Mama anatafuta mabaki ya takatata yaliyotupwa na hao ndege tunawaita NDEGE MWARABU ama BWANA AFYA wanasaidia kusafisha taka zilizotupwa kama nyama.Huyo mama na hao ndege hapo jalalani wanafanya nini mkuu?? ππ
Alafu anaenda kupikia mbwa au?Mama anatafuta mabaki ya takatata yaliyotupwa na hao ndege tunawaita NDEGE MWARABU ama BWANA AFYA wanasaidia kusafisha taka zilizotupwa kama nyama.
https://www.facebook.com/
Anakwenda kuwatengenezea supu hakina aka2030, Otterhound, AGITATOR !Alafu anaenda kupikia mbwa au?
Pamoja na mijengo yenu, je! Hali ya wananchi ikoje? Mzunguko wa money ukoje?Naomba niwekee picha mbili tatu za Kahama nisafishe macho
Uchaggani Hakuna miji.Binafsi sijawahi kufika Kahama wala Geita.. Ila Moshi nimefika.
Kwa faida ya wengi, tuanze kuweka picha za mji wa Kahama na Geita na wa Moshi waweke zao ili tuanze kuilinganisha hii miji.
Mzunguko wa pesa najua haupimwi kwa maneno bali kwa data. Je ni sahihi tulinganishe makusanyo ya kodi kati ya Kahama na Moshi??Majengo sio ishu, tunachoangalia maendeleo/mzunguko wa pesa.
Kutoka TRA mkoa wa Kilimanjaro ni wa tatu baada ya Dar na Arusha kwa makusanyo ya kodi..Pamoja na mijengo yenu, je! Hali ya wananchi ikoje? Mzunguko wa money ukoje?
Sawa, Njombe ndio kuna mji mkuu..Uchaggani Hakuna miji.
Kilichopo ni kila mtu kujitutumua kujenga nyumba kwenye Kihamba chake hata Kama Kiko Porini huko au milimani.
Tafiti zinaonesha huko kunaongoza kwa watoto kuwa na malnutrition,tatizo lipo wapi?Moshi unakuta katikati ya migomba kuna bonge la hekalu
Please ongeza Chuo cha Mweka (Chuo pekee cha wanyamapori Tanzania nzima)Ngoja niwaongezee.
2. Kiwanda cha Serengeti Breweries
3. Kiwanda cha Soda Bonite Bottlers
4. Kiwanda cha Sukari TPC
5. Kiwanda cha Maji ya Kilimanjaro
6. Imara Woods Product (Kiwanda cha bidhaa za Mbao?
7. Kiwanda cha Ngozi (Moshi Leather Industries Ltd?
8. Kiwanda cha Viatu Karanga (Kiwanda cha Jeshi la Magereza)
9. Hospitali ya KCMC
10. Chuo kikuu cha KCMC
11. Chuo cha Ushirika
12. Chuo cha Mwenge
13. Chuo cha Mchungaji Stefano
14. NMB
15. CRDB
16. NBC
17. Uchumi Commercial Bank
18. Kilimanjaro Cooperative Bank
19. Exim Bank
20. Mkombozi Bank
21. KCB Bank
22. Equity Bank
23. Stanbik Bank
24. Access Bank
25. TPB
26. DTB
27. Absa
28. I&M Bank
29.
Kwa heading tu ya uzi ulistaili kupigwa Ban.Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Watasema hakipo ndani ya Manispaa ndio maana sikukiweka. Hata viwanda ambavyo vipo nje ya Manispaa sijaviweka..Please ongeza Chuo cha Mweka (Chuo pekee cha wanyamapori Tanzania nzima)
Tuone picha pleaseNasubiri wana moshi waje kukubishia [emoji16]
Mji wa kahama una
1 Barick gold mining
2 Bulyanhulu Gold mining
3 kiwanda kikubwa cha maji kipo njiani kufunguliwa
4 kiwanda cha bati
5 vituo vya mafuta vingi na vya kisasa
6 BANK OF AFRIKA
7 DTB
8 NBC
9 CRDB
10 TPB
11 NMB
12 Elution
13 N.K
Watuwekee na MOSHI, wana nini cha kujivunia!!!
Naanza[emoji1427]
1 Watengenezaji wa Pombe aina ya Mbege
2.???
Una hasira, hazitasaidia..Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Alioa mmarangu.Mimi sio mtu wa Moshi wa kahama
Nimefuatilia huu uzi nimegundua mleta mada ana shida na watu wa Moshi (msongo wa mawazo) sijui mmefanya nini ??
Vile vi traffic light vya kimandazi pale bariadi utalinganisha na moshi mkuu,tuache masihara bhana.Wasukuma mna tabu sana