Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,264
- 6,679
Kuwa na majibu ya heshima malay…a wewe kama period ina kupelekesha tafuta mwanaume akufir…e.Wewe mpuuzi ndo mnaochangia ongezeko la watoto wasio na maadili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na majibu ya heshima malay…a wewe kama period ina kupelekesha tafuta mwanaume akufir…e.Wewe mpuuzi ndo mnaochangia ongezeko la watoto wasio na maadili.
SahihiWazazi wa kileo unaweza kumuokoa mtoto anaekufa maji mtoni. Halafu mzazi wa mtoto akakwambia wewe ndiye uliyemtupia mtoni mwanae.
Basi akamtafutie shule ambayo mtoto wake atapewa kazi ya usafi wala kupigwa sio kugeuka.Hii habari ni ya upande mmoja wa mwalimu mzazi hatujasikia. Lkn kwa kutumia akili ya kawaida ni ngumu mzazi kwenda kufanya fujo shuleni eti kisa mwanae kaadhibiwa fimbo Moja tu. Upande wa mwl wamedanganya, hapo huyo mtoto itakuwa alichakazwa kwa mafimbo yasiyokuwa na mpangilio.
Pili-inamaana huyo mtoto mpaka anafika darasa la 5 hakuwahi kuadhibiwa isipokuwa hiyo fimbo Moja ya huyo mwl
Mtoto hajakataa kufanya usafi huo ni uongo wa mwl kujiteteaBasi akamtafutie shule ambayo mtoto wake atapewa kazi ya usafi wala kupigwa sio kugeuka.
Nyie wenzetu mmesoma shule gani mlizokuwa mnadekiwa madarasa na walimu?🤔Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Mtu kama mimi nikija mtaweza kunidhibitu kweli au mtaongeza tu idadi ya marehemu na walemavu nchini[emoji16]Ndio maana nashangaa huu ujinga wa wapi ?
Kama huyo mzazi aliona ni kosa ,angeenda polisi kushtaki , huu upuuzi sana
Hao waalimu wenzake maduwanzi sana ,wangemyoosha huyo pimbi
Dah.... Kwa akili hizi bado hii nchi inapitia wakati mgum sana.Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
umesahau kulima mashamba ya walimuHuko mbele tunakoenda mtadeki tu, zile zama za kuigeuza watoto misukule zimeisha. Walimu mmezi embu angalia majukumu ya mtoto:
Muuza maandazi, visheti, mihogo, kupikia walimu chai, kwenda kufanya usafi na kupika majumbani mwa walimu, kufua, kulima, kufagia, kubeba maji, kubeba begi lenye uzito wa kilo 10 za daftari, visoda, kiporo, fagio na kidumu cha maji. Yaani unakuta mtoto mdogo amekomaa kama mchoma mkaa.
Robert Heriel Mtibeli hua nafuatilia maudhui yako lkn keaShule si iajiri wafanya usafi.
Serikali iajiri wafanya usafi au shule kamili shule iweke zabuni makampuni yaweke wafanya usafi. Simple tuu.
You reason like a goat. Hata naona kinyàa kusema na MTU Kama wewe, you must be having a very low iq.Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
ungekuja kwenye shule yangu ningekunyooshawaalimu wanapiga sana watoto, hata mimi kuna mtoto alishawai pigwa vibaya sana na mwalimu, na niliwapatia shida sana wale walimu na shule nzima.
Nipe ya mama yakoRobert Heriel Mtibeli hua nafuatilia maudhui yako lkn kea
You reason like a goat. Hata naona kinyàa kusema na MTU Kama wewe, you must be having a very low iq.
Unajua kuwa walimu wakiajiriwa wsnapewa mkataba inaonyesha wanachotakiwa kwenda kufanya. Usiwe unaropoka ropoka Kama vile unavaa chupi ya shangazi yako.
Serikali ilitakiwa iajiri watu wa kufanya usafiri wa majengo, na mazingira nje, kama njia ya kupanua wigo wa ajira kwa WaTz. Watoto kama ni kujifunza hayo majukumu iwe ni kama kipindi cha somo tu, na sio maisha yao yote hilo liwe jukumu lao, huku Serikali ikibweteka kuwahudumia wanasiasa tu.Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
😂😂😂😂😂🙊🙏Mimi kama nimesoma shule zisizokuwa na viboko na bado discipline ilikuwa ya hali ya juu basi siwezi kuvumilia mtoto wangu kuchapwa kama punda. Nitakuja kuwachoma visu vya paja nyie walimu To yeye Hannah Mpwayungu Village Evelyn Salt
Mm sjakuelewa madam unataka nani adeki.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Ukimleta shule viboko anavyo, hutaki achapwe kaa nae nyumbani umfundishe, box la chaki buku mbili tu red pen mia mbili...Mimi kama nimesoma shule zisizokuwa na viboko na bado discipline ilikuwa ya hali ya juu basi siwezi kuvumilia mtoto wangu kuchapwa kama punda. Nitakuja kuwachoma visu vya paja nyie walimu To yeye Hannah Mpwayungu Village Evelyn Salt
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kwa kuongezea, sisi watu wenye makomwe hatupendagi sana kufanya usafi sijui kudeki.
Kama vipi shule iajiri watu wawe wanafanya usafi shuleni, mbona vyuo vikuu kuna watu wameajiriwa wanafagia madarasa!
Lakini huko mashuleni unakuta vitoto vidogo vinalima shamba la mwalimu eti!
Siku komwe langu likichachamaa nitatimba hapo shuleni nawatandika bakora walimu wote, piga kelbu mwalimu mkuu, vunja viuno wote! ALAAAAH!