Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Hii inanikumbusha wakati tunasoma primary kuna mshkaji ilikuwa siku ya jumanne ambayo ni siku ya usafi walimu walikuwa wanamuacha tu na hata akifanya makosa alikuwa anaachwa tu kisa uelewa mdogo wa wazazi wake na mwisho alikuja kufukuzwa shule ya sekondari ya kiislamu pale mtwara kwasababu kule hakukuwa na baba yake kama ilivyokawa shule ya msingi
 
Angenikuta mimi hakika angejuta huyo mama ningemung'oa taya right away, wazazi wabadilike, shule zinaendeshwa kwa utaratibu na kufuata sheria za nchi, mimi kumchapa mtoto naruhusiwa baada ya kupewa idhini na mkuu wa shule, ambapo viboko visizidi vitatu kwa kila kosa.


Pili wazazi watambue kuwa shule ni sehemu salama kwa mtoto kujifunza mitaala ya ziada,mfano kulima,kufanya usafi na kumfanya mtoto ajue mazingira ya kujitegemea,sasa chukulia mtoto nyumbani kazi zote zinafanywa na house girl ,je yeye atajua lini haya majukumu!?

Kingine naona baadhi ya member wanaraumu mtoto kufanyishwa usafi hasa huyu member FaizaFoxy na Islam005 sasa kwa akili ya kawaida mwalimu ndo afanye usafi mazingira ya shule!? Shule zetu za serikali zinajulikana ni supana mkononi,kama hutaki mtoto afanyishwe kazi peleka shule za kulipia kama feza.
 
Wanaraumu
 
Fimbo moja?
Ila watu wa Narumu wanapenda sana ugomvi.

Miaka ya 90 kuna vijana nilikuta nao nikiwa ninaenda kusaga mahindi, wakanisimamisha wakanitupia njiti ya moto puani.

Wanarumu wanatafuta ugomvi haswa.

Halafu Bushmamy kichwa cha habari kinasomeka "Moshi" ila tukio limetokea "Hai". Hizi ni Wilaya mbili fotauti.

Moshi siyo Mkoa, bali Mkoa ni Kilimanjaro.
 
Jinai inashughulikiwa na Kata?

Wapumbavu wengi sana nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…