[emoji23][emoji23] Si mlisema nyomi La 2015?ivi unadhan hao nyomi ni wapiga kura? unajua ccm ina wanachama wangap?
Jiwe twitter kajiunga 2015
Tundu kajiunga twitter 2019.
Jiwe kwasasa ni Rais, lazima popularity yake iwe kubwa.
Una jipya?[emoji23][emoji23]
Mbowe na Lemma wanajua Lissu hahitaji usaidizi ndio mtu pekee dawa ya jiwe sio kama lowassa alikuwa hajui kupiga spana.
Una jingine?
Hakika.The kicks of a dying horse! That is what is happening to Tundu Lissu.
Ndio ni nzuri sana hizo,makada mnazipenda sana kuzivaa.Kumbe umezipenda adi picha zake unatembea nazo mfukoni.
Hahah jamaa nimewavulia kofia mkuu.Ccm wasanii hujui mkuu?[emoji23][emoji23]
Mtakapojaribu kuibia kura Lissu ndipo mtakapojua hamjui na hilo jeshi lenu uchwara.Sikia we manka hakuna wewe wala chigulu wako kufanya ata ng'eeee ujasiri ulionao ni wakukaa nyuma ya keyboard.we mwenyewe unakili siku ya maandamano ya mange ulikuwa umejificha kwenye phamarcy unasikilizia shenzixy hamna jeuri.
Kwani mdada anashida gani?Mange yupo USA.
Lissu tunaye TZ.
Walikamatwa watu walioandamana pale posta, nilikuwepo hiyo siku na mshikaji wangu tulikuwa na watu kadhaa kwenye phamarcy opposite na Askari monument tukiangalia mange alivyowahenyesha jeshi mtu hayupo Tz na ni mdada.
Tulia uone kwa Lissu.
Aisee hii ni nomaVideo yaTundu Lissu akiwasili Moshi mjini usiku huu.View attachment 1585986
Wapi tena hapo alipigishwa magoti?Duuh! Huyu mtu anapendwa jamani.
Kuna mwingine anazidi kuifilisi nchi kwa kutumia fedha zetu za Kodi kukodi mabasi na kusomba watu.
Hajaishia hapo, pia analazimika kupiga magoti ili kuomba kura.
Uchaguzi huu wamepata challenge hawatasahau walizoe kuleta mamluki wakina Prof Lipumba, Lowass, Slaa wamejaribu kwa sasa Membe imekua dead game. Huyu Lissu ni sawa simba amejaruhiwa na risasi 16 eti mumukamate kwa mikono wajaribu.Hili ni likada la ccm mkuu.
Tangu lini ccm akawa timamu?
Mdada anaweza.Kwani mdada anashida gani?
Sidhani Kama jinasia ya muhusika inahusika Sana hapa.
Kuweza au kushindwa kwa mtu hakutokani najinsia yake. Kwamba unahisi wanawake wana IQ ndogo??
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Uongo upo CCM.
Mnapiga magoti mkipata vyeo mnatukana hao waliowapa hivyo vyeo.
This time mmeangukia pua.
Kikwete alishasema juu ya lissu.Uchaguzi huu wamepata challenge hawatasahau walizoe kuleta mamluki wakina Prof Lipumbava ,Lowass,Slaa wamejaribu kwa sasa Membe imekua dead game.Huyu Lissu ni sawa simba amejaruhiwa na risasi 16 eti mumukamate kwa mikono wajaribu.
Rais anayependwa bila kutumia manguvu mengiiiiii halafu hupendwi na yeye anajua.LISSU ndiye Rais. Bwana yule atuachie Ikulu yetu. Arudi kwake Burundi.
Mbona Mond au MillardAyo watu wengi wana wafollow zaidi sana kuliko Magu what do you think???? Justification yako ya kipumbavu ndiyo maana munapigishwa magoti
l doubt your reasoning ability ...there is a big difference between famous and popular ......l rest my case