Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Ni kama kijijini kwetu wanafunzi wa madrasa kwenda kumlimia ostadh mashamba yake na kumpelekea kuniInahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama kijijini kwetu wanafunzi wa madrasa kwenda kumlimia ostadh mashamba yake na kumpelekea kuniInahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Hii inanikumbusha wakati tunasoma primary kuna mshkaji ilikuwa siku ya jumanne ambayo ni siku ya usafi walimu walikuwa wanamuacha tu na hata akifanya makosa alikuwa anaachwa tu kisa uelewa mdogo wa wazazi wake na mwisho alikuja kufukuzwa shule ya sekondari ya kiislamu pale mtwara kwasababu kule hakukuwa na baba yake kama ilivyokawa shule ya msingiUna uhakika ni kweli alikataa kudeki akachapwa fimbo moja tu? Kabla ya kutoa laana upande mmoja hebu jiridhishe kidogo nini kilitokea.
Nakupa mfano mmoja mdogo, mtoto wa jirani yangu alikuwa mgonjwa wa pumu na alitakiwa asifanye kazi ngumu kwa muda aliokuwa anatumia dozi fulani na taarifa mzazi alipeleka shuleni.
Akaja mwalimu fulani mgeni akaintroduce program ya kukimbia asubuhi kama mazoezi, so kwakuwa yule dogo alikuwa ana kamwili fulani yule mwalimu akajua dogo mzembe tu na akamlazimisha akimbie ili apungue, mzazi alivyoskia vile bado kidogo aje ale kichwa cha yule mwalimu ndio waalimu wengine wakaomba msamaha.
Kumbuka mtoto hawezi kujieleza vizuri ni jukumu la mwalimu kumuelewa haraka kwanini hataki kazi fulani na kuchukua hatua stahiki ila sio kukimbilia kuchapa mtoto kama punda. Rudia tena kutoa comment kistaarabu
Ni wapumbavu wazazi na huyo ustadh ni mjinga, wote hawafai.Ni kama kijijini kwetu wanafunzi wa madrasa kwenda kumlimia ostadh mashamba yake na kumpelekea kuni
Kufundishwaje ujinga wakati wanafundishwa dini?Ni wapumbavu wazazi na huyo ustadh ni mjinga, wote hawafai.
Mnawafundisha watoto ujinga.
Wapi huko?Ni kama kijijini kwetu wanafunzi wa madrasa kwenda kumlimia ostadh mashamba yake na kumpelekea kuni
MikindaniWapi huko?
Nitajie sehemu ambayo haijawahi kupata kipindupinduHivi mnamaji pale au kile kisima cha Boma kule ndiyo maji mnayotumia? Au zile nyumba katikati ya bahari zisizo na choo? Au mnakunywa maji yale aliyounganishwa na mto pale darajani?
Kama hamna maji kipindupindu lazima.
"Aina hii ya vijana, ina mchango mdogo sana kwa taifa" -Jiwe.Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
WanaraumuAngenikuta mimi hakika angejuta huyo mama ningemung'oa taya right away, wazazi wabadilike, shule zinaendeshwa kwa utaratibu na kufuata sheria za nchi, mimi kumchapa mtoto naruhusiwa baada ya kupewa idhini na mkuu wa shule, ambapo viboko visizidi vitatu kwa kila kosa.
Pili wazazi watambue kuwa shule ni sehemu salama kwa mtoto kujifunza mitaala ya ziada,mfano kulima,kufanya usafi na kumfanya mtoto ajue mazingira ya kujitegemea,sasa chukulia mtoto nyumbani kazi zote zinafanywa na house girl ,je yeye atajua lini haya majukumu!?
Kingine naona baadhi ya member wanaraumu mtoto kufanyishwa usafi hasa huyu member FaizaFoxy na Islam005 sasa kwa akili ya kawaida mwalimu ndo afanye usafi mazingira ya shule!? Shule zetu za serikali zinajulikana ni supana mkononi,kama hutaki mtoto afanyishwe kazi peleka shule za kulipia kama feza.
Walimu ni walezi wacha wawafundishe watoto malezi ikiwemo kazi za mikono, nyie wenzetu wawapi ambako hamfanyi kazi.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
na ni mwalimu huyo😆WANARAUMU.
Jinai inashughulikiwa na Kata?Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valeria, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.
Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo Kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.
Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.
Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.