Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Hakika.
Na hapa ukitizama hili tukio la kuuliwa kiongozi mwenye ulinzi mkubwa limewaacha watu kinywa wazi.
Inamaana kuna msaliti amepandikizwa ambaye atakua anafahamu movement zote za Hizbollah.
Lazima mpowe aisee msitikisike.
Maana mkitikisika mmeisha.
Usaliti yes; but zaidi ya usaliti IDF na agents wao wameionesha dunia kwa vitendo what intelligence means. Ule mlipuko wa pagers kwa walengwa specific uliishangaza dunia and was a highest alert to Hezbollah. Sijui walikosea wapi kuelewa what would follow next.
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Haya mashambulizi yamepangwa kwa miaka mingi. Walihakikisha wanaingiza majasusi kwenye ngome ya adui na kujua nyendo na siri zao zote. Ishara ya kuanza vita ilikuwa ni ile milipuko ya simu.
 
Mungu hawez geuka maneno yake yeye mwenyewe ,Mungu sio kigeu geu ,tangu enzi za Ibrahim,isaka na yakobo aliwapa ahadi ya kulaani watakao walaani na kiwabarik watakao wabariki,,hivyo upande wangu Kwa kuegemea Imani yangu iloonuesha kabsaa Kuna jitu litapigika
Mungu kumbe anabariki mashoga!??
Hiyo ni vita kijana usiingize udini.
*2006 Israel alipigwa na huyu huyu Hizbollah akiongozwa na huyu huyu Hassan Nasrallah aliyeuawa.
*1973 Israel ilipigwa na Egypt Sinai Peninsula.Huyo Mungu wako mbariki wa mashoga alikua wapi??

*Hii ni vita kuwahiana ni jambo la lazima.
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Mkuu kwa mara hii nimekubali mossad wana intelligence kubwa. Mimi siku zote naunga mkono Iran, Hezbollah, Hamas katika kuitetea palestina.
Ila toka hawa jamaa wapige tukio ndani ya Iran wakamuua kamanda wa hamas, wakalipua zile pagers, now wamemuua kiongozi wa Hezbollah, nimeamini hawa jamaa wamejipenyeza ndani kabisa. Nahisi wanamsubiri Iran ajichanganye naye wapige ndani kabisa ya Iran.
Hezbollah anapaswa kurudi kwenye hatua ya kwanza huenda anaokaa nao mezani ni ma-double agent.
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Tupo wengi tuliowaunga mkono Hezbollah ila hawa Wayahudi ni Next level...Iran nae naona ni kwamba kasha kubali maana alibaki kuwa sapoti Hezbollah ila kwa hili atatuliza Mshono
 
Soma Charter yao mkuu, ingawa waliibadili kuficha hilo...Utasemaje kuhusu Hamas...? Au nikuletee Charter ya Hezbolah.....Itikadi ya dini ni driving force....Na mimi huo ndio msimamo wangu na nina evidence!
Hizbollah ni kundi lililoanzishwa na uislam ila ni multi-ideology organization.
Sio kikundi cha uislam pekee.
Hamas ni political organisation ambayo ilianzishwa na waislam.
Ila ni kwaajili ya Gaza na Palestina wote.
 

Hezbollah chief Nasrallah’s fatal underestimation of Israel ( Arab News)​


Hezbollah chief Hassan Nasrallah has miscalculated, and in the process dragged Lebanon into a bloodbath that the already impoverished, isolated, and desperate Lebanese can ill afford. The world is trying to help him save face, although first he must agree to many concessions before Israel lets him off the hook. But what brought him here?

Nasrallah fell into the classic trap of an undisputed leader who lives alone and surrounds himself with yes men. Since 2006, he has rarely been seen in public. Those who get to meet him are taken, blindfolded, through a maze of security measures that lead to the militia chief.

Detachment from the general population, coupled with a personality cult that Nasrallah has so carefully cultivated over the past two decades, limited his awareness of reality. When justifying his “war in support of Gaza,” the Hezbollah chief did not measure cost and effect. He simply justified going to war by saying that, on the Day of Reckoning, “the Almighty will ask each one of us what did you do to help Gaza?” Mixing faith with reason is hardly a recipe for success.

Nasrallah then started believing his own propaganda, that Israel was weak, that his militia was invincible, so much so that – in one speech – he threatened to attack Cyprus, a member of the EU.

Israel, however, was not on its last legs. Its economy was not in tatters. Its population was not decadent and unwilling to fight for the homeland, or shrinking due to emigration. Only hit pieces in “resistance axis” media underestimated Israel’s strength and resilience.
The “axis of resistance” overestimated its own power. Missiles are not new. Saddam Hussein produced hundreds of Al-Hussein and Al-Abbas ballistic missiles and threw up to 40 of them at Tel Aviv. While they are a threat, especially to civilians, these weapons cannot annihilate Israel or any other country, nor can the wedding photography drones that Hezbollah and Iraqi militias launch on Israel with a small load of explosives.

