mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 664
Katik majitu majinga we no.mojaNi Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
DuuKwangu mimi, stendi ya kisasa iwe na sifa hizi.
1. Uwezo wa kumudu idadi kubwa ya mabasi ya mikoani kwa mara moja (Kwa stendi ya moshi hapana, upande wa kulia wameweka stendi ya coaster za Arusha, noah za Rombo na upande wa kushoto ndio rasmi kwa mabasi ya mikoani(masafa) lakini bado utakutana na coaster na Hiace za kwenda Kibosho, Mwanga. Ni fujo tupu.
2. Sehemu ya abiria pumzika kwa nafasi, uhuru na usalama. (Kwa stendi ya moshi hakuna)
3. Ofisi rasmi za makampuni ya mabasi (kwa stendi ya moshi hakuna)
4. Huduma za vyoo vya kisasa na mabafu (huduma ya vyoo ipo lakini sio vya kisasa au unadhifu)
Kuhusu Moshi kujenga stendi mpya ya kisasa (sijui maeneo ya majengo? Nami najua majengo ni maeneo ya karibu na katikati ya mji) hilo nalo ni hadithi ya miaka mingi mnoo, huenda ni jambo lisiloweza kutekelezeka, nilipofika 2010 niliambiwa hivyo, 2014 nikaambiwa hivyo, 2018 hadithi ni hiyo hiyo, November 2021 hadithi ni hiyo hiyo. Nilipochunguza nikagundua kuwa, kumbe ile stendi ya sasa ni kitega uchumi cha wajanja wa manispaa na madiwani wa CCM, wanavuta pesa nzuri kila mwezi kwa watu waliopangisha, siku stendi mpya ikijengwa tu na ulaji wao utakuwa umekwisha, na hawako tayari kwa hilo.
Kahama??hivi unajua maana ya maendeleo wewe?Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.
Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.
Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
Kahama??hivi unajua maana ya maendeleo wewe?
Katik majitu majinga we no.moja
Wahi Milembe uanze matibabu mapema!Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.
Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.
Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
Wahi Milembe uanze matibabu mapema!
Ni ushauri tu.
[emoji16][emoji16]Wasukuma ni watu wazuri, japo co wote. So, tofauti kubwa sana na wachagga ambao wengi wao ni makatili na wabinafsi.
(Mchagga+Mjaluo+Mkurya) wanatakiwa waishi mji mmoja maana tabia zao zinaendana japo sio wote.
Binafsi sijawahi kufika Kahama wala Geita.. Ila Moshi nimefika.Jengeni mji, angalau mfikie hata nusu ya kahama na Geita
Wahi MilembeJengeni mji, angalau mfikie hata nusu ya kahama na Geita
Binafsi sijawahi kufika Kahama wala Geita.. Ila Moshi nimefika.
Kwa faida ya wengi, tuanze kuweka picha za mji wa Kahama na Geita na wa Moshi waweke zao ili tuanze kuilinganisha hii miji.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Basi endelea kusikiliza ushauri wa madaktari na utumie dawa vizuri. Huo ugonjwa unatibika...
Naomba niwekee picha mbili tatu za Kahama nisafishe machoNasubiri wana moshi waje kukubishia 😁
Mji wa kahama una
1 Barick gold mining
2 Bulyanhulu Gold mining
3 kiwanda kikubwa cha maji kipo njiani kufunguliwa
4 kiwanda cha bati
5 vituo vya mafuta vingi na vya kisasa
6 BANK OF AFRIKA
7 DTB
8 NBC
9 CRDB
10 TPB
11 NMB
12 Elution
13 N.K
Watuwekee na MOSHI, wana nini cha kujivunia!!!
Naanza👇🏽
1 Watengenezaji wa Pombe aina ya Mbege
2.???
Ngoja niwaongezee.Nasubiri wana moshi waje kukubishia 😁
Mji wa kahama una
1 Barick gold mining
2 Bulyanhulu Gold mining
3 kiwanda kikubwa cha maji kipo njiani kufunguliwa
4 kiwanda cha bati
5 vituo vya mafuta vingi na vya kisasa
6 BANK OF AFRIKA
7 DTB
8 NBC
9 CRDB
10 TPB
11 NMB
12 Elution
13 N.K
Watuwekee na MOSHI, wana nini cha kujivunia!!!
Naanza👇🏽
1 Watengenezaji wa Pombe aina ya Mbege
2.???
Hii ni wapi Mkuu?
Kwetu KahamaHii ni wapi Mkuu?
Huyo mama na hao ndege hapo jalalani wanafanya nini mkuu?? 😂😂Kwetu Kahama