NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Ukitaka kuona maendeleo yao ingia migombani.Umesema sawa lakini wakazi wake ni watu wenye maendeleo makubwa kuliko wewe uliyeandika hii mada ambapo kwenu kujenga tu choo cha ndani mnaona ni kinyaa unakuta nyumba nzuri kachoo ni ka magunia nje.Ukitaka kuona umasikini wa watu na IQ ndogo angalia choo wanachotumia.Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Kama dar, Mwanza Wanataka kuona magorofa ya vitega uchumi yaki chipua na Maduka makubwa kama ya Mliman cityUnataka uendelee kama mji gani,mtwara,lindi,morogoro,iringa au wapo
Sawa mlima mahindi ya kuchomaUsiite mimea uchafu acha ujinga wewe,Kama manispaa ya jiji imeshindwa kudhibiti uchafu walalamikie wao na sio hiyo mimea maana mimea inaweza kuwepo na usafi ukawepo.
Pili ulinzi ni juu ya jiji mkishindwa kudhibiti wezi hiyo ni juu yenu kwani kamati za ulinzi hazipo..?
Hivi mkuu unaelewa hata mimea inafaida gani au unacharanga tu maandishi hapa..?
Wadudu na wanyama hawana makosa kuwepo kwenye mazingira usijifanye wewe unaakili kushinda hayo mazingira wakati ndo yanakulea yakiwa yanawadudu na wanyama nawewe ukiwa ni mnyama mmoja wapo isipokuwa umejawa ujinga tu.
Umewahi kufika moshi ama unasema tu weye maendeo ya karanga moshi tech hakuna mahindi ya bisi paleUngeeleza eneo gani pale mjini kati lina mahindi jombaa...
Kwanza Halmashauri za miji tu haziruhusu mazao marefu mjini...
Hayo mahindi ndani ya Moshi mjini umeyaona maeneo gani?
Usafi sio kigezo manispaa gani inamashamba kilometa moja toka stand aisee ndani ya mashamba watu wanapika mbege na uzinzi unaendeleaUnasema kinyume kabisa na mji wa Moshi ambao karibu kila mwaka unashika nafasi ya kwanza kwa usafi. Moshi ndio mji wenye maji safi, salama, matamu na yenye kutosheleza kuliko manispaa nyingine yoyote Africa. Unafikiri kuwepo mashamba ya mahindi au migomba mjini ndio kuufany mji kuwa mbaya?!!! Wewe unatokea Kahama au Dodoma nini msikopenda miti.
Kahama kuna nn? Mji hata mfumo wa maji machafu hamna unasema nao ni mji wa kulinganisha na Moshi? Hivi kwanza CBD ya kahama ipo sehemu gani?
We nenda kawasaidie wenzako huku
Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani
Mbona Mbona vyakula vinapikwa kwa uwazi? Hizo mixa wanaweka muda gani? Haya mengine ni ya kutunga tu na kuharibia mila za watu.www.jamiiforums.com
Unateseka ukiwa wapi?Wasukuma ni watu wazuri, japo co wote. So, tofauti kubwa sana na wachagga ambao wengi wao ni makatili na wabinafsi.
(Mchagga+Mjaluo+Mkurya) wanatakiwa waishi mji mmoja maana tabia zao zinaendana japo sio wote.
Bila shaka utakuwa umezunguka manispaa zote Tanzania na nchi zingine mpaka ukafikia hilo hitimishoNi Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Unateseka ukiwa wapi?
Wahi Chato ukadeki kaburi la mungu wenu
Jiji la kipekee linaloendana na nafasi kashamba kadogo garden ya ukubwa wa sqm 1000, Ndio sababu wazungu wamejazana huko /Jamaa wanajali sana mazingiraHuu ni ukweli mchungu, mji hauendelei pako vile vile kila siku.
All is about choice, utengeneze mbanano au utengeneze jiji la watu kujiachia it's very simple case!Kama dar, Mwanza Wanataka kuona magorofa ya vitega uchumi yaki chipua na Maduka makubwa kama ya Mliman city
Nakuuliza CBD ya kahama iko wapi? Niwekee pichaMoshi ni mji wa kibabu hauna maendeleo yoyote, acha kufananisha kahama na vitu vya kijinga mkuu.
Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.
Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.
Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
Serikali iko tayari kuruhusu hilo litokee moshi,ikiruhusu vitatokeaKama dar, Mwanza Wanataka kuona magorofa ya vitega uchumi yaki chipua na Maduka makubwa kama ya Mliman city
"stendi ya kishamba" sanaNimewaki kufika Moshi mara kadhaa, na ukweli wangu ni huu.
1. Ndio mji pekee hapa Tanzania niliowahi kuona watu wakichota maji bombani na kuyanywa moja kwa moja bila hata kuchemcha na mamlaka za maji na afya zinatoa muongozo huo kwa uhakika wa 100% kuwa maji ya moshi ni safi na salama. (Kwangu mimi hii ni ishara ya Usafi na ustaarabu wa kutunza mazingira).
2. Ni mji mdogo sana lakini uliojipanga vizuri kwa kiasi. Hakuna watu wengi sana na hakuna purukushani nyingi za kibiashara.
3. Ni mji msafi na salama zaidi huenda kuliko mji wowote hapa Tanzania. Kwa sehemu kubwa nyakati za usiku huwezi kukutana na giza, maana kuna taa nyingi za barabarani, taa kutokea kwenye nyumba za watu binafsi na taasisi. Kuna hadi CCTV camera zimefungwa maeneo ya katikati ya mji. Uwepo wa chuo cha polisi (Police Academy) huenda kumezaa tabia za waru kujari mambo ya usalama.
4. Ni mji wenye joto kali nyakati fulani fulani kupita hata joto la Dar, kuwepo karibu na mlima Kilimanjaro hakujapunguza joto kabisa. Labda ni matokeo ya uharibifu wa mazingira kuzunguka mlima Kilimanjaro.
5. Moshi ina stendi ndogo ya kizamani ya mabasi ya mikoani. Ni stendi ya kishamba mnoo. Ni stendi iliyopo katikati ya mji, haina ofisi za wakatisha tiketi, sehemu ya abiria kungojea usafiri imejazwa meza za wakatisha tiketi na kila biashara imeshindiliwa hapo hapo stendi. Na ikifika saa nne usiku inafungwa! Ni miongoni mwa stendi mbovu zaidi za mabasi ya mikoani (labda inaizidi stendi ya Arusha na Manyara (Babati) maana nazo ni stendi za ovyo ovyo mnoo)