Among the axis, its leader Iran understood the limitation of its military. In the two instances that it launched missiles at an American base in Iraq and on Israel, Tehran choreographed the attack carefully and made it known that it was a one-off event designed to save face.

The Houthis in Yemen, too, realized that Israel was capable of hurting them much more than they could inflict damage on Israel. Since their drone killed an Israeli and almost cost them control of the port of Hodeidah, the Houthis have launched only one ballistic missile, which the “axis of resistance” spent a week praising and analyzing how it presumably “changed the course of the war.”

Only Hamas’s Yahya Sinwar and Nasrallah did not understand that “the unity of the fronts” was more wishful thinking than reality. Iran never came to the rescue of Hamas or Hezbollah. These proxies were designed to fight and die for Iran to secure its interests on the cheap, not to drag it into costly direct wars.
Fact.....
 
Pole Sana.

FaizaFoxy bado anaimani kwenye Hamna.

Ili uamini kuwa Hezbollah na Hammas watamshinda Myahudi àmbaye Nyuma Yake yupo Marekani na washirika wake Basi lazima itakuwa na tatizo kûbwa la uelewa WA mambo.

Hauna tofauti na Wale walokole wa Mwamposa àmbao wakipewa Mafuta wanaamini watamshinda Bakhresa Kwa utajiri
Hicho kibibi kinawaponda wamagharibi kikiwaita makafiri halafu simu na taarifa za Hezbollah kinapata kupitia vifaa vilivyotengenezwa na hao makafiri.

Ujinga uzeeni hauna dawa.
 
Hahahah mkuu hata wewe leo umekubali?

Kweli ngoma ngumu.
Unajua mkuu humu tunajadili mantiki sio mihemko na ushabiki.
Haya mambo yanaenda kwa mantiki kaka.
Kumuua kiongozi wa juu kabisa mwenye ulinzi mkali hutafsiri mambo mengi sana.
Hapa Hizbollah wamepata pigo kubwa ambalo litawazimisha huwenda kwa muda mrefu saaanaaaa.
 
Pole Sana.

FaizaFoxy bado anaimani kwenye Hamna.

Ili uamini kuwa Hezbollah na Hammas watamshinda Myahudi àmbaye Nyuma Yake yupo Marekani na washirika wake Basi lazima itakuwa na tatizo kûbwa la uelewa WA mambo.

Hauna tofauti na Wale walokole wa Mwamposa àmbao wakipewa Mafuta wanaamini watamshinda Bakhresa Kwa utajiri
Ndio masuala ya vita.
Kiukweli kupambana na Israel nchi ambayo inapata msaada wa kila aina na taifa tajiri kama US ni kazi mno...

Hata Yuda alimuuza Yesu kwa fedha..

Ni ngumu kwa Hezbollah ku sustain maisha ya kila siku kukwepa intel za IDF, kama mwanadamu kuna mahala utafanya mistake.
 
Ndio masuala ya vita.
Kiukweli kupambana na Israel nchi ambayo inapata msaada wa kila aina na taifa tajiri kama US ni kazi mno...

Hata Yuda alimuuza Yesu kwa fedha..

Ni ngumu kwa Hezbollah ku sustain maisha ya kila siku kukwepa intel za IDF, kama mwanadamu kuna mahala utafanya mistake.
Alafu haohao Hezbollah Hapo Lebanon siô Wananchi wôte wanaiunga Mkono. Vivyohivyo Kwa Hamqs utegemee Ushindi kwèli

Mimi nahisi haqacwakubwa wadunia hizi vita NI zaidi ya tunavyoziona
 
Mkuu kwa mara hii nimekubali mossad wana intelligence kubwa. Mimi siku zote naunga mkono Iran, Hezbollah, Hamas katika kuitetea palestina.
Ila toka hawa jamaa wapige tukio ndani ya Iran wakamuua kamanda wa hamas, wakalipua zile pagers, now wamemuua kiongozi wa Hezbollah, nimeamini hawa jamaa wamejipenyeza ndani kabisa. Nahisi wanamsubiri Iran ajichanganye naye wapige ndani kabisa ya Iran.
Hezbollah anapaswa kurudi kwenye hatua ya kwanza huenda anaokaa nao mezani ni ma-double agent.
Kabisa mkuu, Israel wana pesa, wana misaada ya kila aina kutoka US na EU wanaweza kununua agent wanayemtaka...
 
Tishio la Netanyahu kwa Iran jana kuwa hakuna mahali popote ndani ya Irani ambapo "mkono mrefu" wa Israeli hauwezi kufika. Walikuwa wanamaanisha Ayatollah Khamenei na uongozi wote wa Iran unafikika.
Israel anaenda kasi sana angepunguza speed kidogo,aishie tu kwanza hapo hapo kwa Hezbollah maana kama heshima ameshaipata angalao sasa watu wapumue.
 
Back
Top Bottom