and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
- Thread starter
-
- #41
Nakubali.Kama waliuziwa Pager na Walkie Talkies na wakazisambaza, inaonyesha Inteligenze yao mbovu, na walijiamini kupita kiasi, walijisahau mno, na wali underestimate Israel kupindukia....
Usaliti yes; but zaidi ya usaliti IDF na agents wao wameionesha dunia kwa vitendo what intelligence means. Ule mlipuko wa pagers kwa walengwa specific uliishangaza dunia and was a highest alert to Hezbollah. Sijui walikosea wapi kuelewa what would follow next.Hakika.
Na hapa ukitizama hili tukio la kuuliwa kiongozi mwenye ulinzi mkubwa limewaacha watu kinywa wazi.
Inamaana kuna msaliti amepandikizwa ambaye atakua anafahamu movement zote za Hizbollah.
Lazima mpowe aisee msitikisike.
Maana mkitikisika mmeisha.
Haya mashambulizi yamepangwa kwa miaka mingi. Walihakikisha wanaingiza majasusi kwenye ngome ya adui na kujua nyendo na siri zao zote. Ishara ya kuanza vita ilikuwa ni ile milipuko ya simu.Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.
Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.
Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.
Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....
Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Hezbollah ametangaza vita na Israel, wametangaza kulipa kisasi ngoja tuone.
Jamaa wana roho ngumu sana...
Mungu kumbe anabariki mashoga!??Mungu hawez geuka maneno yake yeye mwenyewe ,Mungu sio kigeu geu ,tangu enzi za Ibrahim,isaka na yakobo aliwapa ahadi ya kulaani watakao walaani na kiwabarik watakao wabariki,,hivyo upande wangu Kwa kuegemea Imani yangu iloonuesha kabsaa Kuna jitu litapigika
Noted, neeeeextHauna tofauti na Wale walokole wa Mwamposa àmbao wakipewa Mafuta wanaamini watamshinda Bakhresa Kwa utajiri
Hahahah mkuu hata wewe leo umekubali?Wacha tuone ni nini kitafuata.
Kwasasa sina cha kusema ni kusubiri muda uamue.
Japo nikiri kuwa Mossad kwa awamu hii ameupiga mwingi ninyooshe mikono kwa sasa🙌🙌🙌🙌🙌🙌.
Wacha tuone nini kifuatacho.
Mkuu kwa mara hii nimekubali mossad wana intelligence kubwa. Mimi siku zote naunga mkono Iran, Hezbollah, Hamas katika kuitetea palestina.Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.
Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.
Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.
Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....
Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Tupo wengi tuliowaunga mkono Hezbollah ila hawa Wayahudi ni Next level...Iran nae naona ni kwamba kasha kubali maana alibaki kuwa sapoti Hezbollah ila kwa hili atatuliza MshonoNikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.
Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.
Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.
Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....
Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Hizbollah ni kundi lililoanzishwa na uislam ila ni multi-ideology organization.Soma Charter yao mkuu, ingawa waliibadili kuficha hilo...Utasemaje kuhusu Hamas...? Au nikuletee Charter ya Hezbolah.....Itikadi ya dini ni driving force....Na mimi huo ndio msimamo wangu na nina evidence!
Fact.....Hezbollah chief Nasrallah’s fatal underestimation of Israel ( Arab News)
Hezbollah chief Hassan Nasrallah has miscalculated, and in the process dragged Lebanon into a bloodbath that the already impoverished, isolated, and desperate Lebanese can ill afford. The world is trying to help him save face, although first he must agree to many concessions before Israel lets him off the hook. But what brought him here?
Nasrallah fell into the classic trap of an undisputed leader who lives alone and surrounds himself with yes men. Since 2006, he has rarely been seen in public. Those who get to meet him are taken, blindfolded, through a maze of security measures that lead to the militia chief.
Detachment from the general population, coupled with a personality cult that Nasrallah has so carefully cultivated over the past two decades, limited his awareness of reality. When justifying his “war in support of Gaza,” the Hezbollah chief did not measure cost and effect. He simply justified going to war by saying that, on the Day of Reckoning, “the Almighty will ask each one of us what did you do to help Gaza?” Mixing faith with reason is hardly a recipe for success.
Nasrallah then started believing his own propaganda, that Israel was weak, that his militia was invincible, so much so that – in one speech – he threatened to attack Cyprus, a member of the EU.
Israel, however, was not on its last legs. Its economy was not in tatters. Its population was not decadent and unwilling to fight for the homeland, or shrinking due to emigration. Only hit pieces in “resistance axis” media underestimated Israel’s strength and resilience.
