Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

U po sahihi sana / MAMLAKA ZISHUGHULIKIE SUALA LA STENDI MOSHI.
 
Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba

Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Mkuu nini kilichokusibu huko?
 
Aliekuambia mahindi yanafanya kutokuwa jiji ni nani..?? Hii mind set ya mji kuwa jangwa ifike mahali ife mimea inafaida kushinda hata hayo majiji mnayokimbilia!.

Huu ni utetezi usio na mashiko. Acha mji uwe ni mji, yasiwe ni mashamba!
 
Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama
Unachoongea hapa ni pumba tu na sijajua dhamira yako ni kuelimisha au ku portray uwezo wako finyu wa kufikiri.Ninyi ambao hamzalishi mazao kwetu ndio wengi ombaomba. Inasaidia nini kuwa na mji wenye magorofa halafu mna upungufu wa chakula
 
Unachoongea hapa ni pumba tu na sijajua dhamira yako ni kuelimisha au ku portray uwezo wako finyu wa kufikiri.Ninyi ambao hamzalishi mazao kwetu ndio wengi ombaomba. Inasaidia nini kuwa na mji wenye magorofa halafu mna upungufu wa chakula
Haya mangi so unataka kusema zile mita 10 ulizolima chakula ndio kinakutoshereza tembea uone watu wanavyolimq achana na uchafu wenu wa moshi
 
Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama

Moshi ndio manispaa safi kuliko zote Tz, tuambie jiji la Dsm ambalo halina mashamba ya mahindi ni safi kuliko mji wa Moshi.??
Dsm hapa hakuna mashamba ya mahindi ambayo yanaweza kutumika kama makazi ya wezi lakini mji umejaa wezi, panya road, vibaka kila kona.
 
Nani kakuambia mahindi ni uchafu. Na yanakuwepo mwaka mzima ariiifuuu??
 
Kiwanda kikubwa cha maji kiko njiani kufunguliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kahama is a glorified village my friend and no body cares whether it's a town or municipal...
Human development index in kilimanjaro region is 0.631 ...this alone speaks volume
 
Moshi vijijini[emoji1787][emoji1787]
 

Siyo kiivyo. Dar linazidiwa pia kwa sababu ya ukubwa wake. Lakini naamini Dar ina sehemu kubwa safi kuliko Moshi. Lakini ina sehemu kubwa chafu kuliko Moshi
 
Binafsi sijawahi kufika Kahama wala Geita.. Ila Moshi nimefika.

Kwa faida ya wengi, tuanze kuweka picha za mji wa Kahama na Geita na wa Moshi waweke zao ili tuanze kuilinganisha hii miji.
Kahama ni gulio lililochangamka hakuna kitu ..

Waambie wakupe picha kama hii ya MoshiπŸ‘‡

 
Weka picha acha hadithi za kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…