikute mwalimuUkute huyu naye anajiita mzazi.
Anasema yeye ni muarabu wa omani[emoji2]Huyu mama Kama sio Muha Basi atakua mmakonde.
Inaonekana na wewe umesoma Feza ambako mwanafunzi anafanyiwa kila kitu kama nyumbani kila kitu housegirlMwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Ndiyo maana tunakuwa na viongozi wasio jua kuwajibika ...kiongozi ni lazima utangulie mbele daima kuonyesha njia ...walimu wanatakiwa wao wawe kielelezo siyo kukaa nyuma kama mamwinyiLkn mwalimu kufanya kazi ya usafi wakati mwanafunzi yupo hiyo naona sio sawa! Tutakua hatujawatendea haki walimu wetu, kikubwa ninachokiona kazi ziwe na kipimo, kazi ziwe za kumfundisha/kumjenga mtoto na sio kumkomoa.
Mimi ninachokipinga ni adhabu za kiuonezi na kikatiri kwa watoto wadogo zinazotolewa na walimu wasiojua maadili ya kazi zao
Mambo ya kudeki mwanafunzi ana fundishwa kwao sio shule pale shule anakwenda kwa kufundishwa elimu tu.Mwalimu hajasomea kudeki amesomea kufundisha wanafunzi yaani transfer of knowledge. Achaga daharau kabisa . Kwa Tanzania wanafunzi ndio hudeki madarasa.
Hao wazazi washakuwa ndio waliopitia huo unyanyasaji sasa hawataki kizazi chao kinyanyasike kama wao. Mbona kwa wenzetu hakuna haya na ndio wanaongoza kwa kuvumbua vitu duniani. Wakati sisi tunaokula mboko shuleni hatuna tulicho vumbua.Hivi hawa wazazi walikuwa wapi Enzi zile tunapigwa kama mipira 🤣
Usipodeki unachapwa
Usipoleta kidumu unachapwa
Usipomwagilia maua unachapwa
Usipofanya hesabu unachapwa ukifanya ukakosa unachapwa
Ukirudi nyumbani mchafu unachapwa
Yaani kwa siku kuondoka shule na fimbo 20 ilikuwa kawaida sana...kwani siku hizi Kuna nini??
Umesahau na kufagia na kudeki vyoo tena wasugue ving'ae.Kwani walimu ni nani mbona wazazi majumbani wanafanya kazi za usafi ...walimu wa kike wadeki wakiume wakate michongoma na kuchimba shimo za taka
Mamasamia2025 mimi niolewe tena mwanaume mzima punguza hasira weka hoja yako sio dharau.Mbona umekuwa mpuuzi hivi tangu uolewe?
Kuna hatua za kufuata huyu mzazi amekuja kishari sana...what if angemkuta mwalimu naye anajiweza si angemtandika vibaya sanaHao wazazi washakuwa ndio waliopitia huo unyanyasaji sasa hawataki kizazi chao kinyanyasike kama wao. Mbona kwa wenzetu hakuna haya na ndio wanaongoza kwa kuvumbua vitu duniani. Wakati sisi tunaokula mboko shuleni hatuna tulicho vumbua.
Young lady tena duhKumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .