Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Bila shaka unaishi Ulaya sio Tanzania na pengine hujasoma hizi shule zetu.
Kazi za usafi kwenye shule za Umma hufanywa na wanafunzi, nadhani huko private schools ndo watakuwa na wafanya usafi walioajiriwa.
Inashangaza sana watu wanakomenti kumshambulia mwalimu kama vile wanaishi nje ya Nchi [emoji15][emoji15]