Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Ila alikuwa tajiri Sana alikuwa na karibu dola billion 4, hata jay z hajamfikia alikuwa anakula bata daily

Hivi vita kuna watu wanafaidika sana
 
Syria is a failed state controlled by Iran and Russia. Ila myahudi anaingia na kutoka kama chooni vile
Failed state mbona walishindwa kuichukua sasa? Sababu wanajua mrusi yupo so wakivuka mstari watachakazwa. So sio kweli yeye ndio mbabe wa middle east kma ni coward hivyo.
 
Failed state mbona walishindwa kuichukua sasa? Sababu wanajua mrusi yupo so wakivuka mstari watachakazwa. So sio kweli yeye ndio mbabe wa middle east kma ni coward hivyo.
Asingekua mbabe angemalizwa mapema sana.
 
Hizo ni chai,naamini alliens wapo ila siamini kama washaanza kukutana na wanadamu.
 
Eti allens, hujioni ulivyo mjinga?
 
Tulia wanakuja mdogo Mdogo. Mpaka mpaka shume muishe
 
Epuka story za vijiweni, story za kahawa.
Ubora wao umetokana na vitu vingi, experience, elimu, na washirika wake. Ukiongezea miaka ambayo wamekuwa in conflict na majirani, imewafanya wawe bora, na wanajua wasipokuwa bora watafutika

Hakuna cha allien
 
Kama walivyotumika katika ujenzi wa pyramids za Misri. Ndio waliowafanya Wayahudi kuwa na akili kuliko binadamu wote.
 
Utakuwa mgeni na intelligence, sehemu moja wapo ni kutumia pesa kupata taarifa. Kila intelligence organization dunian inatumia hii mbinu, na ni moja ya mbinu za zamani sana but very effective hata leo
Lakin israel wanatumia zaidi ya pesa, huwez honga maadui wote
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa Aliens walikuwa likizo october saba?-----ni tetesi hii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Aisee hii dunia yetu.
 
Pesa na intelligence zipo bega kwa bega
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…