Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kama alivyotekwa JiweChadema imetekwa kijinga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alivyotekwa JiweChadema imetekwa kijinga sana
Unaonaje ccm ilivyo na nguvuKama alivyotekwa Jiwe
Kajinyonge basi sheitwaan wewe usiye itakia Tanzania amani.Tatizo nyie wanasiasa mnatuona sisi wananchi kuwa wajinga Sana. Ccm hawezi kufanya kitu kisichomnufaisha. Sisi tunajua ikifika kipindi Cha uchaguzi CCM huvaa joho lake, hayo mnayoita maridhiano msije kuyakataa 2025.
Yaani unasikiliza hotuba ya kiongozi wa UPINZANI halafu Haina tofauti na hotuba ya mwanaccm. Huo Ni uto to..
Mkiambiwa mmelewa Asali mnakuwa wakali..
Safi sana Samia!Roho inakuuma sana, haya yote ni mipango ya Mungu kwani Mungu wetu ni Mungu wa amani na ndio maana nchi ina amani.
Aliyempa Mama Samia kuwa Rais ni Mungu pekee na sio mwanadamu na ndio maana mafirauni na wasiopenda amani huwa wanashangazwa sana na yale anayoyafanya Mh. Rais.
Niseme, kipindi cha giza kilishapita
Hatareeeeeeee na sipati picha wale watangazaji wa tbc wana ccmLeo kwa mara ya kwanza linapigwa song la people’s power ndani ya TBC TAIFA hatari sana
Labda nguvu za kuwatunza omba omba kama weweUnaonaje ccm ilivyo na nguvu
Makanjanja ni babako na mamakoNaona makanjanja yanaenda kujizika rasmi 2025 yatakuja na sera gani sijui .. chama kili jifia 2015 uko saivi ni kutfta pa kulia tu
Subiri 2025 ufurahie showLabda nguvu za kuwatunza omba omba kama wewe
Kajinyonge basi tujue umekasilikaKuna wimbo unapigwa hapo ukumbini ni ujinga mtupu hata alieuweka sijui ninani !! Mfike Mahali mjitambue ... Wimbo unasema ccm inauwa watu !! Is it make sense?
Cdm ni tunu ya taifaNawapongeza Chadema kwa walichofanya
Mkuu usijishushie heshima Bila sababu ukweli lazima usemwe ,,,Kajinyonge basi sheitwaan wewe usiye itakia Tanzania amani.
Hiyo inaitwa homa ya furaha iliyo pitilizaHuyu mama anaesoma risala anatetemeka nini? Au ndio Sauti yake ilivyo?
PumbafMkuu usijishushie heshima Bila sababu ukweli lazima usemwe ,,,
Ila TUKIO hili lingefanywa na chama Cha CUF au TLP bavicha wote ungesikia wakitukana na kusema, hao ni matawi ya CCM wamekutanaa, ila kwakuwa ni chadema, Leo hii PONGEZI ni nyingiAngekuwepo shwetaani wa afrika, ukumbi wangejazwa FFU wakiwa na mabom, mbwa, bunduki na washawasha.
lakn leo mama anaenda na kalamu na notibuku ili kuchukua changamoto za watanzania wenzake ambao ni wanachama wa chadema na anazitatua.
maRPC na OCDs watapeana mikono na makamanda wenzao wa heshima wa chadema badala ya kuwachota tanganyika jeki na kuwasukuma ndani.
MAMA TUNAOMBA MAOFISA WOTE WALIOKUWA WANATUMIWA NA SHETANI WA AFRIKA UWAKAMATE NA KUWASWEKA LUPANGO.
Walichofanya leo, watu hawatakielewa ila Chadema inatengeneza mazingira mazuri ili katiba iweze patikana.Cdm ni tunu ya taifa
Wivu wa makalio waziLeo sio tu kulamba asali bali ni kukombeleza kabisa