The “axis of resistance” overestimated its own power. Missiles are not new. Saddam Hussein produced hundreds of Al-Hussein and Al-Abbas ballistic missiles and threw up to 40 of them at Tel Aviv. While they are a threat, especially to civilians, these weapons cannot annihilate Israel or any other country, nor can the wedding photography drones that Hezbollah and Iraqi militias launch on Israel with a small load of explosives.
Among the axis, its leader Iran understood the limitation of its military. In the two instances that it launched missiles at an American base in Iraq and on Israel, Tehran choreographed the attack carefully and made it known that it was a one-off event designed to save face.
The Houthis in Yemen, too, realized that Israel was capable of hurting them much more than they could inflict damage on Israel. Since their drone killed an Israeli and almost cost them control of the port of Hodeidah, the Houthis have launched only one ballistic missile, which the “axis of resistance” spent a week praising and analyzing how it presumably “changed the course of the war.”
Only Hamas’s Yahya Sinwar and Nasrallah did not understand that “the unity of the fronts” was more wishful thinking than reality. Iran never came to the rescue of Hamas or Hezbollah. These proxies were designed to fight and die for Iran to secure its interests on the cheap, not to drag it into costly direct wars.
Hicho kibibi kinawaponda wamagharibi kikiwaita makafiri halafu simu na taarifa za Hezbollah kinapata kupitia vifaa vilivyotengenezwa na hao makafiri.Pole Sana.
FaizaFoxy bado anaimani kwenye Hamna.
Ili uamini kuwa Hezbollah na Hammas watamshinda Myahudi àmbaye Nyuma Yake yupo Marekani na washirika wake Basi lazima itakuwa na tatizo kûbwa la uelewa WA mambo.
Hauna tofauti na Wale walokole wa Mwamposa àmbao wakipewa Mafuta wanaamini watamshinda Bakhresa Kwa utajiri
Unajua mkuu humu tunajadili mantiki sio mihemko na ushabiki.Hahahah mkuu hata wewe leo umekubali?
Kweli ngoma ngumu.
Ndio masuala ya vita.Pole Sana.
FaizaFoxy bado anaimani kwenye Hamna.
Ili uamini kuwa Hezbollah na Hammas watamshinda Myahudi àmbaye Nyuma Yake yupo Marekani na washirika wake Basi lazima itakuwa na tatizo kûbwa la uelewa WA mambo.
Hauna tofauti na Wale walokole wa Mwamposa àmbao wakipewa Mafuta wanaamini watamshinda Bakhresa Kwa utajiri
ISIS yote ni Mossad.Mossad toka mwanzo imewaweka hadi mashehe na maimam wayahudi... wanaenda na kuswali swala tano na wengine wanaenda hadi Hijja... mission yao ni kukusanya taarifa kabisa. Kama mnamkumbuka hata yule kiongozi wa ISIS alidaiwa kuwa ni Myahudi na baadhi ya watu..
Alafu haohao Hezbollah Hapo Lebanon siô Wananchi wôte wanaiunga Mkono. Vivyohivyo Kwa Hamqs utegemee Ushindi kwèliNdio masuala ya vita.
Kiukweli kupambana na Israel nchi ambayo inapata msaada wa kila aina na taifa tajiri kama US ni kazi mno...
Hata Yuda alimuuza Yesu kwa fedha..
Ni ngumu kwa Hezbollah ku sustain maisha ya kila siku kukwepa intel za IDF, kama mwanadamu kuna mahala utafanya mistake.
Kabisa mkuu, Israel wana pesa, wana misaada ya kila aina kutoka US na EU wanaweza kununua agent wanayemtaka...Mkuu kwa mara hii nimekubali mossad wana intelligence kubwa. Mimi siku zote naunga mkono Iran, Hezbollah, Hamas katika kuitetea palestina.
Ila toka hawa jamaa wapige tukio ndani ya Iran wakamuua kamanda wa hamas, wakalipua zile pagers, now wamemuua kiongozi wa Hezbollah, nimeamini hawa jamaa wamejipenyeza ndani kabisa. Nahisi wanamsubiri Iran ajichanganye naye wapige ndani kabisa ya Iran.
Hezbollah anapaswa kurudi kwenye hatua ya kwanza huenda anaokaa nao mezani ni ma-double agent.
Israel anaenda kasi sana angepunguza speed kidogo,aishie tu kwanza hapo hapo kwa Hezbollah maana kama heshima ameshaipata angalao sasa watu wapumue.Tishio la Netanyahu kwa Iran jana kuwa hakuna mahali popote ndani ya Irani ambapo "mkono mrefu" wa Israeli hauwezi kufika. Walikuwa wanamaanisha Ayatollah Khamenei na uongozi wote wa Iran unafikika.
Mkuu acha utani!?Hezbollah ametangaza vita na Israel, wametangaza kulipa kisasi ngoja tuone.
Jamaa wana roho ngumu sana...